yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. S

    JamiiForums Tanzania Yanga ns Simba zote mbovu, zitaushia hatua ya makundi

    Hizi timu zero mbili safari hii sioni hata moja ya kuvuka hatua ya makundi bali zote zitaishia hatua ya makundi. Yaani hamna cha robo wala mwakarobo kwa timu zote mbili. Kwa sasa, hatuna timu za kushindana kimataifa msimu huu unless zinabadilika.
  2. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania A deep analysis of yanga vs Silver Strikers..

    I salute you kinsmen Tumevuka makundi, tumeshinda Lakini kuna namna tujipange mapema sana huko mbele pagumu sana Dakika 45 za kwanza Yanga walionesha mchezo ambao tofauti kabisa na ule uliofanyika Malawi wiki iliyopita 1: Kulikuwa na kasi ya mchezo sana Wachezaji hawakukaa na mali ilikuwa...
  3. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania WAFUATAO WAFUKUZWE YANGA SC HARAKA SANA

    Edmund john - anacheza kama kondoo Offen Chikola - sio level ya yanga Aziz adambwile - vivu,zembe , chawi Prince Dube- huyu apigwe kabla yakufukuzwa Mo doumbia _ mchezaji mvivu na mjinga Kocha mabedi - Hana uwezo wakuifundisha yanga Mwamnyeto - mchawi
  4. ngara23

    JamiiForums Tanzania Yanga kumtambulisha coach Pedro Valdemour Soares, muda wowote

    Coach Pedo Valdemour Soares, ambaye ni raia wa Ureno tayari yupo nchi ili kukinoa kikosi cha mabingwa wa kihistoria nchini na club kubwa nchi na ukanda huu wa CECAFA Young Africans Coach Pedro Valdemour Soares amewahi kufanya kazi Sporting sp, De Augosto, na Angola national team Coach Pedro...
  5. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inasemekana huyu ndiyo atatambulishwa kuwa kocha wa Yanga

    I salute you kinsmen Wakuu Yanga wamemuajiri kocha wa zamani wa vilabu vya Sporting Lisbon,De Agosto na timu ya taifa ya Angola,Pedro Valdemar Soares Gonçalves (49). Pira Ureno linakuja Jangwani,now kwamba Pedro Valdemar Soares Gonçalves ni kocha mpya wa Yanga✅ Ikumbukwe kocha huyo...
  6. DonDonald

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2 - 0 Silver Strikers | CAFCL | Second Preliminary Round | Second Leg | Mkapa Stadium | 25/10/2025

    Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAFCL, Yanga SC jioni ya leo wataingia uwanjani kurudiana na timu ya Silver Strikers kutoka Malawi Katika mechi ya kwanza iliyofanyika jijini Lilongwe nchini Malawi, Silver Strikers waliibuka na ushindi wa goli moja kwa bila Je Yanga leo watapindua...
  7. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania Leo nimeweka milioni 100 kwa Ushindi wa Yanga

    Leo nimeweka bet ya 100m kuwa Yanga itashinda am 3-0 au 3-1; nikikosa zote, basi nitahamia mapangoni. Nikipata mojawapo, basi tuwasiliane nikakupe bia za bure mpaka uzitapike: "He was a wise man who invented beer!"
  8. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu kilichotokea kufukuzwa kwa Gamond Yanga

    Wana Yanga wengi walifurahia sana mwenendo wa timu kipindi cha Master Gamondi na chini yake ndiyo timu nyingi zilichezea kipigo cha 5 including timu yako. Tatizo lilianza kwenye tamasha la Cheka 2 ambapo Engineer aliongozana na Aziz Ki kwenda kwenye tamasha, na haikuwa mara yakwanza Engineer...
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Viongozi Yanga tunataka mtuletee Soup na Chapati Uwanjani pamoja na Maji

    Naomba niweke hili ombi ili tuingie uwanjani mapema basi watuletee supu chapati mida ya saa 5 asubuhi. Hii itatuhamasisha sana na kutupa roho ya kuishangilia team. Pia tutaweza kuja kwa wingi uwanjani. Hersi pambania jambo hili. Maana naona kama mnajisahaulisha kuwa mashabiki tutakuja hapo...
  10. Tate Mkuu

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa Yanga na wachezaji mna cha kujifunza kupitia hizi dharau na kejeli mnazo fanyiwa na timu ya Silver Strikers ya Malawi

    Kwanza nitoe pole kwa mashabiki na wanachama kwa kipindi hiki kifupi na kigumu tulichopitia tangu timu ilipokuwa chini ya kocha aliyetimuliwa Romain Folz. Kocha huyu alikuwa hana uzoefu wa kutosha kufundisha timu kubwa kama Yanga. Na matokeo yake tuliyaona kwenye mechi alizozisimamia. Moja ya...
  11. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Mashabiki Yanga SC waomba waletewe wali na maji siku ya mechi ya bure

    Tunawaomba viongozi wetu wa Yanga siku ya mechi yetu ya marudiano na Silver tupate chakula pilau, soda na maji wakati mechi inaendelea tunakula, na baada mechi kuisha tupate tena tukiwa tunasherekea ushindi wetu Amesema GodYanga
  12. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Yanga mtapewa "Ladies Free" mpaka lini?

