wangu

Wangũ wa Makeri (c. 1856–1915 or 1936) was a Kikuyu tribal chief, known as a headman, during the British Colonial period in Kenya. She was the only female Kikuyu headman during the period, who later resigned following a scandal in which she engaged in a Kibata dance.

View More On Wikipedia.org
  1. Mr George Francis

    Najuta kumsamehe mke wangu, ilikuwa kidogo tu nipoteze maisha. Naombeni ushauri

    Najuta kumsamehe mke wangu sio kama sina moyo wa kusamehe au mimi ni binadamu nisiye na roho ya huruma hapana!! Lakini msamaha wangu kwake ulitaka kuondoka na roho yangu. Mimi ni fundi furniture natengeneza vitanda, masofa, makabati nk. Mke wangu ni mama wa nyumbani na tuna watoto wawili...
  2. Financial Analyst

    Wale jamaa "USHAHIDI: JINSI MKOJO WANGU WA ASUBUHI ULIVYONIPONYA" waliishia wapi

    Watu wakaoga mamikojoo weee🤣🤣, sijui huko wanaendeleaje Mara sijui akashinda bet ya milioni 250 , aisee wabongo 🤣🤣
  3. Dr leader

    Siku ya msiba wangu, kwake iwe ni sherehe

    Siku ya msiba wangu Haoni navyoumia, sichoki kubembeleza Kila siku ninalia, huku nikimueleza Karibu nitajifia, Moyo ushajimaliza Siku ya msiba wangu, kwake iwe ni sherehe Aalike na vigoma, na wapiga vuvuzela Kwake nimetia koma, ila anipa madhila Aniona ja ukoma, haoni zangu fadhila Siku ya...
  4. fimboyaukwaju

    Laptop nzuri kwa kijana wangu

    Wadau wazoefu,nina kijana wangu yupo kidato cha 6,nataka nimnunulie laptop kwa ajili ya matumizi yake,nikizingatia kuwa mwakani anaweza kujiunga na chuo kikuu,je ni laptop ipi,yenye uwezo upi nimnunulie?
  5. Kitwango Mikazo Miguno

    Ishi na mwanamke kiakili

    TRUE STORY. Maisha hua yanatupa fundisho sana lakini hilo fundisho huwezi jua utalipata lini na wakati gani kwa muda gani. Back then wakati niko chuo mkoa X kuna baridi kinyama sana huko sasa wakati ule nilikua playboy sana hivyo sikuwahi kuumia na mapenzi kabisa na niliwahi sema aah mapenzi...
  6. OMOYOGWANE

    Utabiri wangu umetimia Hersi kugombea ubunge mwana FA ajipange hapo kwenye uwaziri

    Wakuu mpo! Mwaka 2024 nilitabiri Hersi atagombea ubunge mwaka 2025 https://www.jamiiforums.com/threads/anguko-la-yanga-limechangiwa-na-eng-hersi-mwenyewe-na-gsm-kuwa-na-tamaa-ya-madaraka-ya-kisiasa-mwaka-2025.2286008/ Leo nmeona taarifa kachukua fomu. Niwaambie tu wajumbe kuwa hata msipo...
  7. S

    Mke wangu atanipeleka Gerezani kwa roho mbaya

    Habari zenu wauu lewekeke tuu kuwa Mimi ni mume wa mke wangu na MUNGU ametubariki watoto kadhaa Kama munavyo jua kuhusu Tendo la ndoa kwenye ndoa, Kuna muda mke anaweza kujiachia kushiriki tendo na Kuna muda anaweza kukaza kwamba hataki, lakini ukiforce mazingira jambo linafanyika vizuri kabisa...
  8. E

    Mke wangu hataki iphone

    Habari wakuu Nilijichanganya kumwambia wife kwamba nataka kumnunulia iphone 12 pro ebhana ehee amekataa anasema hio hela Bora tuingize kwenye biashara anataka simu isiyozidi 300,000/= Naombeni ushauri wenu wakuuu. Msinione bogazi wife wangu nampenda sana nilitaka nimpe zawadi ya simu kali sasa...
  9. Sigara Kali

    Huyu demu wangu hapa home ananenepa ovyo ovyo nifanyaje kumdhibiti

    Kama mada inavyojieleza Baada ya kuchoka kuishi peke yangu nikaamua kutafuta binti wa kuishi nae ni mrembo wa 2005 Mwanzo naanza kuishi nae alikua na kamwili fresh kadogo dogo laini tumbo flat Ila ndani ya miezi 6 niliyoishi nae binti kanenepa ovyo kitambi cha maana hadi nakosa mood nae...
  10. P

