Mkuu tulisoma wote nini? Mimi nilikuwa Tanga School na mdogo wangu Mrisho Gambo ingawa siku hizi anajimwambafaiDah nilikuwa form V Tanga huko...
Nadhani alikuwa ameshakufa siku nyingi tu!!Nilikuwa Mafinga sec! Siku hiyo tulikuwa ziara ya kimasomo Kalenga kuona fuvu la Mkwawa! Nakumbuka nyimbo za Kapten Komba, sijui alizitunga muda gani?
Majira ya saa nne asubuhi au niseme saa tano kasoro hivi nikiwa katika viunga vya mabweni ya Shule ya Sekondari Iyunga baada ya purukushani za kupata chai kwa maandazi ya mafuta ya mawese, taarifa ya kifo cha Muasisi wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilikuwa dhahiri.
Je wewe ulikuwa wapi ukifanya nini?
Kumbuka.
ebwana dah ! Hiyo siku ndiyo nilikua naenda kuvamia bank ila nikasitisha zoezi kwa heshima ya mzeeMajira ya saa nne asubuhi au niseme saa tano kasoro hivi nikiwa katika viunga vya mabweni ya Shule ya Sekondari Iyunga baada ya purukushani za kupata chai kwa maandazi ya mafuta ya mawese, taarifa ya kifo cha Muasisi wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilikuwa dhahiri.
Je wewe ulikuwa wapi ukifanya nini?
Kumbuka.
**** primary school Mtwara,tumeshapiga paper ya standard seven tunafanya mazoezi ya mahafali,mara paap kengele ya dharula inagonga muda huo mi nipo juu ya mnazi wa shule naangusha madafu,wahuni wenzangu wapo chini wanayafua hahahaa basi tukakusanyika fasta assembly shule nzima,mwalimu mkuu Mama Mwangata anatangaza kwamba nyerere kafariki,wanafunzi wa madarasa ya chini wanalia kwa sauti,walimu wanawatuliza kwamba hakutakua na vita tulieni,that was 14/10/1999...
Ndo hapo utajua vifo vya watu muhimu huwa havitangazwi ovyo so kuna uwezekano alikufa tarhe za nyuma kabla lakini mpaka waweke vitu flani saw a... Hivyo hata komba hakutunga usiku mmoja zile nyimbo na hata Kama angetunga ndani ya usiku huo bado recording siyo rahisi kiiivyo (according to my experience)Nilikuwa Mafinga sec! Siku hiyo tulikuwa ziara ya kimasomo Kalenga kuona fuvu la Mkwawa! Nakumbuka nyimbo za Kapten Komba, sijui alizitunga muda gani?
very kweli broNadhani alikuwa ameshakufa siku nyingi tu!!
We mkapa katangaza mala pah! Marehemu komba kaanza "kilio aamh! Kilio aamh!!)
Kifupi walikuwa wameshaandaliwa!
kwa hivyo kijij kiliondokewa na mzee Wa busaraNilikuwa drs la 4 s/msingi Uhenga huko MAKAMBAKO Njombe,kiukweli sitaisahau ile siku maana ilikuwa ni ALHAMISI na jioni jioni hivi ndo nilizikia hizo taarifa tukiwa tunashiriki maandalizi ya sherehe ya mahafali ambayo ingefanyika kesho yake.
Lakini siku hiyohiyo tena pale bush kwetu palitokea msiba wa mzee mmoja aliyekuwa anatuhumiwa kuwa bonge la mchawi na alikuwa hapendwi na watu kbs,watu walishangilia balaa kiukweli.
ebwana dah ! Hiyo siku ndiyo nilikua naenda kuvamia bank ila nikasitisha zoezi kwa heshima ya mzee



nilikuwa juu yakiuno cha mke wanguMajira ya saa nne asubuhi au niseme saa tano kasoro hivi nikiwa katika viunga vya mabweni ya Shule ya Sekondari Iyunga baada ya purukushani za kupata chai kwa maandazi ya mafuta ya mawese, taarifa ya kifo cha Muasisi wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilikuwa dhahiri.
Je wewe ulikuwa wapi ukifanya nini?
Kumbuka.
Disco la saa nne asubuhi!!?Hata sisi pia tulikua kwenye mahafali disco likakatishwa
naimani ulimpiga mkeo mizinga ishirini na moja Kama heshima kwa Jemedari nyererenilikuwa juu yakiuno cha mke wangu