1.Magoli ya mama
2.Wasanii mpaka kuona wananchi na mashabiki zao kuwa ulikuwa waziri was wapi.
3.Mapikipiki,baiskeri,pesa za machawa na Kila waliotaka kupoza tumbo Kwa biriyani na bia ya kichwa pesa ilitoka wapi na wewe ulikuwa waziri wa Saini.
4.Media zimepata pesa mpaka kuitwa wafuwasi wenu...
Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Amani Golugwa akizungumza leo Novemba 27, 2025 amerejelea Mkutano wa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba na wahariri wa vyombo vya habari uliofanyika Novemba 25, 2025, mkutano uliowapa fursa waandishi wa habari kuuliza maswali...
Mwigulu Nchemba sasa anazunguka kama waziri mkuu, ingawa hali ilivyo, yuko ktk serikali ilisiyotambuliwa.
Ameanza kuonesha kwamba anajali hali za wanyonge, kwamba yeye ni mtu makini, kwamba anasimamia haki. Alichokisema juu ya tabia ya viongozi wakiwa barabarani, tulishajadili hapa JF. Kwamba...
Bado watawala hawajui vijana wanataka nini?....bado watawala wanaamini kwamba Maandamano ya Oktoba yalitokana na vijana kufuata mkumbo?....Bado watawala hawajui ni haki gani vijana wanadai?...Endeleeni kukaza mafuvu.
Ziara ya Mh. Nanauka inaendelea katika mikoa mbalimbali nchini, ikiwa na lengo...
Duru zinaonesha Kuna uwezekano mikubwa Mwigilu nchemba akawa waziri Mkuu atakaestafishwa mapema kabla ya muda wake kuisha .
Ni aina ya kiongozi ambaye ameshindwa kutumia Ile mbinu ya collective responsibility badala anamgeuka aliemtuma kupoza dhoruba...
Julius Nyerere
Rashid Kawawa
Edward Sokoinne (mara mbili)
Cleopa Msuya (mara mbili)
Salim Ahmed Salim
Joseph Warioba
John Malechela
Frederick Sumaye
Edward Lowassa
Mizengo Pinda
Kassim Majaliwa
Halafu kuna: Mwigulu Nchemba
Hatujawahi kuwa na waziri mkuu anayeropoka hovyo hovyo kama huyu wa...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Kwanza anaongea kama kakatwa kichwa
Pili hajitambui
Tatu hajielewi
Nne anajaribu kwenda na beet za anko Magu lakin hiyo karama hana
Tano ni mshamba na limbuken
Waziri mkuu hatuna
Full stop
LONDON BOY
Tahakiki ya Tamko la Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, kwa Wahariri, 25 Novemba 2025: Mazingira, Maudhui, Mapengo, Tathmini na Mapendekezo
1. UTANGULIZI KUHUSU TAMKO
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba, ameongea na wahariri wa vyombo vya habari vya Tanzania mchana wa leo, tarehe 25...
Kwa mara ya kwanza tuna waziri mkuu Chawa na serikali fake! Mwigulu ndiye waziri mkuu ambaye kazi yake kubwa sio uendeshaji bali ni uchawa uongo uongo na kujipendekeza.
Majaliwa alijitahidi sana kuwa kiongozi ambaye anajiepusha na utekaji, uongo, lakini alishidwa naye lakini hakuwa chawa!
GT,
Hii ni maajabu huyu jamaa hana haiba ya Uwaziri Mkuu hata kidogo, anaonekana muhuni tu tofauti na wenzake waliopita.
Wangetafuta figure nyingine lakini siyo huu jamaa maana hayuko mioyoni mwa watanzania.
Mwigulu ana msururu wa kashfa, hiyo nafasi haimfai hata kidogo. Japo Kadogosa ni...
Unaposema nchi zinatuonea wivu ndio maana zinachochea fujo unakua unatuona hatuna akili au?
Malalamiko ya watanzania yanajulikana
Hawataki utekaji, hawataki ufisadi na kufuja hovyo mali za umma, hawataki chaguzi za kiini macho wanataka tume huru, wanataka katiba mpya!
Wameongea haya mambo...
Akizungumza na Wahariri wa vyombo vya habari leo Novemba 25, 2025 Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tayari Rais Samia na wasaidizi wake wako tayari kusikiliza na milango ipo wazi ya mazungumzo hivyo hakuna haja ya kuwapa faida wenye mapenzi mabaya na...
Wakuu
Kila pesa ilikuwa ya Samia, samia kanunua hiki Samia kanunua kile, Samia kajengga SGR, Samia kajenga madaraja, Samia kajenga barabara, baada ya wananchi "kukiwasha" ndio mnajua kwamba hela ni za Watanzania?
Leo ndio mnajua kwamba mwananchi ndio kila kitu baada ya kuona wananchi...
Vitu vilivyochomwa vilivyoainishwa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ni pamoja na
1. Ofisi za Serikali 756
2. Vituo vya mwendokasi 26
3. Vituo vya Polisi 159
4. Vituo vya mafuta 672
5. Magari Binafsi 1642
6. Pikipiki binafsi 2268
7. Magari ya Serikali 976
Lakini jambo la kushangaza, serikali mpaka...
Akizungumza na waandishi wa habari amehoji ni maandamano gani hayo ambayo watu walikuwa wamejipanga na wana silaha kabisa huku wengine wakiwa hawaongei kiswahili.
Amegusia pia kuhusu Mwanajeshi wa Marekani aliyekamatwa na mabomu. Anahoji ni utaratibu gani huu?
===
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na wahariri wa Vyombo vya habari leo Novemba 25, 205 amesema kuwa serikali inatambua uwepo wa Wafanyakazi wa umma wanaofanya kazi kwa weledi inayochangia maendeleo ya miradi ya nchi lakini pia wanatambua uwepo wa...
Ushuhuda na Sababu za Askari Kuwazuia Waumini
Ufungaji wa Usajili wa Kanisa
Msajili wa Jumuiya za Kiraia alitangaza kufutwa kwa usajili wa kanisa la Gwajima (Glory of Christ Tanzania / Ufufuo na Uzima), kwa madai kwamba mahubiri ya askofu yalikuwa na mwelekeo wa kisiasa na kuhatarisha amani ya...
“Wanawaambia chomeni nchi yenu, chomeni barabara, chomeni na hospitali. Mkishamaliza kuchoma hospitali anaugua mtoto wako, hospitali ilishachomwa moto, -yeye na watoto wake wako na hospitali palepale pua na mdomo huko ughaibuni walipo, wamejipa haki wao ndio wapenda Tanzania, mpenda Tanzania...
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa uharibifu wa miundombinu iliyotokea siku na baada ya vurugu za Oktoba 29, 2025 unapaswa kuwa funzo kwa taifa, akibainisha kwamba miundombinu hiyo si mali ya serikali bali ni matokeo ya jasho, kodi na kujinyima kwa wananchi wote...
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwigulu Nchemba, amewasihi watanzania kulinda nchi yao kwa kudumisha amani, na kusisitiza kuwa wengi wanaochochea haya mambo hawaishi nchini wapo kwenye mataifa mengine. Ameyasema hayo leo Novemba 21,2025 alipokuwa ziarani mkoani Singida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.