Nyendeke
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 1,552
- 2,853
Ha aha a.., Mkuu Mm nilikuwa Tembo house opposite na Chui, chini ya Jemedari Samwel Mattias Teti aka Mswahili, Mwl wa Bweni alikuwa Zubeir!Nilikuwa nakaa Faru Mkuu, tunapigia msuli kule Kakunyu ya Faru Wing namba 4 juu labisa karibu na kwa Mwalimu Kasongo na Mwakanyamale kabla hajawa Headmaster