waziri

Farida Mzamber Waziri (born July 7, 1949) is a Nigerian technocrat, law enforcement officer and former executive chairperson of the Nigerian Economic and Financial Crimes Commission (EFCC) She succeeded Nuhu Ribadu in this post.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Waziri Mkuu wa Australia aonya waAustralia wasijaribu kwenda pigana na majeshi ya Russia nchini Ukraine

    Waziri Mkuu wa Australia kawaonya raia wa nchi yake wasijaribu kusafiri kisirisiri kwenda kupewa silaha na rais wa Ukraine ili kupigana na majeshi ya Russia. Onyo hilo la Waziri Mkuu limejiri baada ya rais wa Ukraine kuomba msaada wa raia wa nchi nyingine waende Ukraine wakasaidie kupambana...
  2. John Haramba

    Waziri Mkuu auponda mpango wa kutumia viberenge kupanda Mlima Kilimanjaro

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wadau wanaopendekeza matumizi ya viberenge katika kupanda Mlima Kilimanjaro kutathimini kwa kina mpango huo ambapo ameonyesha kutoridhia mikakati hiyo. "Nasikia mnataka kuweka kiberenge cha kupanda Mlima Kilimanjaro, mnataka kuua mlima? Mkiweka...
  3. K

    Bashe ni Waziri mzuri na mchapakazi

    Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Hussein Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji. Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana...
  4. K

    Rais na Waziri anayehusika fuatilieni gharama za maisha kupanda

    Habar zenu, Kwa kweli maisha yamepanda sana. Wahusika Serikalini tafadhalini sana fatilieni hili jambo.Yaani kila kitu unachogusa bei juu mpaka inatisha. Cha ajabu nishati kama petroli imeshuka bei lakini bei ya bidhaa nyingine ambazo zilipanda kutokana na ughali wa mafuta zenyewe hazishuki...
  5. Analogia Malenga

    Serikali: Sheria ya Makosa ya Mitandao ingetumika ipasavyo, mahabusu zingejaa

    Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mathew Kundo amesema kama Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015 ingetumika kama inavyotakiwa, mahabusu zingejaa. Kundo ameyasema hayo leo Jumatatu Februari 21, 2022 wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo maofisa upelelezi wa...
  6. Mto wa mbu

    Ni Waziri gani alikwenda gerezani kumshawishi Freeman Mbowe?

    Hope mko poa wakuu, hii habari sio maneno yangu, ni siri iliyotobolewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema. Lema amesema kuna waziri ndani ya serikali ya SSH, alienda gerezani kumtembelea Mbowe, waziri huyo alifanya kikao na Mbowe gerezani, na alimshawishi vitu vifuatavyo. Mama...
  7. Poppy Hatonn

    Waziri Biteko awaasa wapambe wake kuacha ushamba

    Alikuwa anaongea kana,anasema watu wengine katika wizara yake wanamonopolize gari,hawataki mtu mwingine alitumie,kwa hiyo wakati mwingine kazi hazifanyiki wakati gari ziko idle. Huo ni ushamba,amesema. Sawa,labda ni ushamba. Lakini ushamba ndio unaoliokoa Taifa. Watu washamba ndio wanaotunza...
  8. NostradamusEstrademe

    Waziri wa Maji ingilia kati suala hili wateja waunganishiwe maji hapa Malimbe, Nyegezi

    Eti bomba la maji linapita sehemu lakini mtu aliyeko zaidi ya mita 60 haruhusiwi kuungiwa.Hii haijakaa sawa Mheshimiwa. Najua wewe ni mchapakazi mzuri hii Wizara unaitendea haki kabisa Mungu akujalie pia unamsaidia sana Rais kwenye utendaji wako wa kazi. Naomba ingilia hili suala hapa...
  9. T

    Wilayani Iramba Mkoani Singida pamefanyika Kongamano kubwa sana la Madini

    Jana Jumamosi Februari 19, 2022 Wilayani Iramba Mkoani Singida pamefanyika Kongamano kubwa sana la Madini lililoandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Suleiman Mwenda na kuhudhuriwa na Wadau mbalimbali wa Madini wa ndani ya Wilaya na kutoka Makao Makuu huku Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt...
  10. S

    Waziri Nape waelekeze DSTV na AZAM TV Waweke option ya kulipia kwa match unayotaka kuangalia

    Kichwa cha habari kinajieleza, nchi nyingine wanaruhusu kulipia kwa match ama kuchagua movie unayotaka unalipia, ama pay per View, why not do the same ? Nawasilisha -----‐-------- Hawa DSTV tatizo lao wanataka faida kubwa kwa haraka, wenzao AZAM TV japokuwa hawaweki pesa kubwa lakini wana...
  11. YEHODAYA

