wewe

Wewe Gombel is a female supernatural being or ghost in Javanese mythology. It is said that she kidnaps children.This myth is taught to encourage children to be cautious and to stay at home at night. Traditionally, the Wewe Gombel is represented as a woman with long, hanging breasts. Modern representations include vampire-like fangs. This is a popular spirit that also appears in comics.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Simba yathibitisha mechi ya Fainali ya CAF kuchezwa Zanzibar

    Klabu ya Simba imewatangazia rasmi mashabiki wake na umma kwa ujumla kuwa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAF Confederation Cup) dhidi ya RS Berkane kutoka Morocco, uliopangwa kufanyika Mei 25, 2025, hautachezwa tena kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kama...
  2. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi siri ya wewe kudumu muda mrefu na huyo mwenza wako?

    Either ni katika ndoa or mahusiano ya kawaida.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni developer, una Ideas, ya software, unapenda mambo ya Programming Huu uzi ni kwa ajili yako

    Wadau ..kwema bado kumekua na mijadala mingi sana kuhusu Programmers au developers wa Kibongo lakini nitaelezea hapa matatizo kulingana na uzoefu wangu nitaelezea Sababu tatu tuu zinazotufanya developers wa kibongo kuendelea kuwa Maskini. 1.FINANCIAL STABLE Hili ni tatizo kubwa saana...
  4. Kant Ombe

    JamiiForums Tanzania KAMA UNAJIFANYA HUAMINI UCHAWI BASI WEWE NI MPAGANI HUNA DINI HUNA MUNGU

    Katika Biblia na Qur'an, uchawi unatajwa kama tendo linalokatazwa na lenye madhara kwa jamii na mtu binafsi. Mifano hyo chini 📖 Mifano ya Uchawi katika Biblia 1. Kutoka 22:18 “Usimwache mwanamke mchawi aishi.” 2. Mambo ya Walawi 19:31 “Msiwaendee wenye pepo, wala wachawi...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said acha huu Upuuzi ambao Utakugharimu kwani Wewe ndiyo unashirikiana na RS Berkane ili Fainali CAFCC isiwe kwa Mkapa

    Halafu ulivyo wa hovyo unajifanya hujui lolote wakati unatumia Nafasi yako CAF ili Kuiumiza Simba SC kwa hili la Uwanja.
  6. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Moja ya watu unaotakiwa kuwaepuka ni Wale wanaopenda kukutajia makosa na aibu ulizozifanya wakati uliopita. Wenye chuki na wewe

    MOJA YA WATU UNAOTAKIWA KUWAEPUKA NI WALE WANAOPENDA KUKUTAJIA MAKOSA NA AIBU ULIZOZIFANYA WAKATI ULIOPITA. WENYE CHUKI NA WEWE. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Ni kweli unahitaji watu katika maisha lakini watu hao wasiwe toxic wenye Negativity. Watu wanaojifanya marafiki kumbe ni Adui...
  7. Bubu Msemaovyo

    JamiiForums Tanzania Mwanamke hupaswi kusimama Madhabahuni umchafu wewe

    Ukitaka kujua mwili wa mwanamke una mambo yasiyo ya kawaida mwambie mwanamke ambaye yuko kwenye siku zake achume mboga kama vile tembele, majani ya maboga au achume pilipili iliyoko shamanic. Vyote na vingine sijavitaja hapa VITAKAUKA. Hatuelewi kuna uhusiano gani kisayansi na hali aliyonayo...
  8. third eye chakra

    JamiiForums Tanzania Watu wengi huogopa kile kisichojulikana kwasababu zifuatazo..

    Watu wengi wanaogopa kile kisichojulikana kwa sababu kuu tatu za msingi: 1. Akili hupenda uhakika Akili ya mwanadamu imeundwa kutafuta usalama na utulivu. Haijisikii salama inapokutana na kitu ambacho haijakielewa au haijakikadiria. Kitu kisichojulikana kinawakilisha hatari inayoweza kutokea...
  9. Paspii0

    JamiiForums Tanzania Baki kuwa wewe!

    Kwa sababu ya umaskini, Wengine wakakosa msingi, Ndoto zikasahaulika kabisa, Maisha yakawa kisirisiri. Kwa sababu ya unyonge, Walikosa hata saonge, Wakanyamazishwa bila huruma, Wakabaki ndani ya gonge. Kwa sababu ya tamaa, Wakauza utu kwa taa, Wakakimbilia mali ya leo, Wakasahau kesho ni kaa...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Uzuri wa kuunda genge ili liwe kinga ya madaraka yako kuna siku linakugeuka wewe mfano Sudani

    Napenda kutoa mfano mchache tu wengine mtaweka hapa. Watawala wakishafika kujenga genge la kuwasimamia kila kona kuna siku watapenda nao nafasi uliyopo washike wao endapo mkipishana. Swala la sudani lilikuwa funzo tosha ila ndio basi tena. Hata kule congo laurent kabila nalo lilikuwa hivi...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Logical deduction: Kuficha uso ni ushahidi kuwa wewe ni mtenda maovu, unataka uso wako usijulikane maana nature ya kazi yako si ya kuficha uso

