BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,464
- 3,641
Nilikuwa nasimamia usafi kwenye nyumba niliyokuwa nimeuziwa kama mtumishi tayari.kwa kuhamia eneo fulani hivi la Tz yetu
Kumbe tulikuwa wote mkuu pale Iyunga wakati Anko Ben akitangaza habari hyo by then ITV ndio ilikuwa pekee super bland na inaendelea kuwaMajira ya saa nne asubuhi au niseme saa tano kasoro hivi nikiwa katika viunga vya mabweni ya Shule ya Sekondari Iyunga baada ya purukushani za kupata chai kwa maandazi ya mafuta ya mawese, taarifa ya kifo cha Muasisi wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilikuwa dhahiri.
Je wewe ulikuwa wapi ukifanya nini?
Kumbuka.



Mkuu si useme kijiji gani?au unaogopa?Nilikuwa kidato cha tatu shule moja iko kijiji cha jirani kabisa na kijiji alichozaliwa na kuzikwa mwalimu Nyerere.
Nilikuwa Mafinga sec! Siku hiyo tulikuwa ziara ya kimasomo Kalenga kuona fuvu la Mkwawa! Nakumbuka nyimbo za Kapten Komba, sijui alizitunga muda gani?
nyie ndio mmeifikisha nchi hapaaa... nyie ni wakupigwa mawe hadi mfe...Nilikuwa TISS pale
Nilikuwa TISS pale
Hutaki mzee baba... watu tumekula chumvi!Punguza tangawizi kali sana hii mzee baba![]()
BASI tusisite kuwakumbuka wote BABA WA TAIFA na BABU WA KITONGOJIHakika ChizzoDrama mzee wa busara alitutoka bwana.
Disco la saa nne asubuhi!!?