Wakuu
Hivi hawa wasanii na haswa huyu Jimmy Mafufu huwa wanaelewa hata wanachokiongelea? Wana elimu hata ya kuhusu diplomasia ama huwa wanaongea tu?
Na huyo anayewatuma huwa anatambua anachokifanya? mana ni aibu kwa kweli.
===
Msanii wa maigizo nchini maarufu kama Jimmy Mafufu amuweka...
Ukizungumzia msanii wa Hip Hop waliokuwa wana matukio ya kushangaza na ukorofi basi huwezi kumuacha Kala Pina mzee wa Kikosi cha Mizinga kutokea pale Kinondoni Block 41.
Pina aliwahi kutishia kumtolea posa msanii mwenzake aitwaye Voice Wonder kisa tu anadai alikuwa anabana sauti wakati wa...
Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy...
Nimehudhuria baadhi ya matamasha na LIVE SHOWS za Wasanii wetu. Ila sikuwahi kufurahia tamasha hizo kutokana na kelele zisizo na mpangilio kutoka kwa wasanii wenyewe. Mara , Kushoto Kulia, mko wapi? mara Ruka juu!, mara mnataka niendelee au niwaachie? Yote haya yanaonekana kuwa ni sehemu ya...
Kweli Marekani imepata mchambaji! Hawa wasanii nao walijitakia wenyewe!
Trump targets Taylor Swift and Bruce Springsteen on Truth Social
The Dark singer accusing Trump of being "unfit" for office during the opening night of his UK tour.
Huyu kachambwa hivi:
he refers to Bruce Springsteen as...
Hawa ni wale wasanii ambao bado hawajaukubali ukweli na kila wakihojiwa wanasema wanaanda album au kuna kazi zao zinakuja mashabiki wasikilizie tu;
1. Q Chief
2. TID
3. Baraka da Prince
4. Young Killa
5. Mh. Temba
6. Chege
7. Rich Mavoko
8. Aslay
9. Maua Sama
10. AY
11. Fid Q
12. Joh Makini
13...
Nmekumbuka tu mara 3 kwa wanawake watatu tofauti wasanii ambao nimewahi kuwala.
Mmoja huyu kwa sasa anaolewa olewa na kuachika yeye nlimla kipindi hicho kwa tsh 600,000 mpaka asubuhi. Ingawa alianzia na dau la 1,000,000. Nikamwambia ni 600,000 no more no less. Akaniambia nimwache afikirie...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi amesema Rais Samia ameweka mazingira wezeshi kwa Wasanii nchini kwa kuwapa mitaji ya kuboresha kazi zao ambapo katika uongozi wake amefufua mfuko wa Utamaduni na Sanaa uliokuwa umekufa kwa zaidi ya miaka 10 na kipindi...
Mizaha mizaha itatumbua usaha, tusilee ujinga na upuuzi hadharani, hayo mambo tukiendelea kucheka nayo ipo siku, tena sio nyingi tutavuna mabua. Taifa linawapa kiburi na jukwaa pana na kubwa mnoo isivyopaswa kisa waliwahi kufanya mizaha mbele ya mheshimiwa rais.
Hao wasanii, kwa nature ya kazi...
Afrika haitawahi kupata wasanii watakaovunja rekodi ya Wafalme wa Rumba rika la akina Frankoo, Madilu System, Papa Wemba, Sam Magwana na wengineyo
Ni ngumu kuvunja rekodi ya Frankoo huyu alikuwa na uwezo mkubwa wa kuimba pasipo kuandika mashahiri, kupiga vyombo vya muziki hasa Guitar kwa...
Tukisema nchi hii inapoelekea mpaka Mr pimbi naye anaitisha vyombo vya habari kuongea upimbi wake.
Wale tunaowakodisha kusimamia harusi na kucheza kwenye harusi ili limetokea huko naijeria yule aliyekuwa mnunua simu za wizi kinondoni na kuwa msanii na kutoboa kimaisha baada ya ruge kufa...
Kipindi Cha uchaguzi, Kila msanii anaingiaga studio na kurekodi nyimbo za kuwasifu CCM, na kuwakashifu wapinzani (Chadema) CCM utumia pesa nyingi kuwalipa wasanii Ili kampeini zinoge.
Mwaka huu itabidi wasanii watunge nyimbo za kuwachamba kina Dovutwa, Selasini na Rungwe.
Je CCM itatumia...
Ni ajabu nchi inakumbwa na janga la ushoga alafu watu wetu wa sanaa ambao ni kioo cha jamii wapo tu kimya?
Tulitegemea kipindi cha majanga ya namna hii tungeskia nyimbo na maigizo mengi juu ya ushoga lakini wapo kimya,!
Kuna wimbo mmoja wa Jay combati unaitwa sio mwana,
Unapendwa sana...
Salaam!
Ushauri kwa wale wanaojiita ma-regendary wa bongo wakuu ukweli huu hamtaupata popote na auonaye amwambie mwenzie ,wakuu Game ya bongo ya Muziki na hata sanaa zingine sio kazi au biashara ya kudumu ,mtawafariji ooh mbona wa ulaya mpaka leo wanapiga show ,wakuu hilo game la ulaya leo hii...
Great Thinkers
Hakuna jambo linakera kama
1. Kutosikiliza na kuenzi wataalamu wetu.
2 Kutowatumia wataalamu wetu kuelimisha jamii.
3. Kuwathamini wasomi na kuwafanya watembee kifua mbele.
4. Kuliacha Taifa liongozwe na mbumbmbu ni kero kubwa sana.
Amini nawaambia taifa lolote ambalo.halina...
Naongea na nyinyi mnaojiita wasanii wa nyimbo za Injili (Gospel Artists), vikundi vya kwaya na bendi. Nyinyi mnaotunga na kuimba nyimbo za Injili, nyimbo za sifa na kuabudu lakini maisha yenu ni ya mchanganyo! Maisha ya uvuguvugu. Nyinyi mnaopenda kumwimbia Mungu lakini dhambi hamtaki kuziacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.