Kijana, shtuka!
Apaswayo kuyafanya mzazi wako anapokuzaa ni mambo mawili pekee, nayo ni; kukulea ( ki-maadili), kuhakikisha unapata chakula ( kwa umri komo) na kuhakikisha unapata elimu ( kama una akili hiyo).
Vinginevyo, mali za baba yako siyo zako. Na, anaweza kutokukupa urithi akiamua na...