Habar zenu,
Kwa kweli maisha yamepanda sana. Wahusika Serikalini tafadhalini sana fatilieni hili jambo.Yaani kila kitu unachogusa bei juu mpaka inatisha.
Cha ajabu nishati kama petroli imeshuka bei lakini bei ya bidhaa nyingine ambazo zilipanda kutokana na ughali wa mafuta zenyewe hazishuki bei mpaka sasa.
Rais na Waziri wake anayehusika na hili jambo please fuatilieni vitu vinavopaswa kushuka kutokana na kushuka kwa bei ya petroli basi vishuke ili maisha yawe nafuu.
Ukikaa tu wafanyibiashara hawawezi kushusha bei. Jamani huku mtaani kwaweli si mchezo.
Hili enzi za Magufuli alijitahidi na Mawaziri wake kulifuatilia lakini kwa sasa naona kama siyo hivyo.
Kwa kweli maisha yamepanda sana. Wahusika Serikalini tafadhalini sana fatilieni hili jambo.Yaani kila kitu unachogusa bei juu mpaka inatisha.
Cha ajabu nishati kama petroli imeshuka bei lakini bei ya bidhaa nyingine ambazo zilipanda kutokana na ughali wa mafuta zenyewe hazishuki bei mpaka sasa.
Rais na Waziri wake anayehusika na hili jambo please fuatilieni vitu vinavopaswa kushuka kutokana na kushuka kwa bei ya petroli basi vishuke ili maisha yawe nafuu.
Ukikaa tu wafanyibiashara hawawezi kushusha bei. Jamani huku mtaani kwaweli si mchezo.
Hili enzi za Magufuli alijitahidi na Mawaziri wake kulifuatilia lakini kwa sasa naona kama siyo hivyo.