Kwa mujibu wa Dini zote tulizoletewa; Hakuna dhambi wala Karma kumtenda ubaya mtu asiye jamii yako, ndugu yako. Waafrika tuache kuamini kwenye ujinga

Kwa mujibu wa Dini zote tulizoletewa; Hakuna dhambi wala Karma kumtenda ubaya mtu asiye jamii yako, ndugu yako. Waafrika tuache kuamini kwenye ujinga

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
37,238
Reaction score
86,622
KWA MUJIBU WA DINI ZOTE TULIZOLETEWA; HAKUNA DHAMBI WALA KARMA KUMTENDA UBAYA MTU ASIYEJAMII YAKO, NDUGU YAKO. WAAFRIKA TUACHE KUAMINI KWENYE UJINGA.

Anaandika, Robert Heriel
Yule Kuhani Katika Hekalu Jeusi.
Mtibeli.

1. Leo nitafundisha self awareness. Ili watu waache kujidanganya.

2. Binadamu ni Binadamu hiyo ni kweli. Lakini haiondoi Classification yaani makundi ya binadamu kulingana na jamii zao.

3. Sifundishi ubaguzi. Nafundisha self awareness. Self Awareness ni Self defense yaani katika kanuni za mwanzo za kujilinda, Self Awareness ndio kanuni ya Kwanza. Kujitambua. Hata ujue mapigano kama Bruce lee au uwe na nguvu kama mpiganaji wa mieleka kama huna self awareness wewe utapigwa hata na watoto wadogo.

4. Taikonsmaster Siku zote ninajaribu kukutrain mindset yako, psychology yako, kwani hiyo ndio taa ya maisha yako.

5. Karma inaenda kwa watu wa jamii Moja au ndugu wamoja. Karma haina uwezo wa kuvuka mipaka na kuvunja mipaka ya matabaka na makundi.

6. Mhindi anapokudhulumu mshahara wako wewe MTU mweusi hapo kazini au kiwandani Kwanza elewa hafanyi Jambo baya kwake na miungu yake, na kwa nature. Kwanza Nature ndio inataka hivyo.

7. Mzungu anapovamia mataifa ya Waarabu kule mashariki ya kati. Akadhulumu, akaua, akatenda mabaya. Kamwe usitegemee Karma impate huyo Mzungu.

8. Ni makosa makubwa kwa mtu anayejitambua kufikiri kwa namna hiyo. Karma hainde hivyo.

9. Wazungu kutokana na uwepo wa wanafalsafa wengi na kufundishwa na wazee wao elimu ya kweli. Waliambiwa kwamba Hakuna hukumu wala adhabu ukimfanyia ubaya mtu wa jamii nyingine. Kiroho.

10. Wao watakufundisha ukupigwa umuachie Mungu. Au wenye dhambi wataadhibiwa na kupata malipo makubwa mabaya. Ili waendelee kuwapumbaza.

11. Ndugu zangu, hakunaga Karma wala malipo mabaya mtu asiyejamii yako atayapata akikufanyia ubaya.

12. Ndio Maana watu wote wenye utambuzi wa Kanuni kama hizo wao hutumia Kanuni za Tit for Tat, Jino kwa Jino. Kisasi ni haki na lazima wewe au watoto wako wakilipe.

13. Wayahudi walibahatika kupata wanafalsafa wenye akili mapema zaidi. Hawaamini katika Karma kutoka kwa jamiii zingine.
Wayahudi lazima walipe kisasi.

14. Hata Sisi Watibeli ndivyo tulivyo. Hatusahau. Na hatutategemea nguvu zingine isipokuwa zetu wenyewe.

15. Unapofanyiwa ubaya. Ni kosa na kutojitambua kumuachia Mungu. Hii ni nature. Mungu hatafanya chochote Abadan. Unajifariji.

