yako

Yakō Station (矢向駅, Yakō-eki) is a passenger railway station located in Tsurumi-ku, Yokohama, Kanagawa Prefecture, Japan, operated by the East Japan Railway Company (JR East).

View More On Wikipedia.org
  1. I

    Usipuuze Sauti Hizi 6 Kutoka Kwenye Kompyuta Yako — Ni Dalili Kubwa ya Hatari

    Kompyuta yako si kifaa kinachofanya kazi kimya kabisa. Ndani yake kuna fans, diski zinazozunguka, na sehemu za kielektroniki ambazo kwa kawaida hutoa sauti ndogo. Lakini pale sauti zinapobadilika ghafla kuwa kubwa zaidi, za ajabu, au zisizo za kawaida, hapo ndipo tatizo linaanza. Leo tutaeleza...
  2. Stuxnet

    GE2025 Maandamano mtandaoni yako tayari kwa 80%, ila kwa ground raia wanakimbiza mishe zao tu

    MangeKimambi hawajui watanzania vizuri ni kwamba anajisumbua tu. Watanzania hakuna hata mmoja atakae toka kuandamana. Maandamano yao yapo mitandaoni. Kila mmoja anamtegemea mwenzake atoke na mwenzake anamtegemea mwenzake mwingine atoke
  3. Prof_Adventure_guide

    Website Yako Ipo Tayari kwaSiku 3 Tu

    Je unataka kuongeza uonekano wa biashara yako mtandaoni na kufungua milango mipya ya wateja bila kuchelewa? Tuna furaha kukutaarifu kuwa tunaunda website zako za kisasa, zenye mfumo kamili na functionalities zote muhimu, ndani ya siku 3 tu! Huduma Zetu Zinajumuisha: Design ya Kisasa (Modern...
  4. I

    Laptop Gani Inafaa Kazi Yako Hasa — Na Kwanini Watu Wengi Huchagua Vibaya?

    Laptop Gani Inafaa Kazi Yangu ? Kwa Nini Swali Hili ni Muhimu? Kila mnunuzi wa laptop anapofika sokoni au anapotafuta mtandaoni hukutana na swali moja kuu 👉 “Laptop hii itaendesha software zangu kweli? Itakubali printer na projector zangu? Itakuwa na speed Kwenye kazi zangu?” Na hapa ndipo hofu...
  5. L

    Jinsi ya Kuongeza Mtaji wa Kampuni Yako

    Umefungua Kampuni kwa mtaji wa 10M kama share capital mfano, baada ya kufanya biashara kwa muda Fulani unataka kuongeza Mtaji ufike 50M. Hizi ni hatua za kisheria za kufuata. 1. Kikao Cha wakurugenzi (directors) Wakurugenzi watakaa na kupitisha ajenda ya kuongeza Mtaji wa Kampuni. 2. Notice...
  6. Smartkahn

    Life lessons: Kwa muda uliokuwepo hapa duniani umejifunza nini Katika mapito yako!?

    Iwe mahusiano, uchumi utawala, sayansi na teknolojia nk. Funzo bora katika maisha ni lile linalokupata ukahangaika nalo mwisho wa siku ukavuka "tunajifunza Kutokana na makosa etc." sasa je wewe umepata funzo gani hapa duniani? Tizama hii video na karibu utushirikishe kwa chochote kile
  7. Genius Man

    GE2025 Wakati unafikiria kupigania haki yako kwa wanasiasa wasiotutakia mema usiseme naogopa polisi kwanini polisi wasikuogope wewe

    Wakati unafikiria kupigania haki yako kwa wanasaiasa wasio tutakia mema usiseme naogopa polisi kwanini polisi wasikuogope wewe. Au polisi sio watu kama wewe, kama ni kupagania haki yako dhidi ya utawala mbovu haina majadala na haiwezi kuwa kosa la jinai. Watu mtakao andamana msifanye vurugu...
  8. Desierto

    Ulikutanaje na rafiki yako ambaye kwa sasa ni kama ndugu yako

    Kuna wakati inatokeaga kama ajali mtu usiye mtarajia akaja kuwa rafiki wa muhimu kwenye maisha yako. Mm nilikutana na huyu jamaa kama kmteja tu na huu ni mwaka wa 5 amekuwa rafiki wa faida kwetu sote wawili.
  9. Financial Analyst

    Usiombe kuangalia mechi kwa TV alafu kuna jirani yako yeye anasikilizia kwa redio pia kaweka sauti kubwa , inakera mnoo.

    Mjini redio zinafanya nini? si mrudi kijijini mkalime.
  10. comrade_kipepe

    Nipe tofauti Kati ya hawa

    Malaya Mwanamke aliekua na mwanaume zaidi ya mmoja Changudoa Wale wanaojipanga barabarani Kwa mafungu, buku 5 unapiga Kahaba Wale wanaojiuza na kupost video zao kwenye Mitandao bila kuficha hata Sura,
  11. kyagata

    Kwanini mtu ukiwa unatekeleza majukumu yako ya kiofisi unaonekana ni mwenye kiherehere?

