Japhet Hasunga: Deni la kodi ya Ths trilioni 300 za makinikia ni aibu kwa nchi, hazina uhalisia

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,779
18,745
Japhet Hasunga ambaye alikuwa waziri katika Serikali ya Magufuli, amesema trilioni 300 ambazo zipo katika bodi ya rufaa za kodi za TRA ambazo zinatokana na ripoti ya Profesa Osoro na Mruma zilizoonesha kuwa makampuni ya madini yalikuwa yakitorosha makinikia yenye thamani kubwa na kuikosesha nchi mapato

Hasunga amesema hela hiyo ni sawa na bajeti ya Serikali kwa miaka 10 na tunapaswa kujiuliza deni hili lina uhalisia maana linaichafua nchi nyetu

Ripoti ya Osoro na Mruma ilizua mjadala mkubwa ambapo aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu alikuwa mkosoaji mkubwa wa ripoti hiyo na kuiita professional rubbish ambapo alipigwa risasi s siku chache baadae

 
Ile report ilikuwa ni ujuha wa hali ya juu. Hata mtu mwenye akili ya kiwango cha low IQ, bado asingeweza kuandika uwendawazimu wa namna ile.

Awamu ya 5 ilijaa hadaa tupu. Marehemu alikuwa akipenda sana kuwadanganya watu wasio na uelewa. Alipoona ameharibu, akaenda kuwapigia magoti Barrick, na kilichosainiwa baada ya hapo, ni aheri hata ya mikataba iliyokuwepo kabla yake. Pekee alichofanikiwa ni kuongeza mrabaha pekee yake.

Laiti watu wangeona ile MDA iliyosainiwa baadaye, sijui wangemwonaje marehemu. Kwenye MDA mpya, Serikali hairuhusiwi kusimamisha uzalishaji na hukumu ikitolewa na mahakama ya biashara ya Singapore, Serikali haina ruhusa hata ya kukata rufaa.
 
jiwe alikuwa mweu, ashukuru alikuwata barrick wastaraabu, angekutana na ma - mission town, nchi hii ingekiona cha motto kwa upumbavu wake!
Jiwe alikua pumbaf hajui Madini yote Dunia nzima ni Mali ya familia Moja tu na ole wako ujifanye mjuaji utaisoma Namba.

Yaani wao Ndio wanunuzi wakuu wa hayo Madini kiasi kwamba ukikataa kuwapa migodi na wao wakupe gawio kidogo hivyo hivyo angalau uambulie kitu wanakua wamefanya la maana kuliko waje wabebe Bure Tena Kwa mbinu Kali na usiambulie chochote au wagome kununua hayo Madini ubaki nayo kama mawe maana wao Ndio huyapa thamani.

Yeye akajidai anakuja na propaganda za ubeberu na masifa ya kumchezea chatu na Ile ripoti kioja iliyopingwa na Tundu Lissu Mpaka wakampiga risasi et msaliti.

Haya Nini kiliwakuta na Leo Kiko wapi?

Exposure ni kitu mhimu sana Kwa viongozi wetu!
 
Jiwe alikua pumbaf hajui Madini yote Dunia nzima ni Mali ya familia Moja tu na ole wako ujifanye mjuaji utaisoma Namba,
Yaani wao Ndio wanunuzi wakuu wa hayo Madini kiasi kwamba ukikataa kuwapa migodi na wao wakupe gawio kidogo hivyo hivyo angalau uambulie kitu wanakua wamefanya la maana kuliko waje wabebe Bure Tena Kwa mbinu Kali na usiambulie chochote au wagome kununua hayo Madini ubaki nayo kama mawe maana wao Ndio huyapa thamani,
Yeye akajidai anakuja na propaganda za ubeberu na masifa ya kumchezea chatu na Ile ripoti kioja iliyopingwa na Tundu Lissu Mpaka wakampiga risasi et msaliti,
Haya Nini kiliwakuta na Leo Kiko wapi?
Exposure ni kitu mhimu sana Kwa viongozi wetu!
Ufahamu wa maswala ya kidunia na uchumi.

Wamarekani na wakanada na wa EU wale wana huruma na busara sana.

angekutana na Ufaransa au Wareno sasa hivi tungekuwa kama DRC au angekutana na kina Putin et al
 
Back
Top Bottom