    Vijana wangu wameniambia kwamba Yanga wamelipiwa. Nafikiri wamelipiwa na mwarabu GSM. Hili swala litaendelea mpaka lini, hamuoni aibu watu wazima kulipiwa na mwarabu. Sasa inatofauti gani na ladies free?! Kwa sisi Simba viingilia ni kama inavyoonekana
  13. ngara23

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Yanga mnapigisha shot ili Yanga itolewe hatua za awali, kubadili hamasa ya maandamano

    Sisi Wanachama wa Yanga wazalendo tuliwaasa kuhusu kujihusisha na siasa hasa CCM Sasa Kuna tetesi kuwa mmetumwa na CCM ili mfanye muwezavyo ili Yanga itolewe hatua za awali ili kubadilisha mjadala na hamasa za maandamano Kwamba vijana na Mashabiki wa Yanga watumie muda huu wa dhahabu...
  14. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Aziz Adambwile, overrated aliyetaka kuizamisha Yanga kisa ngekewa

    Nilipomkataa huyu tapeli wa mpira baada ya gemu dhidi ya Simba sc ambapo mashabiki maandazi wengi walimmwagia sifa za uongo niliishia kutukanwa , wapo walioenda mbali nakusema hatimae nimedhihirisha wehu wangu. Nakazia Tena, Aziz adambwile Hana uwezo wakuisadia Yanga kama namba sita...
  15. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    I salute you kinsmen Tayari miloud kashatimuliwa Tuache kuzunguka bure huyu alikuwepo yanga majuzi tu hakuna haja ya kumrudisha tu maana sidhani kama bado anasahau team yetu maana alikuwepo juzi tu Makocha wa kiarabu huwa ni makocha wazuri sana kama huyu bwana Hakuna haja ya kuhangaika huyu...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Yanga kwa kujifungamanisha na wadhalimu, siioni ikifanya vizuri tena

    Mtu yeyote anayoshirikiana na dhalimu hawezi kufanikiwa. Lilikuwa kosa kubwa sana la kimkakati katika ulimwengu wa haki. Mwaka huu ni mwaka wa neema kwa wenye haki. Yanga, kwa kujifungamanisha na wadhalimu, haitafanikiwa. Narudia tena, Oktoba 25 haitatoboa. Mwaka huu ni mwaka wa mwenye haki.
  17. ngara23

    JamiiForums Tanzania Yanga nawaomba msitishe mara Moja mpango wa kumleta Coach Rakotondrabe wa Madagascar

    Kama mwanachama anguli wa Yanga, nawaasa acha mara Moja hata kufikiria kumleta Coach Rakotondrabe wa Madagascar kwenye timu yetu maana atafeli hata zaidi ya Folz Mimi ni foundation ya coaching, sisi makocha tunajua ugumu wa coach wa national team kufanya kazi katika vilabu Pili, Ogopa sana...
  18. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Folz amekufukzwa kihalali kabisa! Yanga bado ina nafasi ya kufuzu

    I salute you kinsmen Kwa kweli mwanzo mimi nilikuwa moja ya watu niliomtetea folz sana nyie mashahidi Aleyn Tate Mkuu ngara23 vibertz na wengine wote nyie mashahidi Ila huyu jamaa kwa kweli alizidi hateteki! Folz ameuharibu sana mpira wa yanga Yaani yanga ya kutegemea cross tu kweli...
  19. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania Nimepoteza hela tena Mbele ya Yanga

    Nilitegemea ushindi wa 2-0 nikaishia kichapo cha 0-1. Sijui kwenye Yanga hii kosa liko wapi
  20. M

    JamiiForums Tanzania Je, taifa halina Gen Z kama Kenya na Madascar? Au wao wanadili na Bongo fleva na Simba na Yanga?

    Dunia nzima sasa inaonekana watakaoleta mabadiliko ni Gen Z. Lakini kwa Tanzania wanawaza kujadili Singeli na bongo fleva. Huku Taifa lao likienda mlama kwa ufisadi, upendeleo huku maisha yao yakiwa hovyo kabisa Gen Z wa Tanzania hovyo kabisa kama makamasi ya ndama.
Back
Top Bottom