    Kitendawili kimeteguliwa rasmi leo, wasiojulikana wamejulikana leo baada ya walinda raia na mali zao kuvaa masks wasijulikane. Na hii ni kwa sababu wanatenda maovu/wanakusudia kutenda maovu na hivyo wasijulikane. Huna haja ya kuficha uso kama wewe ni msafi na huna tuhuma za kutenda maovu.
  12. Braza Kede

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unafanyaje kama mumeo anataka kumfukuza shambaboi wenu wakati wewe mazahausi hautaki shambaboi aondoshwe?

    Baba mwenye nyumba kashakomaa lazma shambaboi asepe kwao wewe lakn wew mazahausi hautaki shambaboi aondoshwe. Huu mtiti unaishaje wakuu?
  13. dr namugari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wewe jamaa unaemsusa mkeo hapa Dodoma naomba tusilaumiane kwa kitakachotokea, tafadhali mrejee mkeo

    Nimeamua kuja kuandika ili kama ni msomaji wa JamiiForums basi utachukuwa hatua, mkeo amekusalia mtoto mzuri sana na mke pia ni mzuri ila unacho fanya kumsusia mkeo kisa ishu ndogo hivyo mnagombna basi ujue mke ana taabika sana, na usipo mrejeaa usitulaumu maan kazi unayo na pesa uanzo ila ni...
  14. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ukiona una dalili hizi ujue wewe ni fukara na masikini

    DALILI ZA WAZI ZA UFUKARA NA NAMNA YA KUKABILIANA NAZO Kwenye maisha unapoanza kufanikiwa kuna vitu huwa vinaonekana wazi kwamba maisha yako yamebadiliks hata kama wewe binafsi utaendelea kujifanya masikini. Vivyo hivyo katika umasikini pia huwa kuna dalili za wazi kwamba mambo hayapo vizuri...
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Kama viongozi waandamizi wa Chadema wamebaini kuwa Lissu na Henche hawafai kuwa viongozi wa Chama, wewe unasubiri nini?

    Chadema tayari imesha kufa KIFO CHA MENDE. Kama una macho, masikio na akili haina haja kuambiwa kila kitu. Kama Salum Mwalimu, Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge wameamua KUJITENGA NA LISSU NA HENCHE basi elewa kuwa huo ni USHAHIDI TOSHA kuwa LISSU na HENCHE HAWAFAI KABISA kuwa...
  16. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna watu hupaswi kujibizana nao kwani wewe ndio utaonekana mjinga Na kupoteza heshima

    Kuna muda unaweza kutamani kumjibu ukidhani unalinda heshima yako kumbe ndio unaipoteza kabisa kwa sababu watu wataaanza kukushangaa kujibizana na aliyeshindikana. Kuna watu furaha yao ni wewe kuvurugwa ili mfokeane hivyo kwa namna mbalimbali watakuchokoza ili mjbizabe na hiyo ndio furaha yao...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Mzee Magoma asema Dabi ipo na Yanga itaingia uwanjani

    Mwanachama wa Yanga SC, Mzee Magoma amesema ni bora timu iingie uwanjani kuikabili Simba SC kuliko kupoteza alama 15. Asisitiza mechi ipigwe bora wafungwe kuliko kuliko kupoteza mechi 15. Na aliyesema timu isipelekwe uwanjani ili alama 15 zipotee huyo ni mtu wa Simba na siyo wa Yanga tena. Pia...
  18. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Umewahi kukutana na hali kama hii wewe kama mtafutaji?

    Kuna kitu kinaitwa UPEPO wa MTU au UPEPO wako. Katika utafutaji kuna nyakati humfikia MTU na baada ya hapo kila anachofanya kinakubali yaani hakuna kukwama kwama wala kukwamishwa. Wengine hizi nyakati huziita nyakati bora za maisha. Waswahili wao husema 'huu ni upepo wangu" Walokole na watu...
  19. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnaolalamika wanaume wanamaliza haraka mnataka tuwaeleweje?

    Mtu analalamika eti wanaume wana haraka katika kufanya tendo, ila mtu huyo huyo yeye ana haraka ya maisha kupelekea kukuacha wewe ambaye bado una hustle. Kwa sisi mabaharia ile haraka huwa ni munkali wa stress zilizopo kichwani za kuambiwa turudi veta plus nauli ulizokula hapo nyuma. So kila...
  20. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje kila jioni unaenjoy chakula na watoto wako ila wewe umehusika bila haki kuwatenganisha baba na watoto wake wasi-enjoy jioni ya pamoja

    AMANI, UTU NA UTULIVU kwa baadhi ya watu ni vitu cheap sana.
Back
Top Bottom