Kumbe pale kibaha ulikuwa una tuchora tu sasa?? Kwa umri wako tiss uliajiriwa na miaka 5 au??Nilikuwa TISS pale
Hapo natoka darasani form 5 nimemaliza pindi la adv maths lá mzee makunja.naenda kupata tea.mzee wa complex unzengoni DomMajira ya saa nne asubuhi au niseme saa tano kasoro hivi nikiwa katika viunga vya mabweni ya Shule ya Sekondari Iyunga baada ya purukushani za kupata chai kwa maandazi ya mafuta ya mawese, taarifa ya kifo cha Muasisi wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilikuwa dhahiri.
Je wewe ulikuwa wapi ukifanya nini?
Kumbuka.
**** primary school Mtwara,tumeshapiga paper ya standard seven tunafanya mazoezi ya mahafali,mara paap kengele ya dharula inagonga muda huo mi nipo juu ya mnazi wa shule naangusha madafu,wahuni wenzangu wapo chini wanayafua hahahaa basi tukakusanyika fasta assembly shule nzima,mwalimu mkuu Mama Mwangata anatangaza kwamba nyerere kafariki,wanafunzi wa madarasa ya chini wanalia kwa sauti,walimu wanawatuliza kwamba hakutakua na vita tulieni,that was 14/10/1999...
Fala sanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kumbe pale kibaha ulikuwa una tuchora tu sasa?? Kwa umri wako tiss uliajiriwa na miaka 5 au??
Hahah ulizaliwa 97 mwanzoni??[emoji23] [emoji23] miaka 2 na miezi 10
AfricaMagomeni
Kinondoni
Dar es salaam
Tanzania
East Africa
DUH SHIKAMOO MZEECCP Moshi, kuruta.
POLEESiku hiyo nilikuwa namzika dada yangu kipenzi ninayemfuatia, kwa kifupi hii siku nitaikumbuka daima kwenye maisha yangu
Dah, haya maisha ya kuunganisha betrii sitakagi nikumbuke. Zikiisha zinapangwa dirishani zichaji na jua, zikizingua zinapondwapondwa kuzibust. Yale maisha yalikuwa magumu sanaMi nilikuwa nachuma kahawa kiredio changu cha national nimekining'iniza kwenye tawi na betri zake kama 8 hivi pembeni nimezisokotea kwenye box
Iam thirty something now,nishazeeka mkuuDaah pamoja na ujumbe wako murua...kumbe kuna Watoto wengi humu. Mwaka huo niko UDSM second year napambana na Strength of Materials na Thermodymic ile mbaya....