Suala la kwamba wazanzibari hawana makabila sio sahihi kabisa,wanayo makabila.
Huu uzi siandikii ati kwa kuwa makabila yataleta manufaa yoyote kwa wazenji ama madhara yoyote,bali naandika kusahihisha ufahamu tu.
Kwanza Kabila ni jamii ya watu yenye umoja fulani upande wa lugha na tamaduni, si...