Picha: Jinsi Whatsapp, Facebook zilivyobadili approach

Picha: Jinsi Whatsapp, Facebook zilivyobadili approach

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
42,765
Reaction score
50,859
1746594312528.png
 
Mimi binafsi napendelea hizo primitive ways. Text messaging, DM and whatsapp are all a sort of udomo zege.
 
Zamani watu walikuwa wanatongoza KWA kuwafuata wanawake walipo. KWA sasa watu wanamaliza KWA kutumia simu
Ungemwacha tu ili atumie akili na yeye kuelewa. Hawa ndio waliosoma shule za English Medium akili zao zimelala mpaka ziamshwe!!
 
Social apps ombea appoitmnent, unachohitaji kiseme live.
 
Na sasa kuna mpaka AI,inakufundisha hata namna ya kuaproach,lkn hizi teknolojia zitawalemaza watu washindwe tumia bongo zao ipasavyo!!,,ni hatari hiyo,njia za enzi hizo bado zitaendelea kuwa bora,kwakuwa asili huwa haimtupi mtu,lkn we ukiitupa lazima uvurugikiwe tu,,mfano kamwe haitatokea ufanye usahili kwakutumia tu hizo tools!!,,bila kuwepo eneo husika ukaonekana bayana.
 
Back
Top Bottom