R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Kwakweli hiki kitu kiliniuma sana, nilimuazma geto rafik yangu ili AZAGAMUE, nyie acheni tu, nilijifunza kuanzia siku iyo mpaka leo chumba changu ni Madhahu, Takatifu siwezi kuazima mtu.
Niliwahi kumuazima rafiki Geto, saa 12 jioni alinirudishia funguo mwenyewe, narudi saa mbili geto namkuta denti wa form 2 ananiambia alianguka kifafa kaamka jamaa hayupo, nampigia jamaa simu hapatikani, Yule denti nilimpa buku 2 akaondoka, baada ya siku 2 jamaa akapokea, katika kumlalamikia ndio nikajua yaliyotokea.
Nakumbuka nilipokuwa chuoni nikiwa Mbeya nilipanga geto kitaa mitaa ya Foresti wakati, kulikuwa na muuza duka tulizoeana na alikuwa ananikopa bila tatizo mambo yakiwa magumu, sasa huyu best siku 1 akanipigia simu usiku "oya kuna dem nataka nijivinjari nae, Kesho asubuhi ukienda chuo nimwachie funguo"
Kweli asubuhi nilimwachia funguo nikaenda chuo kumbe kavusha mwanafunzi wa fomu 2 tena kavaa sale za shule, jamaa kafanya yake, sasa demu akawa anasubiri muda wa kutoka shule arudi kwao, wakalala hapo kusogeza muda ila kumbe huyo denti ana kifafa, kikampanda kika mbeba wee jamaa inafika saa 9 anamwamsha hamki, anapiga simu sipokei nipo class, akiwaza amwambie Maza hausi au watu nje anaona hii kesi, basi wazo likamjia la kukimbia akatoroka akarudi kijijini kwao huko wilaya ya karibu, alifunga chumba aliponipigia nilipatikana akanileta funguo chuoni,
Sasa narudi jioni namkuta Yule demu amesha amka ana msubiri jamaa, nampigia jamaa simu apokei Yule demu Nika mwambia ukweli jamaa apokei simu sijui kitu kumbe anataka ela, nikampa 2000 akasepa.
Baada ya siku 2 jamaa anapiga simu kaka huko vp, nilimwambia anatasakwa na mtendaji na polisi, hakurudi tena!! Alikua anauza duka kubwa, kazi aliiacha na laptop yake aliiacha geto siku anatumia na denti nmebak nayo na katoni 3 za sukali na chumvi 1 na kreti za soda 5 alikua anavusha usiku za bosi wake dukani ili auze
Kwa sasa analima mahindi huko kwao, nilishamwambia anatafuta kesi mahakaman akija kuthubutu kurudi hapo mjini. kuna kipindi alianza kuwa mkali kudai laptop yake nilimpa makavu akiendelra kunidai pc nitaamchomesha, asije kuthubutu tena, mtu unapata wapi nguvu ya kudai pc ya laki 7 wakati umemwachia mwenzako mzigo wa kunusurika chupu chupu lwenda mahabusu miaka 15 ?
Niliwahi kumuazima rafiki Geto, saa 12 jioni alinirudishia funguo mwenyewe, narudi saa mbili geto namkuta denti wa form 2 ananiambia alianguka kifafa kaamka jamaa hayupo, nampigia jamaa simu hapatikani, Yule denti nilimpa buku 2 akaondoka, baada ya siku 2 jamaa akapokea, katika kumlalamikia ndio nikajua yaliyotokea.
Nakumbuka nilipokuwa chuoni nikiwa Mbeya nilipanga geto kitaa mitaa ya Foresti wakati, kulikuwa na muuza duka tulizoeana na alikuwa ananikopa bila tatizo mambo yakiwa magumu, sasa huyu best siku 1 akanipigia simu usiku "oya kuna dem nataka nijivinjari nae, Kesho asubuhi ukienda chuo nimwachie funguo"
Kweli asubuhi nilimwachia funguo nikaenda chuo kumbe kavusha mwanafunzi wa fomu 2 tena kavaa sale za shule, jamaa kafanya yake, sasa demu akawa anasubiri muda wa kutoka shule arudi kwao, wakalala hapo kusogeza muda ila kumbe huyo denti ana kifafa, kikampanda kika mbeba wee jamaa inafika saa 9 anamwamsha hamki, anapiga simu sipokei nipo class, akiwaza amwambie Maza hausi au watu nje anaona hii kesi, basi wazo likamjia la kukimbia akatoroka akarudi kijijini kwao huko wilaya ya karibu, alifunga chumba aliponipigia nilipatikana akanileta funguo chuoni,
Sasa narudi jioni namkuta Yule demu amesha amka ana msubiri jamaa, nampigia jamaa simu apokei Yule demu Nika mwambia ukweli jamaa apokei simu sijui kitu kumbe anataka ela, nikampa 2000 akasepa.
Baada ya siku 2 jamaa anapiga simu kaka huko vp, nilimwambia anatasakwa na mtendaji na polisi, hakurudi tena!! Alikua anauza duka kubwa, kazi aliiacha na laptop yake aliiacha geto siku anatumia na denti nmebak nayo na katoni 3 za sukali na chumvi 1 na kreti za soda 5 alikua anavusha usiku za bosi wake dukani ili auze
Kwa sasa analima mahindi huko kwao, nilishamwambia anatafuta kesi mahakaman akija kuthubutu kurudi hapo mjini. kuna kipindi alianza kuwa mkali kudai laptop yake nilimpa makavu akiendelra kunidai pc nitaamchomesha, asije kuthubutu tena, mtu unapata wapi nguvu ya kudai pc ya laki 7 wakati umemwachia mwenzako mzigo wa kunusurika chupu chupu lwenda mahabusu miaka 15 ?