Tukiweka Dini pembeni pamoja umasikini narudia Tena kusema mke Mmoja hautoshi angalao wawili watatu hata wane si mbaya.

Tukiweka Dini pembeni pamoja umasikini narudia Tena kusema mke Mmoja hautoshi angalao wawili watatu hata wane si mbaya.

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
11,971
Reaction score
26,236
Maelezo mnayo ninyi wakuu.

NB:

PICHA HII NDO NAMNA CCM ILIPOTUFIKISHA.
PXL_20260424_130842462.jpg
 
Ukweli haujifichi mke mmoja hatoshi

Yani akiwa mwezini na ww upo mwezini kama artemis 11

Akijifungua na wewe umejifungua usubiri mpka apone

Akiumwa na wewe unaumwa kama donda ndugu

Dah mmoja hatoshi kabisaaa
 
Ukweli haujifichi mke mmoja hatoshi

Yani akiwa mwezini na ww upo mwezini kama artemis 11

Akijifungua na wewe umejifungua usubiri mpka apone

Akiumwa na wewe unaumwa kama donda ndugu

Dah mmoja hatoshi kabisaaa
😀😀
 
Tabia za jumla za wanaume ni zile zile tu MONEY, POWER & SEX, no matter the race of a man (uwe ni Asian, Caucasian, black, Latino, indigenous americans, mixed race, etc.), no matter the financial position of a man, as long as afya ipo poa.

Ukitulia vizuri, utajua kwamba the so called "richmen" hao ndio 'wanaokula' SEX a lot compared to hao the so called 'masikini'.

Sawa, unaweza ukajidai hauoi wanawake wengi kisheria-kidini,
ila the million dollar question is, Je, unatoka kingono na watu wangapi? 🤔
Je, ni 'mademu' wangapi unaojisemeaga kwamba wakiingia anga zako ni lazma uwakule?

Ukishajijibu hayo maswali hapo juu in AN HONEST WAY, Sasa ndio utajua kwamba Sexually wewe na huyo aliyeoa wake wengi tofauti ni nini haswa?

Hutaki kuoa mke zaidi ya mmoja, ila uko na pesa na unazikunja kusumbulia mbususu kadhaa.

Masikini, anasingiziwa t
u kwamba starehe yake ni ngono. ila kiuhalisia pesa ndo inaleta misuli ya ku-spend na kila aina ya MBUSUSU.
So tajiri kwenye Starehe ya ngono anaweza kumzidi mtu masikini mbali sana .

Watu masikini kuwa na watoto wengi, isiwe sabb ya wao kuambiwa kwamba Starehe yao ni ngono, maana tajiri anaweza kuwa na mtoto 1 au wawili tu kisha akawa anapiga ngono sana tu kwa msaada wa njia za uazi wa mpango (family planning).

Mfano: Upo na mke mmoja, lakini unazidi ongeza mchepuko (body count), sasa hapo si ni sawa na upo na wake wengi tu? 🤔
So, be careful when you condemn polygamy.


Au, labda pengine tu-define kwanza neno 'masikini' ni nini kiuchumi by standards za 2026? Au mie ndo sielewi haya mambo kiuchumi, kijamii, n.k.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom