watoto

Watoto Church, formerly Kampala Pentecostal Church (KPC) is an English-speaking cell-based community church located around East Africa and headquartered in Kampala, Uganda. The vision of the church is "an English speaking cell-based community church, celebrating Christ, growing and multiplying as each one reaches one, touching those around us with the love of Jesus, bringing healing to the cities and the nations." Watoto means "the children" in Swahili.

View More On Wikipedia.org
  1. Manyara: Mama aua watoto 3 kwa kuwalisha sumu kutokana na ugomvi wa kifamilia na mume wake

    Mama mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Regina Daniel (24) mkazi wa Louxmanda Kijiji cha Bashnet Wilaya ya Babati mkoa wa Manyara, anatuhumiwa kuwauwa watoto wake watatu kwa kuwalisha maembe yenye sumu inayodaiwa ni ya Panya . Tukio hilo la kusikitisha limetokea Desemba 5 mwaka huu ambapo...
  2. Mali: Watoto wengi hutumika kama wapiganaji

    Watoto watumika kama wapiganaji Mali, mapigano yaendelea Ethiopia Ripoti ya mashirika ya kibinadamu yakiongozwa na shirika la umoja wa mataifa la kuwashughulikia wakimbizi UNHCR, imenakili visa 230 vya Watoto kusajiliwa na makundi ya wapiganaji katika miezi sita ya kwanza yam waka 2020...
  3. J

    Zifahamu changamoto wanazokabiliana nazo Wanawake waliojifungua Watoto Njiti

    Kukimbiwa na kutengwa na wenza (Baba wa Mtoto): Wanaume wengi na ndugu hudhani kupata Mtoto Njiti ni jambo la laana au mkosi hivyo humtenga Mama na Mtoto wake Kushindwa kumudu gharama za malezi ya Mtoto: Watoto waliozaliwa kabla ya muhula kutimia au waliozaliwa na uzani wa chini wanahitaji...
  4. Chris Watts - Mwanaume aliyeua watoto wake wawili na mke wake mjamzito kisa penzi la mchepuko

    "Behind every murder, there is a motive" Wanawake wengi wa Kitanzania kama siyo wa Afrika utasikia, mimi ningetamani kuolewa na mzungu. Kwanza ni waaminifu na wana mapenzi ya kweli! Muda mwingine nawatazama nacheka kicheko cha mwenyekiti cha Hiiii! Wanaume wa kizungu wakichepuka wakata kuoa...
  5. Napendwa sana na watoto ila mama zao watanivunjia ndoa

    Sijisifii ila ndivyo nilivyo, watoto wananipenda sana tangu mimi ni mdogo, hawa watoto naozungumzia, mara nyingi ni watoto chini ya miaka 7 Kwa sasa nina miaka 29, nimeoa na tuna watoto wawili. Changamoto ninayopata niwapo kazini, kwenye biashara, mtaani na maeneo mengi huwa natokea tu kupendwa...
  6. Ukatili kwa Watoto: Mtoto anusurika kuuawa na baba yake mzazi. Baba katili afariki dunia kwa shinikizo la damu

    Grace Jacob ambaye ni mama mzazi wa Christina aliyenusurika kuuawa kwa kuchinjwa shingo kwa madai ya ushirikina, amesimulia namna tukio hilo lilivyotokea na alivyonusurika. Tukio hilo linalodaiwa kufanywa na baba mzazi wa mtoto huyo, Jacob Taholo lilitokea Novemba 15 saa saba usiku katika...
  7. Je, ni kweli watoto wa kiume siku hizi wanazaliwa wachache?

    Je, ni kweli watoto wa kiume siku hizi wanazaliwa wachache? "Angalia mtaani/vyombo vya habari/watu unaosikia wamejifungua: utaona miongoni mwa watoto waliozaliwa, watoto wa kiume ni adimu -- watoto wengi wakiwa ni wa kike. " alisikika mtu mzima fulani akiongea. Yana ukweli?
  8. Kwitega: Haki za Watoto sio hisani bali ni wajibu

    Katibu tawala mkoa wa Arusha Richard Kwitega ameitaka jamii kutambua kuwa haki za watoto sio hisani bali ni wajibu wao wa kutimiza haki hizo. Ameyasema hayo wakati alipokuwa akiongea na watoto , walimu katika maadhimisho ya kimataifa ya siku ya mtoto duniani yaliyofanyika leo Arusha School...
  9. Je, tuendelee kutilia mkazo watoto wetu kusoma masomo ya sayansi au tukomae na kukuza vipaji?