16. Kama taratibu zingine za haki zimeshindikana. Mfumo uliopo umekuwa kinyume na wewe. Kifuatacho ni kuandaa kisasi chako, train hata watoto wako au wajukuu. Lakini kisasi lazima kilipwe.

17. Msamaha ni lugha ya kisiasa. Hasa siasa ya dini kupumbaza watu ili wazidi kuonewa. Msamaha ni tools ya kutawala walioonewa.

18. Sisi Watibeli msamaha ili utoke hauwi burebure lazima uwe na Malipizi, masharti. Lakini sio unitende vibaya, uniumize sio kwa maneno alafu uniletee msamaha kwa maneno tuu. Nope!

19. Mzungu hatakuja kulipia popote kwa alichomfanya muafrika. Wala muarabu hatakuja kulipa popote kwa alichomfanya muafrika.
Isipokuwa Siku ambayo muafrika atakapoamua ni muda wa kulipa madeni ya watesi wangu.

20. MTU anapokutendea ubaya anajua kabisa Hakuna wa kumfanya chochote isipokuwa wewe aliyekufanyia. Kama wewe huna uchungu wako mwenyewe Nani atakuonea uchungu? Mungu!😆 Kuwa serious kidogo.

21. Watu wanaotegemea Karma na kumtegemea Mungu awalipie kisasi mara nyingi huishia kuwa Watumwa wa miaka yote mpaka watakapobadilika.

22. No one will come to serve you. Hakuna wa kukulipia. Hakuna wa kuokoa maisha yako. Ni wewe mwenyewe.
Na kauli hiyo sio ya kukukatisha tamaa. Bali ni Ukweli wa kukuokoa na kukufanya ujitambue. Na uanze maisha yako upya.

23. Msamaha wa kweli ni Ule ambao unauwezo wa kumlipa mbaya wako na anajua kwamba unauwezo wa kumlipa na kumdhuru lakini wewe ukaamua kumsamehe. Huo ndio Msamaha.

Mimi sina la ziada.

Nawatakia Sabato Njema.

TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
 
Warumi 12 :19

Wagalatia 3:28

Wakolosai 3: 11

Soma hiyo mistari kwa leo kwenye sabato yako

Paulo huyo sio wakunipa Aya zake kwa sababu najua mafundisho yake yalikuwa yanalenga nini

Watawala wanatawala kwa falsafa za watu kama Musa na Abraham.
Lakini wanapumbaza watu kwa falsafa za Paulo na YESU.

Elewa scripts
 
KWA MUJIBU WA DINI ZOTE TULIZOLETEWA; HAKUNA DHAMBI WALA KARMA KUMTENDA UBAYA MTU ASIYEJAMII YAKO, NDUGU YAKO. WAAFRIKA TUACHE KUAMINI KWENYE UJINGA.

Anaandika, Robert Heriel
Yule Kuhani Katika Hekalu Jeusi.
Mtibeli.

1. Leo nitafundisha self awareness. Ili watu waache kujidanganya.

2. Binadamu ni Binadamu hiyo ni kweli. Lakini haiondoi Classification yaani makundi ya binadamu kulingana na jamii zao.

3. Sifundishi ubaguzi. Nafundisha self awareness. Self Awareness ni Self defense yaani katika kanuni za mwanzo za kujilinda, Self Awareness ndio kanuni ya Kwanza. Kujitambua. Hata ujue mapigano kama Bruce lee au uwe na nguvu kama mpiganaji wa mieleka kama huna self awareness wewe utapigwa hata na watoto wadogo.

4. Taikonsmaster Siku zote ninajaribu kukutrain mindset yako, psychology yako, kwani hiyo ndio taa ya maisha yako.

5. Karma inaenda kwa watu wa jamii Moja au ndugu wamoja. Karma haina uwezo wa kuvuka mipaka na kuvunja mipaka ya matabaka na makundi.

