There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.
Upo msemo maarufu unaosema “Siasa ni mchezo mchafu,” lakini kwa wengi, huu si msemo tu bali ni uhalisia unaoonekana kila siku. Katika mazingira ya sasa, kuna hali inayozua maswali mengi kuhusu namna mitindo ya maisha, burudani, na “trends” zinavyotumika kama zana za kuwafanya wananchi wasahau...
Deni lake almaarufu Deni la Mama , baada ya Sauti za Watanzania kua nyingi dhidi yake ,ameshtuka.
Ukandamizaji wa Demokrasia, huku Taifa likishuhudia Utekaji, na Mauaji Kwa Idadi ambayo haijawahi shuhudia tangu Uhuru wa Tanganyika .
Akaenda Mbali sana Kukandamiza Chama Kikuu Cha Upinzani na...
Unadhani watu bado mambumbu? Acha maigizo ya kisiasa
==================
Mgombea urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, ameapa kuendeleza mapambano dhidi ya ufisadi nchini, akisisitiza kuwa hatapumzika hadi Watanzania wote wanufaike na rasilimali za taifa, na chama hicho kipo makini...
Wanasema "Mali bila daftari huisha bila habari!".
Leo ngojeni niwachane watanzania wenzangu acheni kukaa kizwazwa!, kuna watu mmekaa humu kufuatilia nini kinajili nakusubiri upate taarifa mbaya kwa yale usiyoyapenda na usiempenda!.
Kama unayahitaji mabadiliko kwa namna hiyo ndugu saa inafanya...
Watanzania tumefika mahali pa kuonekana hatuna akili nzuri na majirani zetu. Juzi nimekutana na mtu kutoka taifa jirani anashangaa sana kwa jinsi siasa za Tanzania zinavyoendeshwa kibabe huku Watanzania wakiwa hawana la kufanya mbele ya kikundi kidogo cha wanasiasa.
Kwa kweli tuliongea mengi...
Tunatia aibu kwakweli unaona kabisa mtu mzima amesoma lakini bado anashangaa nyumba za watu kwa kulalamika as if amekatazwa naye kujenga nyumba Kama hyo anayoishangaa, hebu vitu Vingine acheni viwapite.
Eti oooh! Marehemu kaacha nyumba kubwa Sana, ww inakuhusu Nini? Eti oooh siasa inalipa kwani...
Nyakati zinakimbia sana!
Miaka 10 iliyopita wakati wa kampeni za kumuweka madarakani John Pombe Magufuli, hayati Benjamin Mkapa alitupa tusi lenye kejeli ndani yake la kutuita malofa.
Sijui nini kilimsibu mzee wa lupaso mpaka apayuke neno lile gumu kwa Watanzania.
Anyway yeye na Magufuli...
Kumekuwa na mwendelezo wa watu kushangilia pale anapofariki kiongozi. Mwendelezo huo umeonekana kwa Job Ndugai, aliyewahi kuwa spika wa bunge la Tanzania.
Sababu kuu ni siasa peke yake au kuna mengine?
https://youtu.be/_Djc1K7gyi8?si=3xf8Ix2eKiK0Qm0Q
Awamu ya 5 ilikuwa na comedy sana.
Kwenye hoja yake ya kumshauri aache kugombea Urais pamoja na Salum Mwalimu wa ACT na Luhaga Mpina wa CHAUMA maana yake ni kwamba Samia akafanya udikteta kumminya Lissu mpinzani wa kweli kabisa ili akaokote Urais kwa vitawi vidogo vya CCM kama ACT na CHAUMA...
Nchi zote waandaaji wamewaachia mashabiki wa soka kuingia viwanjani kushangilia timu zao za taifa bure .
Timu shiriki zimekuja na mashabiki wamelipiwa viingilia nyie mpo busy kutoza hela nyingi sana sijui mnataka nini na idadi ya mashabiki inazidi kupungua mechi ijayo mtatazama wenyewe VIP Kwa...
Serikali ya raisi Samia ilikuja na R nne ambazo mojawapo ni maridhiano na hadi sasa hakuna maridhiano yalotokea na badala yake ni kuona kuwa wapinzani wa serikali watekwa, kuuawa na kuteswa kama si kupotea kabisa.
CCM chama tawala ambacho viongozi na wanachama wake wamekuwa wakijinasibu kuwa...
Tuungane hapa kuihitaji nchi yetu tuliyopokwa na wahuni, mashetani na maharamia. Hawa wamerudi kutunyang'anya kidogo kilichokuwa kimebaki.
Tusikubali tuungane na polepole kuwakimbiza wahuni. Na mtandao wao kuanzia 1st Gen hadi 2nd na 3rd Gen. Tusikubali.
Kwa sasa tuwe na common enemy. Ambaye...
Wakuu,
Inaonekana kama Musiba baada ya kukatwa na CCM akili zimeanza kumrudi.
Leo akiwa anaongea na waandishi wa habari ameomba radhi watu wote ambao aliwakosea kipindi hicho na akaongeza kuwa kipindi kile alikuwa kijana tu.
Nadhani msamaha huu unawahusu sana wakina Fatma Karume na wengineo...
Nikiri katika mwaka huu wa kiuchaguzi wajumbe wa CCM wenye mamlaka ya kuchuja na kupendekeza majina ya wagombea ambao hatimaye ndio huchaguliwa kuwa wawakilishi wetu wamefanya kazi kubwa sana na ya kizalendo mno.
Nawashukuru!
1. CCM imeshajua kuwa watanzania wana njaa, tena njaa kali.
2. CCM anapigilia msumari hapo hapo, anawa starve zaidi kwa mbinu ya vitisho, kukosa ajira kwa wasomi etc etc .
3. Then anawarushia vipande vya mkate, such as .ajira kidogo, baiskeli, pikipiki, visenti kwa timu za mpira etc...
Ni kama vile wananchi hawako serious na maisha yao! Mimi nitoe Rai tu kwa waliopo kwenye mifumo pigeni kadri mnavyoweza msionee huruma wajinga wasiojitambua
Ujinga ni laana
Nawasalimu salaam !
Leo niwasanue sababu kubwa ya mnashangaa kwa nini wakenbya wako walivo halafu sisi tumezubaa .
utajiuliza inakuwaje watekaji wawili wanaenda stendi kisa wamekuja na gari la STJ wanamchukua baba eneo la wazi kama stendi katikati ya wanaume si chini ya 100 na wanaondoka...
Slogan ya No election no reform ilikuwa imeshaanza kueleweka mpaka vijijini .
Ila sasa kinachotokea ni either kukosa Mwelekeo na kujua nini wanabidi wasimamie kwa wakati husika.
Page zote za Chadema zinahangaika na Polepole .
Huyu alibidi kupotezewa na sio kupewa airtime .
Kwa style hii...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
TAKRIBANI watu milioni 1.5 kutoka Mikoa ya Iringa, Njombe, Ruvuma na Lindi wanatarajia kunufaika na mradi wa unaolenga kuboresha matumizi ya endelevu ya ardhi na kukuza uchumi wa ndani (FORLAND) wenye thamani ya Euro milioni 20.
Mradi huo ambao wa miaka minne...
1. Inasikitisha kusikia eti watu wanaingia wivu watoto/wenza wakiomba nafasi za Uongozi. Ni haki hao ya kikatiba kama Watanzania wengine.
2. Tunataka Mtoto/mwenza wa Kiongozi asigombee ili tupate nini?. Amevunja kufungu gani cha Katiba?
3. Kama lawama tuzipeleke kwa Walezi/Wazazi wetu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.