    Habari wadau! Baada ya kimya kirefu leo vidole vimeniwasha nimeamua kuandika thread . Nauliza tu je kuna ulazima kuwasisitiza watoto wetu kukomaa na masomo ya sayansi ambayo ki uhalisia yanaonekana kuwashinda wengi au tukomae na kuakikisha tunagundua vipaji vya watoto wetu ASAP(As Soon As...
  10. Jengeni viwanda muajiri vijana sio shule wakasome watoto

    Ifahamike swala la Elimu ya msingi kwa sasa lipo vizuri sana naipongeza serikali. Kiongozi yeyote atakae weza kutatua tatizo la ajira kwa kujenga viwanda kisha kuwaajili watu pasipo upendeleo. Nasema Hivi huyo atashinda hata urais kwa chaguzi zijazo. Kwa nini? Ikiwa rundo kubwa ni la vijana...
  11. Mwanamke wapimwe akili kabla ya kupewa mtoto baada ya kujifungua

    Nazani mtaniunga mkono kwa maana;- Kuna mwaka fulani nikiwa bado KCMC nilifanikiwa kuona jinsi kichaa cha kuzaa kilivyo kibaya na hatari mno yahitaji moyo mno kusoma huu uzi. Kuna mwanamke mmoja (jina kapuni) nilifanikiwaga kumfanyia operation baada ya kushindwa kuzaa normal basi akazinduka...
  12. UN: Kichomi kinaua watoto 800,000 kwa mwaka

    Umoja wa Mataifa (UN) unaadhimisha Siku ya Kichomi Duniani, Leo Novemba 12. Kichomi husababisha na Virusi, Bacteria au fangas na huweza kuzuilika kwa chanjo, chakula bora au kuwa katika mazingira sahihi. Katika maadhimisho ya mwaka huu UN wamesema watoto 800,000 hufariki kila mwaka kwa kichomi...
  13. J

    Sababu za Mtoto kuzaliwa Njiti

    Kila mwaka watoto takribani milioni 15 huzaliwa kabla ya miezi tisa yaani njiti na idadi hii imekuwa ikiongezeka siku hadi siku. Ni moja kati ya sababu inayochangia kwa wingi vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano duniani. Shirika la Afya Duniani (WHO) lilikadiria takribani watoto milioni...
  14. Kuna msemo unaosema "Mchawi akishamaliza kula watoto wa jirani, hugeukia watoto wake." Wana CCM tumejiandaaje baada ya majirani kuliwa?

    Wanasema kwamba mchawi akishakula nyama ya mtu huwa haachi. Sasa watoto wa jirani wameliwa wote, na hili dude bado lina njaa, tumejiandaaje kuliwa ndani ya chama chetu? Tutapona?
  15. M

    UZI WA MITINDO KUSHONA YA WATOTO WAKIKE

    Salaam Jf, Kama title inavyojieleza huu ni Uzi maalum kwaajili wa mishono ya watoto wa kike.
  16. Picha: Mafuriko CCM, tafadhali tuachieni watoto wetu wapate elimu na si kuongezea vichwa kwenye mikutano iliyosusiwa na wazazi wao!

    ............ ...... Kama unayo picha ongezea...
  17. GE2020 28 Oktoba vita ya ama zao, ama zangu; kiama chao, ama changu; chama chao, ama changu. Amiri Jeshi Mkuu katangaza vita, watoto wa mama wanachonga sana!

    Wanabodi, Uchaguzi ni wakati mzuri wa kufanya tafakari mbalimbali, saa hizi niko mji kasoro, kwenye kiwanja kipya kinaitwa Star Park, mimi kama kawaida yangu, ni mimi na Joni Mtembezi, kiwanja hiki, Night Shift wanaingia mapema! Hivyo kwa wale wenzangu na mimi ambao macho hayalali njaa, kiwanja...
  18. M

    GE2020 Video: Zungu awaambia wanafunzi wampigie kura Magufuli

    Katika muendelezo wa michezo ya uvunjifu wa sheria, makada wa CCM wameanza utaratibu haramu wa kuwachukua watoto wa shule na kuwaelekeza kumpigia Magufuli kura Huku watoto wakiwa kwenye uniform za shule wanafundishwa namna ya kumpigia kura Magufuli. Tunaitaka NEC ije iuelezee umma kama...
  19. GE2020 Prof. Lipumba akiwa Tandahimba: korosho ndio maisha ha yao, wanasomesha watoto kupitia korosho, nichagueni Oktoba 28 niboreshe bei ya korosho

    TANDAHIMBA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CUF, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais, atahakikisha anaboresha bei ya korosho na wananchi wa Tandahimba na Mtwara wananufaika na kilimo cha korosho Pia, Prof. Lipumba amesema kwamba...
  20. J

    Afya ya Uzazi: Kulala chali huongeza hatari kwa Wajawazito kuzaa Watoto Njiti

    Wanawake walioko katika miezi ya mwisho kabla hawajajifungua, ambao wanalala chali au kwa maneno mengine kulalia mgongo wanakaribisha hatari ya kuzaa watoto njiti, kwa mujibu wa utafiti mpya. Watafiti wamebaini kuwa aina hii ya mlalo inawaweka zaidi watoto walio tumboni katika shinikizo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…