    Waziri Mbarawa yuko sahihi, Askari wa Traffic wanachangia ugumu kwenye sekta ya Usafirishaji

    Waziri Mbarawa yuko sahihi Askari wa Traffic wanachangia ugumu kwenye sekta ya Usafirishaji Alikuwa akiongelea kuhusu kupunguzwa kwa vituo vya mizani ili mizigo iwahi inakoenda alisema ni vizuri na askari was Traffic wakapunguza usimamishaji magari ili mizigo iwahi inakoenda Naunga mkono hoja...
  12. JanguKamaJangu

    Majibu ya Nape Nnauye kwa Batuli kuhusu malalamiko ya bando la simu

    Hivi ndivyo staa wa filamu, Batuli alivyotumia ukurasa wake wa Twitter kulalamika kuhusu bando lake la simu, kisha Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akaingilia kati na kumpa ushauri wa kwenda TCRA. ========= Ameandika Muigizaji Batuli Hivi Kuna Mtu Mwingine...
  13. J

    Japhet Hasunga: Deni la kodi ya Ths trilioni 300 za makinikia ni aibu kwa nchi, hazina uhalisia

    Japhet Hasunga ambaye alikuwa waziri katika Serikali ya Magufuli, amesema trilioni 300 ambazo zipo katika bodi ya rufaa za kodi za TRA ambazo zinatokana na ripoti ya Profesa Osoro na Mruma zilizoonesha kuwa makampuni ya madini yalikuwa yakitorosha makinikia yenye thamani kubwa na kuikosesha...
  14. Risk manager

    TCRA hivi mpo kwa ajili yetu ama? Waziri wa Mawasiliwano tusaidie hili

    Habari zenu wanajukwaa. Ninaomba hili suala limfikie mwenye dhamana na haya Mambo yanaboa Sana. Unanunua kifurushi wanakupangia muda wa kutumia. Mfano hapa nimeshajiunga sms za shs1500 kwa Airtel sms 9000. Shida mpaka napangiwa sms za kutuma kwa siku hivi kweli hii ni uungwana ama wao...
  15. N

    Kwanini mtu kama mzazi wako yupo juu Serikalini, Waziri au Katibu Mkuu watu wanasema umepata kazi kwa ajili ya connection

    Mfano mkubwa Dr. Mwele, Kwa kweli watoto wa Mzee Malecela wana Akili. Sasa nimechoka kwa watu kusema mtu Huyu kapata Hii kazi kwa ajili ya mzee. Sasa Hivi head lines zote za Dr. Mwele ni mtoto aliyekuwa Waziri Mkuu. Dr. Mwele was bigger than her own father, she was not a politician.
  16. Roving Journalist

    Waziri Mkenda atoa wito kwa Wabunifu kujisajili ili kushiriki Mashindano ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda, amesema Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, inaanda Wiki ya Kitaifa ya Ubunifu na Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu maarufu kama (MAKISATU) kwa mwaka 2022. Ameyasema hayo leo 16 Februari 2022 wakati akiongea...
  17. K

    Waziri Mchengerwa kwa hili la Mpira miguu unazidi kumpoteza "Rais" katika ramani zake

    Tumekusikia jana ukitoa maelekezo ya kutosha Baraza la michezo jinsi Wizara yako mnavyotaka isimamie mpira wa miguu “as if” Baraza la Michezo kazi yake ni kusimamia mpira wa miguu tu na huku ukijisahau kuwa wewe sio Waziri wa mpira wa miguu peke yake. Okay tuliacahe hilo. Tumesikia maoni ya...
  18. John Haramba

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu atoa tahadhari jina lake kutumika kwenye kutapeli

    Tamko la Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kuhusu utapeli kwa kutumia jina lake.
  19. M

    Kwahiyo Waziri Mchengerewa ulikuwa unasubiria hadi Yanga SC yako icheze na Biashara United FC (ASFC) ndiyo uwatishie Waamuzi?

    Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa nani kakuambia matatizo ya Waamuzi (Referees ) Tanzania yameanza sasa? Ina maana Wewe ni Mgeni sana katika Soka la Tanzania (Bongo) ambalo kwa 99.999% linaharibiwa na TFF kwa Interests zao lakini pia na hata Nguvu ya Ushawishi ya...
  20. M

    Waziri Mkuu kuna Ufisadi wa Kutisha AUWSA, tuma kamati

    Mheshimiwa Waziri Mkuu tunakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Waziri Mkuu kuna Ufisadi wa Kutisha katika Miradi ya Maji inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Arusha ( AUWSA), Hizi Taarifa zimefika PCCB Arusha, Bodi ya AUWSA chini ya DR Masika Kwa Waziri wa Maji Ndg Juma Aweso...
Back
Top Bottom