Yakō Station (矢向駅, Yakō-eki) is a passenger railway station located in Tsurumi-ku, Yokohama, Kanagawa Prefecture, Japan, operated by the East Japan Railway Company (JR East).
Kompyuta yako si kifaa kinachofanya kazi kimya kabisa. Ndani yake kuna fans, diski zinazozunguka, na sehemu za kielektroniki ambazo kwa kawaida hutoa sauti ndogo. Lakini pale sauti zinapobadilika ghafla kuwa kubwa zaidi, za ajabu, au zisizo za kawaida, hapo ndipo tatizo linaanza. Leo tutaeleza...
MangeKimambi hawajui watanzania vizuri ni kwamba anajisumbua tu. Watanzania hakuna hata mmoja atakae toka kuandamana. Maandamano yao yapo mitandaoni. Kila mmoja anamtegemea mwenzake atoke na mwenzake anamtegemea mwenzake mwingine atoke
Je unataka kuongeza uonekano wa biashara yako mtandaoni na kufungua milango mipya ya wateja bila kuchelewa? Tuna furaha kukutaarifu kuwa tunaunda website zako za kisasa, zenye mfumo kamili na functionalities zote muhimu, ndani ya siku 3 tu!
Huduma Zetu Zinajumuisha:
Design ya Kisasa (Modern...
Laptop Gani Inafaa Kazi Yangu ?
Kwa Nini Swali Hili ni Muhimu?
Kila mnunuzi wa laptop anapofika sokoni au anapotafuta mtandaoni hukutana na swali moja kuu
👉 “Laptop hii itaendesha software zangu kweli? Itakubali printer na projector zangu? Itakuwa na speed Kwenye kazi zangu?”
Na hapa ndipo hofu...
Umefungua Kampuni kwa mtaji wa 10M kama share capital mfano, baada ya kufanya biashara kwa muda Fulani unataka kuongeza Mtaji ufike 50M.
Hizi ni hatua za kisheria za kufuata.
1. Kikao Cha wakurugenzi (directors)
Wakurugenzi watakaa na kupitisha ajenda ya kuongeza Mtaji wa Kampuni.
2. Notice...
Iwe mahusiano, uchumi utawala, sayansi na teknolojia nk.
Funzo bora katika maisha ni lile linalokupata ukahangaika nalo mwisho wa siku ukavuka "tunajifunza Kutokana na makosa etc." sasa je wewe umepata funzo gani hapa duniani?
Tizama hii video na karibu utushirikishe kwa chochote kile
Wakati unafikiria kupigania haki yako kwa wanasaiasa wasio tutakia mema usiseme naogopa polisi kwanini polisi wasikuogope wewe.
Au polisi sio watu kama wewe, kama ni kupagania haki yako dhidi ya utawala mbovu haina majadala na haiwezi kuwa kosa la jinai.
Watu mtakao andamana msifanye vurugu...
Kuna wakati inatokeaga kama ajali mtu usiye mtarajia akaja kuwa rafiki wa muhimu kwenye maisha yako.
Mm nilikutana na huyu jamaa kama kmteja tu na huu ni mwaka wa 5 amekuwa rafiki wa faida kwetu sote wawili.
Malaya
Mwanamke aliekua na mwanaume zaidi ya mmoja
Changudoa
Wale wanaojipanga barabarani Kwa mafungu, buku 5 unapiga
Kahaba
Wale wanaojiuza na kupost video zao kwenye Mitandao bila kuficha hata Sura,
Kufanya kazi na Watanzania ni changamoto sana kwa kweli.
Labda mnisaidie kuelewa, muda si mrefu nimeingia ofisini hapa kuanza majukumu yangu ya siku.
Nimefika tu, kuna chawa wangu mmoja akaniletea kaumbea kuwa kwenye kikao chao cha idara yao huko, kuna mtu amenizungumzia kuwa nawabana sana na...
Maisha ya bongo ni jihadi kwa kweli! Ukiwa mkimya utasemwa unajisikia na ukiwa muongeaji utaitwa mjuaji licha ya haya usiache kuishi kwa namna yako
"MTAZAMO WAKO KWANGU NI TASWIRA YAKO"
Kuna wakati utagundua ulipoteza muda kuwa na hurka ya kuridhisha watu, ulipoteza muda kuhukumu wasioendana...
- Mungu aliona aweke mashino mawili ambayo yote yameunganishwa kwenye pipe moja ya juu hivyo shimo moja likiziba jingine litatumika kama dharula.
Mungu akaona kuwa pua inapaswa kuwa na uwezo wa kugundua harufu mbalimbali za kipekee, hivyo akaongeza seli maalum za harufu ambazo sio tu zinatambua...
Kwa mfano kwa Sisi wapenda pombe huwa kula yetu ni ya Kiasi tunamfuata Janabi, sasa Mimi binafsi ukiniamsha asubuhi ukanishtukiza eti kula supu ya kuku hii hapa aisee huwa siwezi.
Mimi napenda niamke asubuhi nianze kujiandaa na kutafakari nini Leo samaki au utumbo ndizo au majani ya maboga au...
Watoto wa Mkuu wa Usalama wa Taifa wakiwa wana enjoy matunda ya watanzania wasio na uchumi sahihi,
Wanaonesha madolali na kutambia watanzania Wengine
Nimekumbuka ilikuwa asubuhi tarehe 17/02/2025 nikakutana na mtoto wa mstaafu fulan ambaye aliwahi zushiwa kuwekwa kuzuizini
Aliniambia hivi...
Habari wakuu,
Katika zama hizi za maendeleo ya teknolojia ya kidijitali, umiliki wa televisheni na redio hauhitaji tena njia za kizamani kama vile kuwa na mitambo mikubwa, studio za gharama kubwa, au leseni ngumu za urushaji. Sasa, mtu yeyote anaweza kumiliki televisheni au redio ya mtandaoni...
Nakushauri kwa mara ya mwisho Silvester Mwakitalu.
Angalau wewe mabadiliko madogo ya mwisho ya Katiba hii mbovu tuliyonayo yalikupa immunity kama Majaji.
Kwenye shauri la Lissu una option mbili. Kusimama upande wa Haki na kubarikiwa wewe na vizazi vyako vinavyokuja AU
Kusimama upande wa...
Mimi kuna bar hapo Tabata wamenipa jina la king mswati.Hilo jina walinipa kwa sababu ya kila bar maid anaekuja lazima nipite naye, Wadau wakaamua kuniita king mswati.
Wewe je mdau, maeneo yako ya kujidai wanakujua kwa a.k.a gani?
Kama una cha kujifunza utajifuna na kufanya reformation. Hakuna anayejadili ulichokiongea maana wanajua unachowafanyia watanzania na ukweli wa MUNGU unajulikana.
Linganisha na trending ya press conference za Polepole! Ina maana watu wanaona substance from his mouth!
Lakini kwa vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.