watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. 1Africa54

    Hizi trends za Polepole zipo ili kuwasahaulisha watanzania. Siasa mchezo mchafu

    Upo msemo maarufu unaosema “Siasa ni mchezo mchafu,” lakini kwa wengi, huu si msemo tu bali ni uhalisia unaoonekana kila siku. Katika mazingira ya sasa, kuna hali inayozua maswali mengi kuhusu namna mitindo ya maisha, burudani, na “trends” zinavyotumika kama zana za kuwafanya wananchi wasahau...
  2. Carlos The Jackal

    Deni la Taifa Kupaa, Kunyimwa Mikopo na Ulaya, ilikua ni ngumu sana Kuacha Watanzania Waishi kama Manyani 2026-2030

    Deni lake almaarufu Deni la Mama , baada ya Sauti za Watanzania kua nyingi dhidi yake ,ameshtuka. Ukandamizaji wa Demokrasia, huku Taifa likishuhudia Utekaji, na Mauaji Kwa Idadi ambayo haijawahi shuhudia tangu Uhuru wa Tanganyika . Akaenda Mbali sana Kukandamiza Chama Kikuu Cha Upinzani na...
  3. Idugunde

    GE2025 Mpina tambua kuwa Watanzania wa leo sio wale 1995 waliokuwa wanasukuma gari la Marehemu Lyatonga Mrema

    Unadhani watu bado mambumbu? Acha maigizo ya kisiasa ================== Mgombea urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, ameapa kuendeleza mapambano dhidi ya ufisadi nchini, akisisitiza kuwa hatapumzika hadi Watanzania wote wanufaike na rasilimali za taifa, na chama hicho kipo makini...
  4. KENZY

    Watanzania badilisheni mitazamo kwenye fikra ndo mpate mabadiliko!

    Wanasema "Mali bila daftari huisha bila habari!". Leo ngojeni niwachane watanzania wenzangu acheni kukaa kizwazwa!, kuna watu mmekaa humu kufuatilia nini kinajili nakusubiri upate taarifa mbaya kwa yale usiyoyapenda na usiempenda!. Kama unayahitaji mabadiliko kwa namna hiyo ndugu saa inafanya...
  5. F

    Watanzania tusipoikataa CCM kwa nguvu zote tutaendelea kuchezewa na kutwezwa

    Watanzania tumefika mahali pa kuonekana hatuna akili nzuri na majirani zetu. Juzi nimekutana na mtu kutoka taifa jirani anashangaa sana kwa jinsi siasa za Tanzania zinavyoendeshwa kibabe huku Watanzania wakiwa hawana la kufanya mbele ya kikundi kidogo cha wanasiasa. Kwa kweli tuliongea mengi...
  6. Kimbesa11

    Watanzania wenzangu hebu tujitathimini hivi Karne ya sasa ni yakushangaa nyumba ya mtu tena kwa mtu mzima? Hii ni aibu!

    Tunatia aibu kwakweli unaona kabisa mtu mzima amesoma lakini bado anashangaa nyumba za watu kwa kulalamika as if amekatazwa naye kujenga nyumba Kama hyo anayoishangaa, hebu vitu Vingine acheni viwapite. Eti oooh! Marehemu kaacha nyumba kubwa Sana, ww inakuhusu Nini? Eti oooh siasa inalipa kwani...
  7. Mchochezi

    Ni miaka 10 sasa tangu hayati Mkapa atuite watanzania tunaopenda upinzani “malofa”

    Nyakati zinakimbia sana! Miaka 10 iliyopita wakati wa kampeni za kumuweka madarakani John Pombe Magufuli, hayati Benjamin Mkapa alitupa tusi lenye kejeli ndani yake la kutuita malofa. Sijui nini kilimsibu mzee wa lupaso mpaka apayuke neno lile gumu kwa Watanzania. Anyway yeye na Magufuli...
  8. Abtali Mwerevu

    Kwa nini Watanzania Wanashangilia Misiba ya Viongozi

    Kumekuwa na mwendelezo wa watu kushangilia pale anapofariki kiongozi. Mwendelezo huo umeonekana kwa Job Ndugai, aliyewahi kuwa spika wa bunge la Tanzania. Sababu kuu ni siasa peke yake au kuna mengine? https://youtu.be/_Djc1K7gyi8?si=3xf8Ix2eKiK0Qm0Q
  9. Samia atosha tukutane2030

    Nina mashaka na akili za Watanzania wanaomshabikia Polepole

    Awamu ya 5 ilikuwa na comedy sana. Kwenye hoja yake ya kumshauri aache kugombea Urais pamoja na Salum Mwalimu wa ACT na Luhaga Mpina wa CHAUMA maana yake ni kwamba Samia akafanya udikteta kumminya Lissu mpinzani wa kweli kabisa ili akaokote Urais kwa vitawi vidogo vya CCM kama ACT na CHAUMA...
  10. USSR

    CHAN:Ushauri wangu kwa SERKALI.TFF.bodi ya ligi waacheni watanzania waingie bure uwanjani .usituuzie uzalendo

    Nchi zote waandaaji wamewaachia mashabiki wa soka kuingia viwanjani kushangilia timu zao za taifa bure . Timu shiriki zimekuja na mashabiki wamelipiwa viingilia nyie mpo busy kutoza hela nyingi sana sijui mnataka nini na idadi ya mashabiki inazidi kupungua mechi ijayo mtatazama wenyewe VIP Kwa...
  11. Richard

    Duniani ni mapito na sote binadamu huzaliwa na kuna siku tutapumzishwa kila mmoja kwa wakti wake

    Serikali ya raisi Samia ilikuja na R nne ambazo mojawapo ni maridhiano na hadi sasa hakuna maridhiano yalotokea na badala yake ni kuona kuwa wapinzani wa serikali watekwa, kuuawa na kuteswa kama si kupotea kabisa. CCM chama tawala ambacho viongozi na wanachama wake wamekuwa wakijinasibu kuwa...
  12. Chizi Maarifa

    Watanzania waliobaki na akili zao tuwakatae Wahuni waliotupoka Nchi yetu

    Tuungane hapa kuihitaji nchi yetu tuliyopokwa na wahuni, mashetani na maharamia. Hawa wamerudi kutunyang'anya kidogo kilichokuwa kimebaki. Tusikubali tuungane na polepole kuwakimbiza wahuni. Na mtandao wao kuanzia 1st Gen hadi 2nd na 3rd Gen. Tusikubali. Kwa sasa tuwe na common enemy. Ambaye...
  13. McLaren

    GE2025 Musiba: Kama kuna mtu yeyote nilimkosea, naomba anisamehe. Ule ulikuwa ni ujana

    Wakuu, Inaonekana kama Musiba baada ya kukatwa na CCM akili zimeanza kumrudi. Leo akiwa anaongea na waandishi wa habari ameomba radhi watu wote ambao aliwakosea kipindi hicho na akaongeza kuwa kipindi kile alikuwa kijana tu. Nadhani msamaha huu unawahusu sana wakina Fatma Karume na wengineo...
  14. funaku

    Bila Shaka wajumbe wa CCM wamefanya kazi kubwa kwa niaba ya watanzania!

    Nikiri katika mwaka huu wa kiuchaguzi wajumbe wa CCM wenye mamlaka ya kuchuja na kupendekeza majina ya wagombea ambao hatimaye ndio huchaguliwa kuwa wawakilishi wetu wamefanya kazi kubwa sana na ya kizalendo mno. Nawashukuru!
  15. R

    Mbinu za CCM kuwatawala watanzania: If you want to befriend a Lion, starve it intermitently and then feed it with a piece of meat

    1. CCM imeshajua kuwa watanzania wana njaa, tena njaa kali. 2. CCM anapigilia msumari hapo hapo, anawa starve zaidi kwa mbinu ya vitisho, kukosa ajira kwa wasomi etc etc . 3. Then anawarushia vipande vya mkate, such as .ajira kidogo, baiskeli, pikipiki, visenti kwa timu za mpira etc...
  16. vnn

    GE2025 Hivi kweli Babu Tale ni wa kuongoza Kura za maoni?

    Ni kama vile wananchi hawako serious na maisha yao! Mimi nitoe Rai tu kwa waliopo kwenye mifumo pigeni kadri mnavyoweza msionee huruma wajinga wasiojitambua Ujinga ni laana
  17. The only

    Sababu kuu ya watanzania kuwa MAMBUMBUMBU sio werevu kama wakenya ,na nini cha kufanya

    Nawasalimu salaam ! Leo niwasanue sababu kubwa ya mnashangaa kwa nini wakenbya wako walivo halafu sisi tumezubaa . utajiuliza inakuwaje watekaji wawili wanaenda stendi kisa wamekuja na gari la STJ wanamchukua baba eneo la wazi kama stendi katikati ya wanaume si chini ya 100 na wanaondoka...
  18. DR HAYA LAND

    Chadema na watanzania kiujumla ni rahisi sana kuwaongoza milele kwakuwa ni rahisi sana kutolewa katika mjadala , mnabidi kujitafakari!

    Slogan ya No election no reform ilikuwa imeshaanza kueleweka mpaka vijijini . Ila sasa kinachotokea ni either kukosa Mwelekeo na kujua nini wanabidi wasimamie kwa wakati husika. Page zote za Chadema zinahangaika na Polepole . Huyu alibidi kupotezewa na sio kupewa airtime . Kwa style hii...
  19. Pfizer

    Zaidi ya Watanzania milioni 1.5 kunufaika na mradi wa misitu wenye thamani ya Euro milioni 20

    Na Mwandishi Wetu, Dodoma TAKRIBANI watu milioni 1.5 kutoka Mikoa ya Iringa, Njombe, Ruvuma na Lindi wanatarajia kunufaika na mradi wa unaolenga kuboresha matumizi ya endelevu ya ardhi na kukuza uchumi wa ndani (FORLAND) wenye thamani ya Euro milioni 20. Mradi huo ambao wa miaka minne...
  20. Valencia_UPV

    Familia za Viongozi ni Watanzania wana haki ya kugombea Uongozi

    1. Inasikitisha kusikia eti watu wanaingia wivu watoto/wenza wakiomba nafasi za Uongozi. Ni haki hao ya kikatiba kama Watanzania wengine. 2. Tunataka Mtoto/mwenza wa Kiongozi asigombee ili tupate nini?. Amevunja kufungu gani cha Katiba? 3. Kama lawama tuzipeleke kwa Walezi/Wazazi wetu kwa...
Back
Top Bottom