6. Mhindi anapokudhulumu mshahara wako wewe MTU mweusi hapo kazini au kiwandani Kwanza elewa hafanyi Jambo baya kwake na miungu yake, na kwa nature. Kwanza Nature ndio inataka hivyo.

7. Mzungu anapovamia mataifa ya Waarabu kule mashariki ya kati. Akadhulumu, akaua, akatenda mabaya. Kamwe usitegemee Karma impate huyo Mzungu.

8. Ni makosa makubwa kwa mtu anayejitambua kufikiri kwa namna hiyo. Karma hainde hivyo.

9. Wazungu kutokana na uwepo wa wanafalsafa wengi na kufundishwa na wazee wao elimu ya kweli. Waliambiwa kwamba Hakuna hukumu wala adhabu ukimfanyia ubaya mtu wa jamii nyingine. Kiroho.

10. Wao watakufundisha ukupigwa umuachie Mungu. Au wenye dhambi wataadhibiwa na kupata malipo makubwa mabaya. Ili waendelee kuwapumbaza.

11. Ndugu zangu, hakunaga Karma wala malipo mabaya mtu asiyejamii yako atayapata akikufanyia ubaya.

12. Ndio Maana watu wote wenye utambuzi wa Kanuni kama hizo wao hutumia Kanuni za Tit for Tat, Jino kwa Jino. Kisasi ni haki na lazima wewe au watoto wako wakilipe.

13. Wayahudi walibahatika kupata wanafalsafa wenye akili mapema zaidi. Hawaamini katika Karma kutoka kwa jamiii zingine.
Wayahudi lazima walipe kisasi.

14. Hata Sisi Watibeli ndivyo tulivyo. Hatusahau. Na hatutategemea nguvu zingine isipokuwa zetu wenyewe.

15. Unapofanyiwa ubaya. Ni kosa na kutojitambua kumuachia Mungu. Hii ni nature. Mungu hatafanya chochote Abadan. Unajifariji.

16. Kama taratibu zingine za haki zimeshindikana. Mfumo uliopo umekuwa kinyume na wewe. Kifuatacho ni kuandaa kisasi chako, train hata watoto wako au wajukuu. Lakini kisasi lazima kilipwe.

17. Msamaha ni lugha ya kisiasa. Hasa siasa ya dini kupumbaza watu ili wazidi kuonewa. Msamaha ni tools ya kutawala walioonewa.

18. Sisi Watibeli msamaha ili utoke hauwi burebure lazima uwe na Malipizi, masharti. Lakini sio unitende vibaya, uniumize sio kwa maneno alafu uniletee msamaha kwa maneno tuu. Nope!

19. Mzungu hatakuja kulipia popote kwa alichomfanya muafrika. Wala muarabu hatakuja kulipa popote kwa alichomfanya muafrika.
Isipokuwa Siku ambayo muafrika atakapoamua ni muda wa kulipa madeni ya watesi wangu.

20. MTU anapokutendea ubaya anajua kabisa Hakuna wa kumfanya chochote isipokuwa wewe aliyekufanyia. Kama wewe huna uchungu wako mwenyewe Nani atakuonea uchungu? Mungu!😆 Kuwa serious kidogo.

21. Watu wanaotegemea Karma na kumtegemea Mungu awalipie kisasi mara nyingi huishia kuwa Watumwa wa miaka yote mpaka watakapobadilika.

22. No one will come to serve you. Hakuna wa kukulipia. Hakuna wa kuokoa maisha yako. Ni wewe mwenyewe.
Na kauli hiyo sio ya kukukatisha tamaa. Bali ni Ukweli wa kukuokoa na kukufanya ujitambue. Na uanze maisha yako upya.

23. Msamaha wa kweli ni Ule ambao unauwezo wa kumlipa mbaya wako na anajua kwamba unauwezo wa kumlipa na kumdhuru lakini wewe ukaamua kumsamehe. Huo ndio Msamaha.

Mimi sina la ziada.

Nawatakia Sabato Njema.

TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Je, itakuwaje pale mzanzibari alipomdhulumu mtanganyika?
 
KWA MUJIBU WA DINI ZOTE TULIZOLETEWA; HAKUNA DHAMBI WALA KARMA KUMTENDA UBAYA MTU ASIYEJAMII YAKO, NDUGU YAKO. WAAFRIKA TUACHE KUAMINI KWENYE UJINGA.

Anaandika, Robert Heriel
Yule Kuhani Katika Hekalu Jeusi.
Mtibeli.

1. Leo nitafundisha self awareness. Ili watu waache kujidanganya.

2. Binadamu ni Binadamu hiyo ni kweli. Lakini haiondoi Classification yaani makundi ya binadamu kulingana na jamii zao.

3. Sifundishi ubaguzi. Nafundisha self awareness. Self Awareness ni Self defense yaani katika kanuni za mwanzo za kujilinda, Self Awareness ndio kanuni ya Kwanza. Kujitambua. Hata ujue mapigano kama Bruce lee au uwe na nguvu kama mpiganaji wa mieleka kama huna self awareness wewe utapigwa hata na watoto wadogo.

4. Taikonsmaster Siku zote ninajaribu kukutrain mindset yako, psychology yako, kwani hiyo ndio taa ya maisha yako.

5. Karma inaenda kwa watu wa jamii Moja au ndugu wamoja. Karma haina uwezo wa kuvuka mipaka na kuvunja mipaka ya matabaka na makundi.

6. Mhindi anapokudhulumu mshahara wako wewe MTU mweusi hapo kazini au kiwandani Kwanza elewa hafanyi Jambo baya kwake na miungu yake, na kwa nature. Kwanza Nature ndio inataka hivyo.

7. Mzungu anapovamia mataifa ya Waarabu kule mashariki ya kati. Akadhulumu, akaua, akatenda mabaya. Kamwe usitegemee Karma impate huyo Mzungu.

8. Ni makosa makubwa kwa mtu anayejitambua kufikiri kwa namna hiyo. Karma hainde hivyo.

9. Wazungu kutokana na uwepo wa wanafalsafa wengi na kufundishwa na wazee wao elimu ya kweli. Waliambiwa kwamba Hakuna hukumu wala adhabu ukimfanyia ubaya mtu wa jamii nyingine. Kiroho.

10. Wao watakufundisha ukupigwa umuachie Mungu. Au wenye dhambi wataadhibiwa na kupata malipo makubwa mabaya. Ili waendelee kuwapumbaza.

11. Ndugu zangu, hakunaga Karma wala malipo mabaya mtu asiyejamii yako atayapata akikufanyia ubaya.

12. Ndio Maana watu wote wenye utambuzi wa Kanuni kama hizo wao hutumia Kanuni za Tit for Tat, Jino kwa Jino. Kisasi ni haki na lazima wewe au watoto wako wakilipe.

13. Wayahudi walibahatika kupata wanafalsafa wenye akili mapema zaidi. Hawaamini katika Karma kutoka kwa jamiii zingine.
Wayahudi lazima walipe kisasi.

14. Hata Sisi Watibeli ndivyo tulivyo. Hatusahau. Na hatutategemea nguvu zingine isipokuwa zetu wenyewe.

15. Unapofanyiwa ubaya. Ni kosa na kutojitambua kumuachia Mungu. Hii ni nature. Mungu hatafanya chochote Abadan. Unajifariji.

16. Kama taratibu zingine za haki zimeshindikana. Mfumo uliopo umekuwa kinyume na wewe. Kifuatacho ni kuandaa kisasi chako, train hata watoto wako au wajukuu. Lakini kisasi lazima kilipwe.

17. Msamaha ni lugha ya kisiasa. Hasa siasa ya dini kupumbaza watu ili wazidi kuonewa. Msamaha ni tools ya kutawala walioonewa.

