Mwanahabari Mkongwe Nchini Tanzania Bw. Paschal Mayalla amesema kikawaida katika dhana ya usaliti kuonekana jambo baya, pale inapotokea watu wanapanga mambo mabaya na maovu, yeyote atakayejitokeza katikati yao na kusema kuhusu njama hizo dhana hiyo hugeuka na kuwa dhana nzuri na yenye tija kwa...
Mambo yanaenda kasi sana.
Waswahili wanasema mdomo ulikiponza kichwa.
Madsi ya mwanasiasa asiyejulikana na wengi kutoka Zanxibar sitwaye Simai Mohammed, umeleta mtafaruku wa kisiasa ndani ya CCM, na hata Bungeni.
Madai yake mazito ati kuna Yuda msaliti ndani ya serikali, si tu yamekosea...
Hamjambo Wote!
1. Katika siasa za kiroho, Spiritual politics, Yuda iskariote, ambaye amebeba uhusika wa kumsaliti Yesu Mnazaethi, nje ya sifa zake nyingine.
2. Dhima ya Yuda duniani ilikuwa kuhakikisha ukombozi wa Dunia kupitia Yesu unakamilika.
3. Kumbuka Yesu ndiye alimchagua Yuda ili awe...
Wanabodi,
Angalizo la Nyuzi Ndefu
JF ni user generated forum, ina members wa aina zote na kazi yake ni kuhabarishana, kuelimishana na kuburudishana, na kati ya members hao, kila mmoja anashughuli zake za kumuingizia kipato kuendesha maisha yake, hivyo wao wanaandika jf kama past time tuu, mimi...
Kauli za Mbunge Simai Mohammed Said zinaonekana kuwa zaidi ya shambulio la kawaida la kisiasa; zinaashiria mvutano unaoweza kuwa unaendelea ndani ya CCM kuhusu siasa za urithi wa uongozi na maandalizi ya uchaguzi wa mwaka 2030.
Kwanza, ni muhimu kuelewa historia ya “Team Lowassa” ndani ya CCM...
Yuda wa Biblia alimsaliti Bwana Yesu. Siamini kama mleta hoja anamaanisha msalitiwa katika hoja yake ni sawa na Bwana Yesu!?!? Ipo siku tusiyoijua, “Yesu” huyu aliyefumbwa katika hoja hii, atafananishwa na “Mtume” asiyelinganishwa. Hapatatosha. Mleta hoja hajachagua vizuri maneno yake na mifano...
YUDA AMECHOKOZWA; ASICHOKOZEKE❗️❗️❗️
Yuda wa Biblia alimsaliti Bwana Yesu. Siamini kama mleta hoja anamaanisha msalitiwa katika hoja yake ni sawa na Bwana Yesu!?!? Ipo siku tusiyoijua, “Yesu” huyu aliyefumbwa katika hoja hii, atafananishwa na “Mtume” asiyelinganishwa. Hapatatosha. Mleta hoja...
Waswahili husema ukimdekeza mbwa, ipo siku atakufuata hadi msikitini. Hiki ndicho kilichotokea juzi, baada ya mbunge wa Zanzibar kumuita Makamu wa Rais, ambaye ni mtanganyika, jina la Yuda. Hizi zote ni hasira za wazanzibar kulazimishwa kuwa ndani ya muungano wasioutaka!
Tangu zamani...
Hehehee!
Mwafikiri iliisha. Hehehe. Siye tupo kimya mwatapatapa. Kila Siku mwamaliza mate kwenye vipaza sauti. Mayii! Mtaita maji muma hahahaha!
Yuda ni nyie mliosaliti wanaichi na kuwasulubisha kwa uroho wenyu wa madalaka. Na bado.
Mwambieni mwambieni mali yake bado yaliwa. Na bado.
Tumesikia wanzanzibari wakimwita makamu wa Raisi Yuda na eti ana jipendekeza kwa kivuli cha marehemu Magufuli. Lakini wanasema Magufuli alimpeleka nchi za mbali.
Sasa uyuda ni kupinga utekaji na wizi wa kura?
Mbunge wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Simai Mohammed Said, amesema mafanikio ya Serikali katika ukusanyaji wa mapato yanaonyesha kuwa Tanzania ipo katika mwelekeo sahihi wa kiuchumi chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Akichangia mjadala wa Bajeti ya...
Sera ya matibabu bure haitufikii vyema wanawake, kumwambia Mwanamke wa kijijini achangie 250,000 kwa ajili ya upasuaji, ni gharama kubwa sana hivyo wanawake wanaona bora wakajifungulie nyumbani
Hayo ameyasema leo 12 Mei 2026, Bungeni Dodoma, wakati akichangia hoja bungeni kuhusu bajeti ya...
Wakongo wanamsema vibaya Samia Suluhu Hassan
Wanadai anapenda hela sana kuliko Yuda Iskariote. Kawakosea nini? Wanadai anaweza kuuza hata damu ya watoto wake..
Je, ni kweli Samia Suluhu Hassan ana roho mbaya kiasi hivi?
Nahisi wakongo wanatumiwa na Mabeberu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.