JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Hivi ndivyo staa wa filamu, Batuli alivyotumia ukurasa wake wa Twitter kulalamika kuhusu bando lake la simu, kisha Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akaingilia kati na kumpa ushauri wa kwenda TCRA.
=========
Ameandika Muigizaji Batuli
Hivi Kuna Mtu Mwingine Anapitia Hii Changamoto Kutoka Airtel Tanzania Au Ni Mm Tu…!? Jana Na Leo Hiyo 🙌🏽 Na Ukiwapigia Hawakupi Ushirikiano, Soma Ya Pili Hapo Uone Maajab. Hii Ni Siku Ya 4 Leo Nataabika Na Hili Kutoka Airtel Tanzania.
Hii Ilikuwa Monday, Imagine Wiki Haijaisha Leo Ni Alhamisi, Hapo Kwangu Natumia Wi-Fi Na Ofisini Natumia Wi-Fi Jana Nimewapigia Usiku Wamejivu Shit Sana Airtel Tanzania Huu Ni Unyama Na Dhulma Kwa Wateja
Nape Mnauye Amjibu Batuli
Ushauri wangu Batuli peleka kesi TCRA watachambua swala lako kitaalamu mbele yako na kukuonyesha mwenyewe, kama kuna wizi mahali tungefurahi kuchukua hatua. Rais ameweka watu kumsaidia na ndio maana inaitwa serikali, tukitaka yeye ndio aje kushughulikia bundles atafanya mangapi?
Batuli Amjibu Nape
Nitakwenda Jumatatu TCRA_Tz Kama Ulivyotoa Ushauri Mheshimiwa, Kiongozi Malalamiko Siyo Yng Tu, Hivi Watu Wote Hadi Wa Mikoani Huko Na Vijijini Wana Uwezo Wa Kwenda TCRA…!? Tunaomba Utatuzi Wa Changamoto Hii Yenye Kutuumiza Wananchi
Pia soma: Nape: Kampuni za simu haziibi vifurushi vya intaneti vya wateja
=========
Ameandika Muigizaji Batuli
Hivi Kuna Mtu Mwingine Anapitia Hii Changamoto Kutoka Airtel Tanzania Au Ni Mm Tu…!? Jana Na Leo Hiyo 🙌🏽 Na Ukiwapigia Hawakupi Ushirikiano, Soma Ya Pili Hapo Uone Maajab. Hii Ni Siku Ya 4 Leo Nataabika Na Hili Kutoka Airtel Tanzania.
Hii Ilikuwa Monday, Imagine Wiki Haijaisha Leo Ni Alhamisi, Hapo Kwangu Natumia Wi-Fi Na Ofisini Natumia Wi-Fi Jana Nimewapigia Usiku Wamejivu Shit Sana Airtel Tanzania Huu Ni Unyama Na Dhulma Kwa Wateja
Nape Mnauye Amjibu Batuli
Ushauri wangu Batuli peleka kesi TCRA watachambua swala lako kitaalamu mbele yako na kukuonyesha mwenyewe, kama kuna wizi mahali tungefurahi kuchukua hatua. Rais ameweka watu kumsaidia na ndio maana inaitwa serikali, tukitaka yeye ndio aje kushughulikia bundles atafanya mangapi?
Batuli Amjibu Nape
Nitakwenda Jumatatu TCRA_Tz Kama Ulivyotoa Ushauri Mheshimiwa, Kiongozi Malalamiko Siyo Yng Tu, Hivi Watu Wote Hadi Wa Mikoani Huko Na Vijijini Wana Uwezo Wa Kwenda TCRA…!? Tunaomba Utatuzi Wa Changamoto Hii Yenye Kutuumiza Wananchi
Pia soma: Nape: Kampuni za simu haziibi vifurushi vya intaneti vya wateja