Kubwa la Maadui
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 8,014
- 15,867
1. Mabango ya manabii/wachungaj
2. Mabango ya CCM
3. Matangazo ya waganga
Yani kila sehemu yapi ovyoovyo, nchi haina utaratibu kabsa kama tunaishi porini. Huwez kukuta ujinga huu kwa watu wanaojtambua hata mara moja
Kila kituo cha daladala, stend ya mabus , pembezoni mwa barabara hizo takataka lazma ziwepo
Mkuu wa mkoa haoni?
Serikali haioni?
Tuwe wastaarabu aisee
2. Mabango ya CCM
3. Matangazo ya waganga
Yani kila sehemu yapi ovyoovyo, nchi haina utaratibu kabsa kama tunaishi porini. Huwez kukuta ujinga huu kwa watu wanaojtambua hata mara moja
Kila kituo cha daladala, stend ya mabus , pembezoni mwa barabara hizo takataka lazma ziwepo
Mkuu wa mkoa haoni?
Serikali haioni?
Tuwe wastaarabu aisee