18. Sisi Watibeli msamaha ili utoke hauwi burebure lazima uwe na Malipizi, masharti. Lakini sio unitende vibaya, uniumize sio kwa maneno alafu uniletee msamaha kwa maneno tuu. Nope!

19. Mzungu hatakuja kulipia popote kwa alichomfanya muafrika. Wala muarabu hatakuja kulipa popote kwa alichomfanya muafrika.
Isipokuwa Siku ambayo muafrika atakapoamua ni muda wa kulipa madeni ya watesi wangu.

20. MTU anapokutendea ubaya anajua kabisa Hakuna wa kumfanya chochote isipokuwa wewe aliyekufanyia. Kama wewe huna uchungu wako mwenyewe Nani atakuonea uchungu? Mungu!😆 Kuwa serious kidogo.

21. Watu wanaotegemea Karma na kumtegemea Mungu awalipie kisasi mara nyingi huishia kuwa Watumwa wa miaka yote mpaka watakapobadilika.

22. No one will come to serve you. Hakuna wa kukulipia. Hakuna wa kuokoa maisha yako. Ni wewe mwenyewe.
Na kauli hiyo sio ya kukukatisha tamaa. Bali ni Ukweli wa kukuokoa na kukufanya ujitambue. Na uanze maisha yako upya.

23. Msamaha wa kweli ni Ule ambao unauwezo wa kumlipa mbaya wako na anajua kwamba unauwezo wa kumlipa na kumdhuru lakini wewe ukaamua kumsamehe. Huo ndio Msamaha.

Mimi sina la ziada.

Nawatakia Sabato Njema.

TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
kikosi cha watekaji wakikumata wakakufira hakuna karma yoyote Robert Heriel Mtibeli
 
Warumi 12 :19

Wagalatia 3:28

Wakolosai 3: 11

Soma hiyo mistari kwa leo kwenye sabato yako
Sijasoma insha yako,ila kwa kusoma kichwa cha habari tu nikwambie kuwa kwenye uislam hilo siyo kweli
 
KWA MUJIBU WA DINI ZOTE TULIZOLETEWA; HAKUNA DHAMBI WALA KARMA KUMTENDA UBAYA MTU ASIYEJAMII YAKO, NDUGU YAKO. WAAFRIKA TUACHE KUAMINI KWENYE UJINGA.
1. Leo nitafundisha self awareness. Ili watu waache kujidanganya.
Kwenda zako shetani.

Watakaokusikiliza watakuwa ni wafuata mkumbo wasiotumia akili. Punguza ujuaji na mambo usiyojua.!

Huku umetoka kudanganya kuhusu utumwa kwenye Biblia

Post in thread 'Nadaiwa na microfinance million Tano' Nadaiwa na microfinance million Tano
 
KWA MUJIBU WA DINI ZOTE TULIZOLETEWA; HAKUNA DHAMBI WALA KARMA KUMTENDA UBAYA MTU ASIYEJAMII YAKO, NDUGU YAKO. WAAFRIKA TUACHE KUAMINI KWENYE UJINGA.

Anaandika, Robert Heriel
Yule Kuhani Katika Hekalu Jeusi.
Mtibeli.

1. Leo nitafundisha self awareness. Ili watu waache kujidanganya.

2. Binadamu ni Binadamu hiyo ni kweli. Lakini haiondoi Classification yaani makundi ya binadamu kulingana na jamii zao.

3. Sifundishi ubaguzi. Nafundisha self awareness. Self Awareness ni Self defense yaani katika kanuni za mwanzo za kujilinda, Self Awareness ndio kanuni ya Kwanza. Kujitambua. Hata ujue mapigano kama Bruce lee au uwe na nguvu kama mpiganaji wa mieleka kama huna self awareness wewe utapigwa hata na watoto wadogo.

