wewe nani kakudanganya ivyo?Mi hata sijakumiss maneno yako[emoji3] [emoji3] , naskia 1999 ulikua hata hujazaliwa?
Nilikuwa shuleni darasa la pili baada ya kengele kugongwa na kutangaziwa tulirudi nyumbani.Majira ya saa nne asubuhi au niseme saa tano kasoro hivi nikiwa katika viunga vya mabweni ya Shule ya Sekondari Iyunga baada ya purukushani za kupata chai kwa maandazi ya mafuta ya mawese, taarifa ya kifo cha Muasisi wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilikuwa dhahiri.
Je wewe ulikuwa wapi ukifanya nini?
Kumbuka.
Itope Sec, alisomaga dingi enzi hizooNilikuwa form three Itope secondary School Kyela. Taarifa ya kifo Cha baba wa Taifa tuliisikia kupitia redio Malawi ( MBC) ikitamka kwa kitumbuka kwa maneno haya Mwl. Nyerere the former president of the republic of Tanzania alowa. Ilikuwa jioni lakini tuliendelea na shule mpaka kesho yake tukapewa mapumziko.
Bila shaka hata wazazi walikua bado hata hawajaplan kumpata mtoto mkorinto, usijali kuna watoto wenzio pia humu, you're not alone[emoji3] [emoji3]Wengine tunaogopa kusema tulikuwa wapi maana dharau nyingi sana humu[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53][emoji849][emoji849][emoji45]
Mhh hawachelewi kukukosea adabu [emoji2]
Wengine walikuwa tumboni mwa mama zao ilipotoka hio bad news wakatolewa fasta [emoji1787][emoji1787]Bila shaka hata wazazi walikua bado hata hawajaplan kumpata mtoto mkorinto, usijali kuna watoto wenzio pia humu, you're not alone[emoji3] [emoji3]
Aisee, very interesting, yaani mliamini vita naweza tokea?? Nakumbuka 1983 wazee walichimbishwa mashimo ya kujifisha kaburu akitushambulia. Sisi tuliyatumia sana kujificha tukicheza kombolela.**** primary school Mtwara,tumeshapiga paper ya standard seven tunafanya mazoezi ya mahafali,mara paap kengele ya dharula inagonga muda huo mi nipo juu ya mnazi wa shule naangusha madafu,wahuni wenzangu wapo chini wanayafua hahahaa basi tukakusanyika fasta assembly shule nzima,mwalimu mkuu Mama Mwangata anatangaza kwamba nyerere kafariki,wanafunzi wa madarasa ya chini wanalia kwa sauti,walimu wanawatuliza kwamba hakutakua na vita tulieni,that was 14/10/1999...
Mnamso mbona umefrahi sanaNilikuwa na miezi minne toka nizaliwe happy Sina 1 Wala 11
Unamaanisha Mkapa alituchezea picha ?Nadhani alikuwa ameshakufa siku nyingi tu!!
We mkapa katangaza mala pah! Marehemu komba kaanza "kilio aamh! Kilio aamh!!)
Kifupi walikuwa wameshaandaliwa!
Daaaa mama kweli ulifurahia kifo cha mwl mwenzangu ?Nilikuwa shule ya msingi, hakuna wakati shule ilikuwa ngumu kwangu kama wakati ule...nilikuwa nachukia sana shule na kikitokea kitu chochote cha kunifanya nisiende shule nafurahi sana. Nasikitika kusema hata taarifa za kifo cha baba wa taifa zilikuwa za kufurahisha masikioni mwangu
Nilikuwa shule ya msingi, hakuna wakati shule ilikuwa ngumu kwangu kama wakati ule...nilikuwa nachukia sana shule na kikitokea kitu chochote cha kunifanya nisiende shule nafurahi sana. Nasikitika kusema hata taarifa za kifo cha baba wa taifa zilikuwa za kufurahisha masikioni mwangu