Ng'adu kwa ng'adu, mwamba Hashimu Rungwe akipepea ndani ya helkopta kusambaza ujumbe wa ukombozi wa umma.
Je unajua kwamba YouTube channel ya chaumma inakaribia watu 250,000 tangu ianzishwe.
Yani Mrema na wenzake wanachakata mambo taratibu sasa wamebadili jina la Youtube ya CHADEMA na kuiita CHAUMMA media TV ila bado video za chadema wameziacha vile vile wanachekesha.
Nilijua Heche alimsingizia Mrema ila kwa hili analolifanya asee
Pia soma
Madai ya Heche Pre GE2025 - John Heche...
Wakuu
Kesi inayovuta hisia za wengi nchini imeendelea kupata mvuto mkubwa mtandaoni, huku idadi ya wafuatiliaji kupitia jukwaa la YouTube ikiongezeka kwa kasi isiyotarajiwa.
Hizi ni baadhi ya Chaneli za YouTube zilirusha Live zoezi la Usikilizwaji wa kesi ya Tundu Lissu katika Mahakama ya...
Hello wakuu nauza youtube chanel imeshanilipa kipindi cha nyuma mil 1.7 ina monetization na subscribers zaid ya 11,000. Hivyo ukiinunua kuanza kuweka content na account yako ya bank na kuanza kulipwa mwezi unaofuata, bei yake ni laki 5 tu. Nicheki DM
***************
Duh nimeona niongeze data...
ID
Title
1
Cadenas
2
Une Minute
3
Sweet Life (La vie est belle)
4
Ndoki
5
Anissa
6
Mikitisa
7
Service
8
Maria PM
9
Jus d’Orange
10
Aime-moi
11
Amore
12
Science-Fiction
13
Se Yo
14
Centième Dossier
15
Par Terre
16
A Flyé
17
Humanisme
18
1000% Mawa
19
Associé...
Heading inasomeka hapo juu, mimi kijana Mtanzania mwenzenu.
Nimepitia baadhi ya threads humu nimeona baadhi ya watu wakiandika story mbali mbali au taarifa ambazo zinavutia.
Nimekuwa content creator wa TIKTOK na YOUTUBE kama msimulizi wa historia na current issues ambazo zinabamba lakini naona...
WITO WA KUSHIRIKI KESI YA MH. TUNDU LISSU, JAMII KUFUATILIA MJADALA WA BUNGE LA ULAYA, NA TAARIFA YA UDUKUZI WA AKAUNTI ZA CHAMA.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuwataarifu Watanzania na jamii ya kimataifa juu ya matukio matatu makubwa yenye athari kwa demokrasia na haki...
Wakuu,
Naomba mwenye kujua Application ambayo naweza kushushia video YouTube.
Nilikua natumia Application kama Snaptube, Videoder na Vidmate. Ila sasa hivi naona zimekua restricted, hazidownload
Msaada wakuu.
Wakuu ,nmedownload baadhi ya Apps nilizogugo zinazosemekana zinadwnld video YouTube ila Sijafanikiwa .
Ni Application gan nayoweza kutumia?.
Kwa kuanzia naomben hii video , Kwa sisi Wasanii tunaburudishwa na Mpangilio wa Sauti
https://youtu.be/Ae8IA_84Naw?si=MIz142u-I-7GcaO3
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote ulimwenguni.!
Naomba msaada wadau maana nimehangaika tangu zamani bila mafanikio.
Miaka ya nyuma Kuna jamaa yangu aliniwekea app ilinisaidia sana, lakini Leo nikiiweka inagoma kabisa, inasema "not permission mara strickted dah nafeli sana kwa...
Jinsi ya Kutengeneza Pesa na YouTube — Mwongozo wa Kuanza
YouTube ni moja ya njia bora za kutengeneza pesa mtandaoni, lakini wengi hawajui pa kuanzia. Kama unatafuta njia ya kuanza kutengeneza kipato kupitia YouTube, basi makala hii ni kwa ajili yako!
1. Chagua Niche Yenye Fursa
Sio kila video...
Nimeona baadhi ya chaneli za Youtube, zinazomilikiwa na watu wa huko US, Canada, UK, Nigeria, SA n.k ambazo baadhi zina maudhui ya kusaidia wahitaji mbalimbali ili kuvutia watazamaji.
Kinacho nishangaza zaidi, kila video wanazozitoa ni kusaidia tu watu; sasa najiuliza, ina maana huko kwao...
Msaada tafadhali.
Mwenye maiki ya kurekodia maudhui ya Youtube naomba anisaidie, nilinunua maiki ya K9 lakini haina sauti nzuri kabisa.
Kama kuna mtu ana maiki naomba anisaidie.
SINA HELA ZAIDI YA 20,000 tu ndio maana nimeomba mwenye nayo anisaidie.
Asante na mbarikiwe sana.
Habari!
Kuna Youtube Chaneli inauzwa. Inasubscribe 14700, ipo kwenye malipo na imetoa pesa mara 3 hadi sasa.
Bei yake ni 3,300,000.
Kama unahitaji basi Unaweza nicheki PM kwa mawasiliano zaidi!
Asanteni!
Myself napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa platform ya YOUTUBE maana halisi ya Elimu na Burudani.
Kupitia YouTube kuna skills nyingi nimejifunza probably direct ama indirect zimeweza kuwa na impact kwenye maisha yangu binafsi.
Sina maana ku underestimate vyuo vya udereva ila ukiwa...
Habarini za wakati wakuu.
Nashindwa kujua namna ya kufanya kupandisha humu jamii forums video za mitandao mingine hasa youtube naombeni mnipe njia.
Amani ya bwana iwe nanyi.
mshamba_hachekwi
Mshana Jr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.