    Kufanya kazi na Watanzania ni changamoto sana kwa kweli. Labda mnisaidie kuelewa, muda si mrefu nimeingia ofisini hapa kuanza majukumu yangu ya siku. Nimefika tu, kuna chawa wangu mmoja akaniletea kaumbea kuwa kwenye kikao chao cha idara yao huko, kuna mtu amenizungumzia kuwa nawabana sana na...
  12. ELI COHEN

    Bongo ukiwa mkimya utasemwa na ukiwa muongeaji utasemwa pia

    Maisha ya bongo ni jihadi kwa kweli! Ukiwa mkimya utasemwa unajisikia na ukiwa muongeaji utaitwa mjuaji licha ya haya usiache kuishi kwa namna yako "MTAZAMO WAKO KWANGU NI TASWIRA YAKO" Kuna wakati utagundua ulipoteza muda kuwa na hurka ya kuridhisha watu, ulipoteza muda kuhukumu wasioendana...
  13. M

    Huu hapa ufundi wa Mungu juu ya pua yako !

    - Mungu aliona aweke mashino mawili ambayo yote yameunganishwa kwenye pipe moja ya juu hivyo shimo moja likiziba jingine litatumika kama dharula. Mungu akaona kuwa pua inapaswa kuwa na uwezo wa kugundua harufu mbalimbali za kipekee, hivyo akaongeza seli maalum za harufu ambazo sio tu zinatambua...
  14. ndege JOHN

    Kula yako ipoje? huwa unakula unachokiona au mpaka ujiandae kiakili

    Kwa mfano kwa Sisi wapenda pombe huwa kula yetu ni ya Kiasi tunamfuata Janabi, sasa Mimi binafsi ukiniamsha asubuhi ukanishtukiza eti kula supu ya kuku hii hapa aisee huwa siwezi. Mimi napenda niamke asubuhi nianze kujiandaa na kutafakari nini Leo samaki au utumbo ndizo au majani ya maboga au...
  15. Dalali wa Mjini

    Bahati yako hii Tajiri Beach Kilwa masoko

    Shamba linauzwa KILWA MASOKO Shamba ni Heka 14 Lina hati miliki (Title Deed) Bei milion 150 📱0754693556 nipigie simu nikupeleke.
  16. britanicca

    Nchi inaliwa sana, wanakula hela yako wanakunja vidole vyote wanaacha cha katikati kimesimama kuwatukana wananchi

    Watoto wa Mkuu wa Usalama wa Taifa wakiwa wana enjoy matunda ya watanzania wasio na uchumi sahihi, Wanaonesha madolali na kutambia watanzania Wengine Nimekumbuka ilikuwa asubuhi tarehe 17/02/2025 nikakutana na mtoto wa mstaafu fulan ambaye aliwahi zushiwa kuwekwa kuzuizini Aliniambia hivi...
  17. N

    Habari njema, je wajua unaweza kumiliki Tv yako au Redio yako kwa njia ya mtandaoni ?

    Habari wakuu, Katika zama hizi za maendeleo ya teknolojia ya kidijitali, umiliki wa televisheni na redio hauhitaji tena njia za kizamani kama vile kuwa na mitambo mikubwa, studio za gharama kubwa, au leseni ngumu za urushaji. Sasa, mtu yeyote anaweza kumiliki televisheni au redio ya mtandaoni...
  18. Lord Denning

    DPP Silvester Mwakitalu, muangalie Masaju anavyojaribu kunyoosha mambo. Linda heshima yako na vizazi vyako

    Nakushauri kwa mara ya mwisho Silvester Mwakitalu. Angalau wewe mabadiliko madogo ya mwisho ya Katiba hii mbovu tuliyonayo yalikupa immunity kama Majaji. Kwenye shauri la Lissu una option mbili. Kusimama upande wa Haki na kubarikiwa wewe na vizazi vyako vinavyokuja AU Kusimama upande wa...
  19. kyagata

    Ukiwa maeneo yako ya kujidai kama bar, huwa unajulikana kwa a.k.a gani?

    Mimi kuna bar hapo Tabata wamenipa jina la king mswati.Hilo jina walinipa kwa sababu ya kila bar maid anaekuja lazima nipite naye, Wadau wakaamua kuniita king mswati. Wewe je mdau, maeneo yako ya kujidai wanakujua kwa a.k.a gani?
  20. R

    Rostam Azizi press conference yako imepuuzwa, nobody is interested in it/discussing it

    Kama una cha kujifunza utajifuna na kufanya reformation. Hakuna anayejadili ulichokiongea maana wanajua unachowafanyia watanzania na ukweli wa MUNGU unajulikana. Linganisha na trending ya press conference za Polepole! Ina maana watu wanaona substance from his mouth! Lakini kwa vile...
Back
Top Bottom