4. Taikonsmaster Siku zote ninajaribu kukutrain mindset yako, psychology yako, kwani hiyo ndio taa ya maisha yako.

5. Karma inaenda kwa watu wa jamii Moja au ndugu wamoja. Karma haina uwezo wa kuvuka mipaka na kuvunja mipaka ya matabaka na makundi.

6. Mhindi anapokudhulumu mshahara wako wewe MTU mweusi hapo kazini au kiwandani Kwanza elewa hafanyi Jambo baya kwake na miungu yake, na kwa nature. Kwanza Nature ndio inataka hivyo.

7. Mzungu anapovamia mataifa ya Waarabu kule mashariki ya kati. Akadhulumu, akaua, akatenda mabaya. Kamwe usitegemee Karma impate huyo Mzungu.

8. Ni makosa makubwa kwa mtu anayejitambua kufikiri kwa namna hiyo. Karma hainde hivyo.

9. Wazungu kutokana na uwepo wa wanafalsafa wengi na kufundishwa na wazee wao elimu ya kweli. Waliambiwa kwamba Hakuna hukumu wala adhabu ukimfanyia ubaya mtu wa jamii nyingine. Kiroho.

10. Wao watakufundisha ukupigwa umuachie Mungu. Au wenye dhambi wataadhibiwa na kupata malipo makubwa mabaya. Ili waendelee kuwapumbaza.

11. Ndugu zangu, hakunaga Karma wala malipo mabaya mtu asiyejamii yako atayapata akikufanyia ubaya.

12. Ndio Maana watu wote wenye utambuzi wa Kanuni kama hizo wao hutumia Kanuni za Tit for Tat, Jino kwa Jino. Kisasi ni haki na lazima wewe au watoto wako wakilipe.

13. Wayahudi walibahatika kupata wanafalsafa wenye akili mapema zaidi. Hawaamini katika Karma kutoka kwa jamiii zingine.
Wayahudi lazima walipe kisasi.

14. Hata Sisi Watibeli ndivyo tulivyo. Hatusahau. Na hatutategemea nguvu zingine isipokuwa zetu wenyewe.

15. Unapofanyiwa ubaya. Ni kosa na kutojitambua kumuachia Mungu. Hii ni nature. Mungu hatafanya chochote Abadan. Unajifariji.

16. Kama taratibu zingine za haki zimeshindikana. Mfumo uliopo umekuwa kinyume na wewe. Kifuatacho ni kuandaa kisasi chako, train hata watoto wako au wajukuu. Lakini kisasi lazima kilipwe.

17. Msamaha ni lugha ya kisiasa. Hasa siasa ya dini kupumbaza watu ili wazidi kuonewa. Msamaha ni tools ya kutawala walioonewa.

18. Sisi Watibeli msamaha ili utoke hauwi burebure lazima uwe na Malipizi, masharti. Lakini sio unitende vibaya, uniumize sio kwa maneno alafu uniletee msamaha kwa maneno tuu. Nope!

19. Mzungu hatakuja kulipia popote kwa alichomfanya muafrika. Wala muarabu hatakuja kulipa popote kwa alichomfanya muafrika.
Isipokuwa Siku ambayo muafrika atakapoamua ni muda wa kulipa madeni ya watesi wangu.

20. MTU anapokutendea ubaya anajua kabisa Hakuna wa kumfanya chochote isipokuwa wewe aliyekufanyia. Kama wewe huna uchungu wako mwenyewe Nani atakuonea uchungu? Mungu!😆 Kuwa serious kidogo.

21. Watu wanaotegemea Karma na kumtegemea Mungu awalipie kisasi mara nyingi huishia kuwa Watumwa wa miaka yote mpaka watakapobadilika.

22. No one will come to serve you. Hakuna wa kukulipia. Hakuna wa kuokoa maisha yako. Ni wewe mwenyewe.
Na kauli hiyo sio ya kukukatisha tamaa. Bali ni Ukweli wa kukuokoa na kukufanya ujitambue. Na uanze maisha yako upya.

