watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    GE2025 Samia kataa hizi aibu, Ripoti ya Uchunguzi: Hitilafu na Utofauti Kati ya Matokeo ya Wilaya/Mikoa na Tangazo la Kitaifa la CCM, Mkutano wa Mtandaoni

    “Ogopa Mungu na teknolojia,” na tena: “Siku ya kufa nyani, miti yote huteleza.” Katika mazingira ambayo upatikanaji wa intaneti si wa uhakika—hata simu za kawaida hupata shida ya mtandao.lengo liliikiwa kunyima haki ya mawazo mbadala na kuendeleza hofu ya watawala. Matokeo yake yamekuwa aibu...
  2. The Zanzibar Echo

    Tunakoelekea itafikia hatua ya Watanzania watembea kwa miguu barabara ya lami kulipa kodi ili tulipe deni la taifa

    Naam wana JF hali inavoelekea sasa ni mbaya kuliko mda wowote. Serekali ya ccm kupitia mamlaka ya mapato Tanzania TRA imetangaza kua wanaofanya biashara online, wanaoishi Airbnb, na wanaochapisha matangazo katika mitandao ya kijamii kama Instagram wanawapa siku 30 ili kuweza kujisajili na...
  3. The Burning Spear

    Mfikishieni Salamu Samia ya kwamba Maneno huumba Kilio Cha watanzania hakitaenda bure

    GT Tunasema 'Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu" hata kiswahili chetu kinasema "Wengi wape". Hatakiwi kabisa na yeyote huyu.mama. Sasa huyu naona anajidai kuziba masikio anavunja katiba ya nchi na Chama kwa maslahi binafsi. Anatumia.pesa na hila kupoka madaraka ambayo hayawezi. Hivi vilio na...
  4. Investigation Unit

    David Kafulila: Watanzania tupunguze Kasi ya kuzaliana. Jambo hili kiuchumi lina matokeo hasi - Dira2050

    UTANGULIZI, Akizungumza katika kipindi maarufu cha runinga cha "Mizania ya Wiki" kinachorushwa na Kituo cha Televisheni kutoka Azam Media (UTV) Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila alikuwa na haya ya kusema, Kwanza, Kafulila anaonesha upo uwezekano...
  5. Benson Mramba

    Huenda Mama Samia anawahitaji sana Watanzania wakati huu kuliko Wanavyomhitaji

    Nimeamua kuvaa viatu vya mama Samia. Suppose aliyoyaandika huyu jamaa ni ya kweli. Unafikiri Mama Samia atafanya nini kwa Watanzania hawa ambao Mbowe alifilisiwa wakawa kimya, Lissu alipigwa risasi wakawa kimya, Mbowe akapewa kesi ya ugaidi kimya, Lissu kesi ya uhaini kimya, CEO nae kaondoka...
  6. L

    Polepole apuuzwa na Watanzania na kuonekana ni mnafiki na mbaguzi

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika watanzania wa leo siyo wa mwaka 1961 , Watanzania wa leo hawadanganywi wala kudanganyika kwa porojo za mdomoni na maneno ya uongo na uzushi, watanzania wa leo siyo manyumbu au makasuku wa kuimbishwa uongo ,uzushi na kupandikizwa chuki na uchonganishi...
  7. M

    Unafiki wa baadhi ya watanzania

    Watanzania tumekuwa na kaunafiki fulani na km tusipojirekebisha itatugharimu sana Kipindi cha kikwete kwa sisi ambao tulishakuwa na ufaham wa kufuatilia mambo ya siasa, Watz walikuwa wanalalamika na kusema kuwa nibora utawala(awamu) iliyopita wakimaanisha awamu ya rais mkapa, lakin hali hiyo...
  8. DR HAYA LAND

    Ukiwa haujui utaratibu wa watanzania ndo unaweza kushangaa ambacho kinaendelea sasa hivi katika siasa zetu

    Sisi watanzania huwa tuna utaratibu wetu wa miaka mingi unaitwa "bora tukose wote" Kwahiyo msishangae Sana hii hali kutokea. Faida zake ni chanya na hasi .
  9. J

    Watanzania hawaeleweki, wanadai hawamtaki Rais, akiondoka wanatamani arudi

    Watanzania sasa hivi wamechachamaa hawamtaki Samia, kelele kibao mtandaoni Lakini ukitazama kwa umakini, Watanzania hii imekuwa ndio tabia yao, wanasema hawamtaki kiongozi ila akindoka wanatamani arudi Tuliona Kikwete walikuwa wanapiga sana kelele hawamtaki, ila alipoondoka na kuja Magufuli...
  10. Afghanistan

    Watanzania wamechoka, usisubiri mambo yaharibike sana

    Kwenye page ya Instagram ya miss world Baada tu ya kupost picha ya pamoja akiwa na Rais Samia huko visiwani na hizi ni baadhi tu ya comment alizoshushiwa mlimbwende huyo. Nadhani akitafuta tafsiri sahihi ya comments hizo atajilaumu sana kuja Tz. My Take; Uongozi ni kukubalika Kwa wale...
  11. Anti-tozo

    Tofauti ya wakenya na Watanzania

    Ni kiasi cha uelewa wa jambo, umuhimu wake,sikio la kusikiliza na mwisho kabisa kuchakata jambo lenyewe.
  12. MamaSamia2025

    Nasikitika kuona Mr Kuku akienda kuwatapeli baadhi ya watanzania wenzetu kwa mara nyingine.

