Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 1,217
- 3,898
nilikua nikieperuzi peruzi humu nikana kuna mtu anatafuta mume mtu mzima akanikumbusha mbali sana kwenye moja wapo ya kisa nilichokutana nacho, ilikua hivi
nilitokea kupata danga la kizee, ni mtu mzima mno maana si mama yangu wala baba yangu anamfikia sasa nikawa namuita babu, huyu babu niseme alinipenda lakini mimi nilikua napenda hela zake, na hakua mchoyo anajua kutuma hela sjawah kupata mwanaume anaejua kutuma hela kama yeye tena na ya kutolea juu, sasa bwana mwanzon anaanza kunitongoza mimi nilikua naona nuksi na mkosi gan unaniangukia kutongozwa n kikongwe tena na kunililia kama mtoto mdogo. Nikawa najionea mambo mageni aliniogopesha mno lakini palikuapo na mama mtu mzima age kama ya bi mkubwa wangu
nilikua namshirikisha yanayoendelea akaniambia kua makini mara nyingi wanakuwaga wameukwaa asije kukuua bure, kizaazaa ni ikifika lunch naletewa misosi mizito na hela juu mimi nasweka tu tumboni, kuna kasauti kakawa kananishauri huyo hujamuomba anawewesekea penzi lako akikupa hela pokea kwa sababu ni kiherehere chake hujamuomba, ikawa ni hivyo nikitoka napitishwa kula ice cream siku asipokuja kunichukua lazima anunue aniletee nyumban, hapa nilikua natumia mbinu zote nitoke nikachukue ice cream tu na hela sasa bwana babu akutaka mzigo, mimi nikaanza kupiga dana dana, tena akaanza kunitolea na maneno ya shombo na mm namtukana ikawa kama desturi baada ya hayo anakua haonekani, hanipatilizi hanitafuti na akija maeneo ya kazini kama hanijui vile, kisha baada ya muda anakuja tena kwa kasi mimi na yee tunaishia anapotaka mzigo akaubute, sku moja moja akanitishia nakuja kukuripot kwa boss wako unanitukana, nikamjibu unakuja saa ngap muda wakutoka unakaribia, mie nikamwambia boss kuna mwehu mmoja ana shida na ww huyu mkurugenzi ni mwanaume na yeye alikua ananilia mingo sikumficha nilimweleza ni nni na shida nini, asije mpuuzi yule baadae najiandaa kutoka ananitumia msg nimekuchukulia rb yako niko mjini useme baadae nikuletee wapi nikamwambia uniletee rb wapi mzee wewe niambie kituo mimi nakuja happ chap, akanitajia kituo mimi huyo.
I was very confused, yani naongea kama mwehu kwamba hiki sasa s ni kituko cha karne kosa ni kumtukana au n nn polisi tena wapi na wapi mbona babu anajiresi sana nikafika kituoni nisimkute nikampigia, uko wapi nishafika mm nakuja subiri, nikaulizwa aloo unashida gan msichana nikajibu nimechukulia rb namsubir alienichukulia rb hapo moyoni nilijua leo mimi nalala mahabusu nilichokifanya nikamtumia msg bi mkubwa, mama nitachelewa nina dharura.
Basi kibabu hiko kikaja bwana akanipeleka kaunta tukasikilizwa, yulepolisi akamuuliza wewe babu mtu mzima huyu s kama mjukuu wako huoni aibu et amenitukana nataka kumkomesha mimi nipo onyesha msg et nimezifuta ntaenda tigo waprint tukatimuliwa na askari ila akanizuia akaniambia muache huyo babu aende asije akakunyaga na gar umemdhalilisha hapo ni saa mbili usiku nikaondoka hiki kisa nikikimbuka hua najicheka sana sikuwahi kutegemea nikakutana na kituko kama hicho japo mbele alibadilika
wewe ulikumbana na kisa gan kwenye safar yako ya mapenzi?
nilitokea kupata danga la kizee, ni mtu mzima mno maana si mama yangu wala baba yangu anamfikia sasa nikawa namuita babu, huyu babu niseme alinipenda lakini mimi nilikua napenda hela zake, na hakua mchoyo anajua kutuma hela sjawah kupata mwanaume anaejua kutuma hela kama yeye tena na ya kutolea juu, sasa bwana mwanzon anaanza kunitongoza mimi nilikua naona nuksi na mkosi gan unaniangukia kutongozwa n kikongwe tena na kunililia kama mtoto mdogo. Nikawa najionea mambo mageni aliniogopesha mno lakini palikuapo na mama mtu mzima age kama ya bi mkubwa wangu
nilikua namshirikisha yanayoendelea akaniambia kua makini mara nyingi wanakuwaga wameukwaa asije kukuua bure, kizaazaa ni ikifika lunch naletewa misosi mizito na hela juu mimi nasweka tu tumboni, kuna kasauti kakawa kananishauri huyo hujamuomba anawewesekea penzi lako akikupa hela pokea kwa sababu ni kiherehere chake hujamuomba, ikawa ni hivyo nikitoka napitishwa kula ice cream siku asipokuja kunichukua lazima anunue aniletee nyumban, hapa nilikua natumia mbinu zote nitoke nikachukue ice cream tu na hela sasa bwana babu akutaka mzigo, mimi nikaanza kupiga dana dana, tena akaanza kunitolea na maneno ya shombo na mm namtukana ikawa kama desturi baada ya hayo anakua haonekani, hanipatilizi hanitafuti na akija maeneo ya kazini kama hanijui vile, kisha baada ya muda anakuja tena kwa kasi mimi na yee tunaishia anapotaka mzigo akaubute, sku moja moja akanitishia nakuja kukuripot kwa boss wako unanitukana, nikamjibu unakuja saa ngap muda wakutoka unakaribia, mie nikamwambia boss kuna mwehu mmoja ana shida na ww huyu mkurugenzi ni mwanaume na yeye alikua ananilia mingo sikumficha nilimweleza ni nni na shida nini, asije mpuuzi yule baadae najiandaa kutoka ananitumia msg nimekuchukulia rb yako niko mjini useme baadae nikuletee wapi nikamwambia uniletee rb wapi mzee wewe niambie kituo mimi nakuja happ chap, akanitajia kituo mimi huyo.
I was very confused, yani naongea kama mwehu kwamba hiki sasa s ni kituko cha karne kosa ni kumtukana au n nn polisi tena wapi na wapi mbona babu anajiresi sana nikafika kituoni nisimkute nikampigia, uko wapi nishafika mm nakuja subiri, nikaulizwa aloo unashida gan msichana nikajibu nimechukulia rb namsubir alienichukulia rb hapo moyoni nilijua leo mimi nalala mahabusu nilichokifanya nikamtumia msg bi mkubwa, mama nitachelewa nina dharura.
Basi kibabu hiko kikaja bwana akanipeleka kaunta tukasikilizwa, yulepolisi akamuuliza wewe babu mtu mzima huyu s kama mjukuu wako huoni aibu et amenitukana nataka kumkomesha mimi nipo onyesha msg et nimezifuta ntaenda tigo waprint tukatimuliwa na askari ila akanizuia akaniambia muache huyo babu aende asije akakunyaga na gar umemdhalilisha hapo ni saa mbili usiku nikaondoka hiki kisa nikikimbuka hua najicheka sana sikuwahi kutegemea nikakutana na kituko kama hicho japo mbele alibadilika
wewe ulikumbana na kisa gan kwenye safar yako ya mapenzi?