The Zanzibar Echo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2025
- 490
- 837
Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya anga tangu vita hivo vya zaidi ya miaka mitatu kuanza.katika mashambulizi hayo yaliotokea usiku wa july 9 urusi imevurumisha ndege zisizo na rubani takribani 800 na makombora ya baharini 13 ambayo yamepiga miji mbali mbali.
Haya yanajiri baada ya rais wa Marekkani Donald Trump kusema amechukizwa na vitendo vya rais wa ursi Vladimir Putin na anapanga kutuma silaha zaidi kyiv
Haya yanajiri baada ya rais wa Marekkani Donald Trump kusema amechukizwa na vitendo vya rais wa ursi Vladimir Putin na anapanga kutuma silaha zaidi kyiv