    Baada ya kuwatapeli watu zaidi ya mara tatu kupitia mradi wa kuku, Kijana Tariq kaja kivingine kupitia mradi anaoita mbuzi pesa. Utaratibu wake ni uleule wa kuchangisha watu pesa. Ikumbukwe mara baada kuachiwa kupitia plea bargain mara baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kuchezesha upatu, Mr Kuku...
  13. M

    Angalizo kwa wana JF, usiweke video wala picha yoyote ya wanaomkataa mama waziwazi ili kuwalinda, ila kiufupi, watanzania hawamtaki

    Jamani, Kunakupotezwa, si unajua tena ugali wa mtu, hata kama unga kaiiba, mboga kaiba, ila ukimwaga chakula chake, hasira huja zenyewe Tusiweke video za wanaomkataa hadharani kipenzi cha wanasisiemu wenye nyadhifa za uteuzi! Nazungumza nyadhifa za uteuzi kwa sababu, hao ndiyo watamlinda...
  14. Tlaatlaah

    GE2025 Samia Suluhu Hassan, sisi hatuna deni nawe, ila wewe ndie unayetudai, na mwaka huu wa uchaguzi tutakulipa deni lako kama Taifa

    Asante kwa 4RS zilizo unganisha taifa na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu. Asante kwa maendeleo ya uhakika ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, kitaifa na kimataifa kwa muda mfupi tu. Pongezi kwa kua champion wa nishati safi ya kupikia na rafiki wa mazingira Africa. Shukrani kwa kuipa...
  15. Dan Zwangendaba

    Watanzania Tumekuwa kama Kizazi cha Israel

    Katika kitabu cha Qur'an, aya ya 80, katika Sura ya 20 inasema: "Enyi Wana wa Israili! Hakika tulikuokoeni na adui yenu, na tukakuahidini upande wa kulia wa mlima. Na tulikuteremshieni Manna na Salwa" Kwa kiingereza: O ye Children of Israel! We delivered you from your enemy, and We made a...
  16. T

    Ccm ni bingwa wa kuwaletea watanzania viongozi wabovu kwa kuwauza na kuwapamba kwa kila rangi kwa manufaa yao binafsi!

    Hiki chama kina lundo la watu maslahi ambao kichwani ni weupe kabisa na wakiwa na maslahi yao fiche huwapamba hawa watu kwa nguvu zao zote ili kuwaingiza madarakani kwa manufaa ya kikundi cha wachache. Utaratibu huu umezalisha unafiki na ujinga wa kushundwa kuhoji mambo ya wazi kabisa. Jambo...
  17. Lord Denning

    Aibu kubwa kwa Mhimili wa Mahakama: Kwa mara ya kwanza Watanzania wafikiria Kuandamana kupinga Mahakama kuingiliwa na Serikali.

    Tangu wakati wa Chama kimoja, hakuna kipindi ambacho Watanzania waliwahi kufikiri kuwa Mhimili wa Mahakama unaingiliwa na Serikali. Ni bahati mbaya sana, baada ya Mhimili huu kuwa compromised kiwango cha kutisha na kutoa maamuzi ya hovyo isivyo mfano Watanzania wameanza kufikiria kuandamana...
  18. Tlaatlaah

    Ukubwa na umuhimu wa ccm katika kuiongoza nchi wajidhihirisha wazi kwa umma wa waTanzania

    Macho, maskio na shauku za waTanzania wote kutaka kujua au kufahamu kinachoendelea ndani ya makao makuu ya chama taifa ni kubwa mno. Watanzania wanatamani kujua mustakabali wa uongozi wa Taifa lao chini ya uongozi madhubuti wa ccm imara inayoongozwa kisanyansi na Dr.Samia Suluhu Hassan...
  19. albab

    Watanzania mnachezeshwa ngoma msiyoielewa. Wapigaji ni muwaonao hawana akili kila siku

    Kesi inaendelea mahakani... Mzee wa kanisa anajitokeza anaongea mengiiii anawapoteza na mnamuamini kisha anapotea ghafla. Anaibuka balozi mtu ambae amezungukwa na hao watu Kwa Kila analofanya, anapoenda na anaowasiliana nao nawapindua na mdundo mpya🤣🤣🤣 woooooote wanafuata!! Anaibuka Mzee wa...
  20. H

    Hakuna binadamu aliyeitumikia ccm na mwenye dini ya kuja atakayewapigania WaTanzania kamwe!

    Asiye na akili timamu ndiye atakayeamini maigizo ya kisiasa wanayofanya ccm na wanasiasa wake
Back
Top Bottom