yuda

John Yuda Msuri (born June 9, 1979 in Dodoma) is a Tanzanian long-distance runner.

View More On Wikipedia.org
  1. Mfilisiti

    Yuda Iskariote kumsaliti Yesu, inamaanisha nini?

    Amani ya Bwana na iwe nanyi nyote, Wakuu tukiwa katika kipindi hiki cha sikukuu ya Pasaka kuna kitu kimenitafakarisha kuhusu Yuda Iskariote kumsaliti Yesu, Naomba wabobezi wa maandiko mnijibu haya maswali: 1: (a)Je, wakuuu wa makuhani na Mafarisayo sura ya Yesu walikua hawaijui? hadi kumtumia...
  2. K

    KUTOKA KWA MUHINA KADUGUDA KADU A.K.A SIMBA WA YUDA

    “Huwezi kumtoa Baleke, Phiri utuletee Jobe sijui Fred wanasimba wasiwe waoga kusema, hapa uongozi umeteleza hata kama wanataka kwenda nusu fainali au kuchukua ubingwa wa Afrika lakini ndio Center Foward Fred ? midfield Jobe ? Sijui Babacar Sarr eeeh jamani ? “Hawa wachezaji hawa, ukienda...
  3. Erythrocyte

    Maulid Kitenge adai kwamba watu wanaopinga kubinafsishwa kwa Bandari hawajawahi hata kufika Bandarini

    Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika, sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai, kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua...
  4. J

    Je, Yuda Alikufaje Na Alienda Mbinguni?

    Yuda Iskariote ni mmojawapo wa wahusika wenye sifa mbaya sana wanaopatikana katika Biblia yote. Akiwa mmoja wa wanafunzi waliotumainiwa, alimsaliti Yesu kwa vipande 30 vya fedha, kisha Yuda akajiua. Nadharia kuhusu sababu za matendo ya Yuda na mazingira yanayozunguka kifo chake ni nyingi. Yuda...
  5. Kaka yake shetani

    Tumpongeze Yuda, bila yeye Yesu asingekwenda mbinguni Wala tusingefahamu pasaka

    Shukrani za dhati kwa Mwenyekiti cha wasiliti bwana Yuda kutuletea pasaka. Na kuanzisha mtindo wa usaliti.leo tuna mayuda wengi duniani kila Kona. Tumebakisha siku chache tumkumbuke Yuda maana tumemsahau
  6. GENTAMYCINE

    Mshambuliaji wa KMC FC Mateo Antony, wewe ni 'Mnafiki' na zaidi ya 'Yuda Iskarioti' katika Biblia

    Na usije tena maskani yetu Tegeta kwa swahiba wako mkuu na bingwa wa kucheza mechi za Ndondo Tanzania nzima Kudra Omary. Binafsi kama mwana maskani wako hapo leo nakwambia nakuchukia rasmi kwa kuendekeza Uyanga wako na siyo kucheza mpira na kuisaidia timu yako ya KMC FC ipate ushindi dhidi ya...
  7. Mwande na Mndewa

    Ijumaa Kuu: Kifo cha Yesu Kristo Msalabani (Simba wa Yuda)

    IJUMAA KUU; KIFO CHA YESU KRISTO MSALABANI (SIMBA WA YUDA) Leo 14:25pm 15/04/2022 Basi tangu saa sita mchana Yesu alipowekwa msalabani na kugongelewa misumari pale Calvary,akapaza sauti yake akasema Eloi,Eloi lamasabakhthani(Mungu wangu,Mungu wangu mbona umeniacha?) mara giza likatanda, Yohane...
  8. Lycaon pictus

    Vipande 30 vya fedha(Silver) alivyohongwa Yuda leo ni kama kiasi gani leo.

    Eti wakuu, ile pesa Yuda alihongwa ilikuwa na thamani gani? Leo inaweza kufananishwa na kiasi gani?
  9. Suzy Elias

    Yuda Iskariote chuma kilicho piga pesa ndefu na kumsaliti Yesu

    Yuda a.k.a chuma ndiye mwamba uliyeona pesa ni bora kuliko Yesu. Kabla ya siku ya Alhamis Kuu kama iaminiavyo na Wakristo wengi hapa Duniani chuma kilikuwa kimeshalamba advance yake mapema kabisa na Mafarisayo kama wote mida ya jioni jioni ya Alhamis Kuu ndiwo walikuwa wapambe wake huku...
  10. Victoire

    Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

    Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo. Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda. Rais kweli hapa si sawa kabisa.
  11. C

    Hemed Kivuyo atoa waraka mzito kumpinga Manara:atoa onyo Yanga SC

    Sina la kusema sababu aliyeandika waraka ni jamaa lialia la utopolo hata likitangazaga kwenye tv huwa linalia kabisa utopolo wakiwa wamepigwa na kina kapumbu ***************** Haji Manara Bomu linalosubiri Kutupasukia Anaandika Hemed Kivuyo. Wananchi leo ni Siku yetu, tusherehekee tufurahi...
  12. kmbwembwe

    Tutambue si kila biashara au wafanyabiashara wana faida kwa maendeleo ya nchi

    Yuda alisikitika yesu alipomwambia atamsaliti mara tatu kabla hapajakucha usiku ule alipotiwa mkononi mwa watesi wake. Kwa imani ya kikristo Yesu ana umungu ndani yake kwa hiyo angeweza kumjua msaliti mapema. Kwa bahati mbaya viongozi wengi wema walisalitiwa na watu waliyowaamini kabisa na...
  13. Underwood

    Je kwanini Yuda alimsaliti Yesu kwa busu?

    Natumaini Ijumaa kuu inawaendea vyema wana jamvi wakati huu taifa likiwa kwenye maombolezo ya kitaifa. Bila kupoteza muda, niende moja kwa moja kwenye hoja. Wengi wetu kama sio wote tunafahamu kuwa waumini wa madhehebu ya kikristo wako katika maadhimisho ya juma kuu kama namna ya kukumbuka na...
Back
Top Bottom