23. Msamaha wa kweli ni Ule ambao unauwezo wa kumlipa mbaya wako na anajua kwamba unauwezo wa kumlipa na kumdhuru lakini wewe ukaamua kumsamehe. Huo ndio Msamaha.

Mimi sina la ziada.

Nawatakia Sabato Njema.

TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Sijasoma insha yako ila kwa kusoma kichwa cha habari tu nikwambie kuwa kwenye uislam ni tofauti
 
haya yote yamo kwenye Christianity, na ndiyo maana Christianity imeweka mbele ndoa ambayo inazaa familia na ukiwa na familia i.e baba, mama na watoto jukumu lako la kwanza kama Christian ni familia yako unapaswa kuilinda na kuitetea kwa nguvu zote hata kama ikikugharimu maisha yako lkn familia yako kwanza kabla ya chochote sasa ukimaliza hapo utaona kwa kutumia logic ya kawaida kipi kinafwatia ukifwata huo mpangilio ni wazi utaipendelea jamii, mji na nchi yako pia kwa maana kama unaipenda familia yako ungependa watoto wako waishi kwenye jamii nchi iliyo salama na kamwe hauta destroy nchi ambayo watoto wako wataishi kwa maana unawapenda na ungependa wafanikiwe hiyo ndiyo trofauti kati ya Christianity na wengine na ndiyo maana Christian countries zote zimeendelea na na kuna humanity ya hali ya juu kuliganisha na non-Christian ...


View: https://www.youtube.com/watch?v=63-mb5Fsp1g
 
jukumu lako la kwanza kama Christian ni familia yako unapaswa kuilinda na kuitetea kwa nguvu zote hata kama ikikugharimu maisha yako lkn familia yako kwanza kabla ya chochote sasa ukimaliza hapo utaona kwa kutumia logic ya kawaida kipi kinafwatia ukifwata huo mpangilio ni wazi utaipendelea jamii, mji na nchi yako pia
Jukumu la kwanza la Mkristo ni kumshuhudia YESU kwa gharama yoyote ile ikiwemo familia.

Mwanangu ajue kabisa kama anataka tuwe upande mmoja awe upande wa YESU, tutajikuta tu pamoja milele.

Kinyume na hapo, ndo ile adui ya mtu atakuwa wa nyumba yake mwenyewe.

Ndo ile YESU hajaja kuleta amani humu duniani alikuja kuleta upanga kutenganisha giza na nuru.

"Mnadhani nilikuja kuleta amani ulimwenguni? Hapana, nilikuja kuugawa ulimwengu!

Kuanzia sasa, familia ya watu watano itagawanyika, watatu watakuwa kinyume cha wawili, na wawili kinyume cha watatu.

Kina baba watakuwa kinyume cha wana wao: na wana nao watakuwa kinyume cha baba zao. Kina mama watakuwa kinyume cha binti zao: na binti nao watakuwa kinyume cha mama zao. Mama wakwe watakuwa kinyume cha wake za wana wao, na wake za wana wao watakuwa kinyume cha mama wakwe zao.”

Luka.12.51-53.TKU


"Yesu alipokuwa akiongea na watu, mama yake na ndugu zake walikuwa nje. Walitaka kuongea naye.

Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na wadogo zako wanakusubiri nje. Wanataka kuongea nawe.”

Yesu akajibu, “Mama yangu ni nani? Ndugu zangu ni nani?”

Kisha akanyoosha kidole kwa wafuasi wake na akasema, “Unaona! Watu hawa ni mama yangu na ndugu zangu.

Kaka yangu, dada yangu na mama yangu halisi ni yule anayefanya yale Baba yangu wa mbinguni anataka.”

mathayo.12.46-50.TKU
 
Hapa mwenye akili mingi tu ndio watakuelewa
Labda akili mnemba

1000034968.jpg



1000034970.jpg




1000034969.jpg
 
Back
Top Bottom