    Sitaki ushauri, namuomba radhi mpenzi wangu

    Wakuu kwa sasa naona napoteza na sitaki ushauri. Mpenzi wangu ameniblock everywhere sijui nampataje. Nimemtumia email hajibu kitu kwa hiyo niko hovyo sana. Tayari nimespend some milion TZS ili kujiweka sawa ila bado namkumbuka mama yenu aisee. She was my manager, nikitumia hela hovyo...
  11. Komeo Lachuma

    Naondoka Bungeni bila Mume wangu, Naondoka na Aibu na Mikopo ya kutisha

    Ninaondoka Bungeni Bila Mume Wangu, Bali na Mikopo Mikubwa na Aibu Jana katika Sekretarieti ya NRM, nilifanya mahojiano yenye hisia kali na mbunge wa kike aliyekuwa amechukua fomu za uteuzi. Aliniruhusu kuchapisha taarifa hii bila kutaja jina lake. Yale aliyoshiriki yalikuwa ya kuhuzunisha na...
  12. Ashampoo burning

    Iran na Israel: Kutoka Mabest hadi Maadui wa Kuuana

    Iran na Israel: Kutoka Mabeste Hadi Maadui Basi hebu nikusimulie hii stori kali – kama vile tupo vijiweni tunagawana kahawa ya jioni. Zamani hizi, kabla mambo hayajaharibika, Iran na Israel walikuwa kama mabest wa damu. Walishirikiana kwenye biashara, walipigiana tafu kwenye siasa, na walikuwa...
  13. Comred Mbwana Allyamtu

    Uchambuzi wangu chekeche

    https://youtu.be/WoGgc1REXVs?si=BFq4agf_-SmdHbvV
  14. A

    Mbwa wangu ameweuka

    Mbwa wangu jana usiku aliona kitu cha kutisha. Kuna mnyama aliingia na mbwa wangu alimfukuza akiwa ndani ya fensi ambayo siyo rahisi kuiruka kwa sehemu kubwa. Baada ya hilo tukio anakuwa kama bado anamwona huyo mnyama au mdudu tuseme. Basi analia sana na anakuwa kama anamkimbiza huyo kiumbe au...
  15. S

    Nahitaji mwanamke wa kunichezea na kuniharibia uvulana wangu.

    Nahitaji mwanamke wa kunichezea ,kuniharibia maisha na uvulana wangu.
  16. B

    Nimepata mshangazi wa miaka 39 anataka niishi naye kwake umri wangu ni miaka 35

    Katika pita pita zangu hapa na pale nimepata mwanamke mwenye miaka 39 hajawahi kuolewa ana mtoto wa miaka 19 Ananiambia nihamie kwake tuanzishe maisha nichek namimi nilivo jobless wakuu ktu ambacho namiliki ni premio ya kizamani nataka nihamie nayo kwake Nina biashara pia nataka niiuze inanipa...
  17. Busu la Kenge

    Mkwara wangu wakutafuna nyembe

    Sinaga maneno mengi ukinichokoza na kunifuatafuata na maneno Wala siongeagi na kujibizana Sana. Nikiona tu unaendelea basi nanyofoa paketi ya nyembe nacet ama topaz mfukoni na kuzirusha mdomoni moja baada ya nyingine kama Karanga na kuzitafuna mbele yako. Nikishazitafuna na kuzimeza huyo...
  18. Dennis Robert Shughuru

    Dawa ya ukimwi; Njia za kutengeneza dawa ya ukimwi huu ni mtizamo wangu

    Nikiwa Rais ntaanzisha mchakato wa kutengeneza dawa ya ukimwi 👇👇👇👇👇 How potential HIV drug will work it engulf viral RNA genome which is essential for viral life and eliminate it. HIV viral structure Desired therapeutics method;- engulf viral RNA genome and eliminated it Method of...
  19. A

    DOKEZO Mzee wangu alikuwa Askari, hajapata stahiki zake za kustaafu za Mwaka 1987 – 2003

    Baba yangu ni Askari Mstaafu mwenye Namba X_C1611 PC, nyaraka zake zinaonesha aliajiriwa Mwaka 1973, alipostaafu Mwaka 1987 kulitokea mkanganyiko wa cheki yake ya malipo. Cheki ilipelekwa Singida badala ya Kagera, alipokuja kushtuka baadaye akaifuatilia na kubaini hadi muda anafuatilia tayari...
  20. W

    Mdogo wangu kanitumia link ya muziki wake, nimempongeza kinafki ila najisikia vibaya naona anaenda kupoteza muda au kupata umaarufu usio na maendeleo.

    Ni mara 100 zaidi hata angenitumia mbuzi au kuku ningejua baada ya muda watazaliana na biashara itakuwa. Kanitumia muziki wa youtube, leo siku ya 3 kuna views 600, kakomaa sana na muziki, wazazi na ndugu tumemuasa lakini wapi, hasikii wala haoni kwenye muziki. anapost sana status za one day...
Back
Top Bottom