14-Oktoba-1999: Ulikuwa wapi?

14-Oktoba-1999: Ulikuwa wapi?

nilikua magogoni pale nakula upepo wa bahari
 
Mwenzenu Mwalimu Wakati Anafariki namkumbuka nilikua maeneo Fulani hivi janja Pande za Buselesele kibiashara
 
Hivi enzi hizo msocha alikuwepo?? Mzeee manara alikuwepo?? Wakina kinenekejo? Lile karandika tulilikuta limepak pale mbele likiwa limkufa

Mr. Mzee yule anafundisha BAM, Msocha, Headmaster Kinala, yule mzee alikuwa anafundisha economics anaitwa Mkilindi alikuwa anapiga sana pombe ya mnazi mpaka anajikojolea. Akaja kupokelewa na mwalimu Gurisha yanki yanki flani. Mwingine Mwl. Msombwa akifundisha alikuwa anapenda kusema, it was a process, it was not an overnight event, but a process. enzi hizo karandinga la shule lilikuwa gado haswa
 
Mwalimu mzee tulimkuta nakumbuka alinicharaza bakora tatu matata,sitokuja kumsahau.
Mr. Mzee yule anafundisha BAM, Msocha, Headmaster Kinala, yule mzee alikuwa anafundisha economics anaitwa Mkilindi alikuwa anapiga sana pombe ya mnazi mpaka anajikojolea. Akaja kupokelewa na mwalimu Gurisha yanki yanki flani. Mwingine Mwl. Msombwa akifundisha alikuwa anapenda kusema, it was a process, it was not an overnight event, but a process. enzi hizo karandinga la shule lilikuwa gado haswa
 
Mkuu nimecheka sana kwakweli
Haha acha tu mkuu. Nilikuwa nimetoka shule ya kijijini sana halafu nilipohamia japo hapakuwa mjini lakini watoto walikuwa wamechangamka (yalikuwa makao makuu ya tarafa). Basi academically, socially e.t.c wakawa wamenipita mbali sana nikawa najiona bonge la zoba...ndio kisa cha kutopenda kwenda shule
 
Mwalimu mzee tulimkuta nakumbuka alinicharaza bakora tatu matata,sitokuja kumsahau.

Mwingine kiboko yao sijui anaitwa Godsoni, alikuwa mpole mweusi hivi alikuwa anasimamia masuala ya duka la shule na nini sijui. alikuwa noma, alikuwa amekariri wanafunzi wote wa shule kwa majina yao, wee katiza tu hata umgeuzie kisogo utasikia anakuita kwa jina lako.
 
Mr. Mzee yule anafundisha BAM, Msocha, Headmaster Kinala, yule mzee alikuwa anafundisha economics anaitwa Mkilindi alikuwa anapiga sana pombe ya mnazi mpaka anajikojolea. Akaja kupokelewa na mwalimu Gurisha yanki yanki flani. Mwingine Mwl. Msombwa akifundisha alikuwa anapenda kusema, it was a process, it was not an overnight event, but a process. enzi hizo karandinga la shule lilikuwa gado haswa
Baadae kinala alistaafu akiwa headmaster pale Tanga school. Alikua poa sana yule mzee, aliweka siku ya michezo iwe tarehe 15 may ambayo ni siku yake ya kuzaliwa. Siku hiyo hatuendi darasani ni michezo tu na disco. Tulikua tunakimbia nae mchakamchaka huku tukiimba nyimbo zisizo na staha huku nae anaitikia.
 
Nilikuwa tumboni mwa mama yangu akiwa labour ward. Kabla sijatoka tumboni nilihisi kimya kirefu kama sakika 10 hivi halafu vilio vilitawala. Niifikiria kuwa nimezaliwa still birth watu wananililia mimi. Mara paaap! Kofi.la midwife nikapiga uyowe.
 
Mr. Mzee yule anafundisha BAM, Msocha, Headmaster Kinala, yule mzee alikuwa anafundisha economics anaitwa Mkilindi alikuwa anapiga sana pombe ya mnazi mpaka anajikojolea. Akaja kupokelewa na mwalimu Gurisha yanki yanki flani. Mwingine Mwl. Msombwa akifundisha alikuwa anapenda kusema, it was a process, it was not an overnight event, but a process. enzi hizo karandinga la shule lilikuwa gado haswa
Hao wote sisi hatukuwakuta labda msocha. Msocha alitutesa saaana dah....

Cc YOUNGBLOOD
 
Back
Top Bottom