Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,329
- 37,814
Yuda ni yuda haijalishi kama ni yuda wa wakati uleee wa Yesu au wa wakati huu Mama ndio kila kitu.
Barabara ikijengwa ni Mama.
Matundu ya vyoo yakijengwa ni Mama.
Hospital ikijengwa ni Mama.
Hela zote ni Mama.
Sasa huyu Yuda wa Peramiho katokea wapi,anataka kuzika fahari ya Mama.
Deni la taifa ni la WATANGANYIKA.Mama hausiki hata likipaa kama tiara halimhusu wahusika kaeni mkao wa kushangilia.
Ngongo na genge lake tukutu tunajiandaa kwa maandamano makubwa ya kupinga katiba mpya
Katiba mpya haitaleta ugali mezani.Mahitaji na matarajio ya Watanganyika ni kurekebisha hii ya sasa ili kumuongezea Mama muhula mwingine wa miaka 5.
Ngongo kwa sasa kibandani kwa Sheikh Mwaipopo.
Barabara ikijengwa ni Mama.
Matundu ya vyoo yakijengwa ni Mama.
Hospital ikijengwa ni Mama.
Hela zote ni Mama.
Sasa huyu Yuda wa Peramiho katokea wapi,anataka kuzika fahari ya Mama.
Deni la taifa ni la WATANGANYIKA.Mama hausiki hata likipaa kama tiara halimhusu wahusika kaeni mkao wa kushangilia.
Ngongo na genge lake tukutu tunajiandaa kwa maandamano makubwa ya kupinga katiba mpya
Katiba mpya haitaleta ugali mezani.Mahitaji na matarajio ya Watanganyika ni kurekebisha hii ya sasa ili kumuongezea Mama muhula mwingine wa miaka 5.
Ngongo kwa sasa kibandani kwa Sheikh Mwaipopo.