Amani ya Bwana na iwe nanyi nyote,
Wakuu tukiwa katika kipindi hiki cha sikukuu ya Pasaka kuna kitu kimenitafakarisha kuhusu Yuda Iskariote kumsaliti Yesu,
Naomba wabobezi wa maandiko mnijibu haya maswali:
1: (a)Je, wakuuu wa makuhani na Mafarisayo sura ya Yesu walikua hawaijui? hadi kumtumia...
“Huwezi kumtoa Baleke, Phiri utuletee Jobe sijui Fred wanasimba wasiwe waoga kusema, hapa uongozi umeteleza hata kama wanataka kwenda nusu fainali au kuchukua ubingwa wa Afrika lakini ndio Center Foward Fred ? midfield Jobe ? Sijui Babacar Sarr eeeh jamani ?
“Hawa wachezaji hawa, ukienda...
Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika, sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai, kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua...
Yuda Iskariote ni mmojawapo wa wahusika wenye sifa mbaya sana wanaopatikana katika Biblia yote. Akiwa mmoja wa wanafunzi waliotumainiwa, alimsaliti Yesu kwa vipande 30 vya fedha, kisha Yuda akajiua. Nadharia kuhusu sababu za matendo ya Yuda na mazingira yanayozunguka kifo chake ni nyingi.
Yuda...
Shukrani za dhati kwa Mwenyekiti cha wasiliti bwana Yuda kutuletea pasaka.
Na kuanzisha mtindo wa usaliti.leo tuna mayuda wengi duniani kila Kona.
Tumebakisha siku chache tumkumbuke Yuda maana tumemsahau
Na usije tena maskani yetu Tegeta kwa swahiba wako mkuu na bingwa wa kucheza mechi za Ndondo Tanzania nzima Kudra Omary.
Binafsi kama mwana maskani wako hapo leo nakwambia nakuchukia rasmi kwa kuendekeza Uyanga wako na siyo kucheza mpira na kuisaidia timu yako ya KMC FC ipate ushindi dhidi ya...
IJUMAA KUU; KIFO CHA YESU KRISTO MSALABANI (SIMBA WA YUDA)
Leo 14:25pm 15/04/2022
Basi tangu saa sita mchana Yesu alipowekwa msalabani na kugongelewa misumari pale Calvary,akapaza sauti yake akasema Eloi,Eloi lamasabakhthani(Mungu wangu,Mungu wangu mbona umeniacha?) mara giza likatanda, Yohane...
Yuda a.k.a chuma ndiye mwamba uliyeona pesa ni bora kuliko Yesu.
Kabla ya siku ya Alhamis Kuu kama iaminiavyo na Wakristo wengi hapa Duniani chuma kilikuwa kimeshalamba advance yake mapema kabisa na Mafarisayo kama wote mida ya jioni jioni ya Alhamis Kuu ndiwo walikuwa wapambe wake huku...
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Sina la kusema sababu aliyeandika waraka ni jamaa lialia la utopolo hata likitangazaga kwenye tv huwa linalia kabisa utopolo wakiwa wamepigwa na kina kapumbu
*****************
Haji Manara Bomu linalosubiri Kutupasukia
Anaandika Hemed Kivuyo.
Wananchi leo ni Siku yetu, tusherehekee tufurahi...
Yuda alisikitika yesu alipomwambia atamsaliti mara tatu kabla hapajakucha usiku ule alipotiwa mkononi mwa watesi wake.
Kwa imani ya kikristo Yesu ana umungu ndani yake kwa hiyo angeweza kumjua msaliti mapema. Kwa bahati mbaya viongozi wengi wema walisalitiwa na watu waliyowaamini kabisa na...
Natumaini Ijumaa kuu inawaendea vyema wana jamvi wakati huu taifa likiwa kwenye maombolezo ya kitaifa. Bila kupoteza muda, niende moja kwa moja kwenye hoja.
Wengi wetu kama sio wote tunafahamu kuwa waumini wa madhehebu ya kikristo wako katika maadhimisho ya juma kuu kama namna ya kukumbuka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.