kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,501
- 4,282
Wakuu, habari za weekend?
Usiku wa kuamkia leo mke wangu kanijia na style mpya ya kudinyana ambayo mimi siijui na sijawahi kumuona akiitumia tangu tujuane huu mwaka wa 7. Kikawaida sisi huwa tunatumia style ya kifo cha mende na mbuzi kagoma kwenda, na mara moja moja huwa tunatumia ile ya popo Kanyea mbingu na ile ya yeye kunikalia kwa juu na kuikatikia mashine.
Sasa ajabu leo kaniijia na style kaniambia eti inaitwa kizimkazi, sijaipenda sana ingawa yeye anaonekana kuifurahia. Nimemhoji amejifunzia wapi style hiyo kasema eti kwenye group Lao la watsapp la wanawake wa chuo alichosoma huwa kuna mdada kungwi anawafundisha mastyle mbalimbali.
Hapa bado nina mashaka kama hii hadithi yake ni ya kweli au sio kweli.
Je wakuu na nyie wake zenu huwa wanawaijia na style mpya za kuzagamuana?
Usiku wa kuamkia leo mke wangu kanijia na style mpya ya kudinyana ambayo mimi siijui na sijawahi kumuona akiitumia tangu tujuane huu mwaka wa 7. Kikawaida sisi huwa tunatumia style ya kifo cha mende na mbuzi kagoma kwenda, na mara moja moja huwa tunatumia ile ya popo Kanyea mbingu na ile ya yeye kunikalia kwa juu na kuikatikia mashine.
Sasa ajabu leo kaniijia na style kaniambia eti inaitwa kizimkazi, sijaipenda sana ingawa yeye anaonekana kuifurahia. Nimemhoji amejifunzia wapi style hiyo kasema eti kwenye group Lao la watsapp la wanawake wa chuo alichosoma huwa kuna mdada kungwi anawafundisha mastyle mbalimbali.
Hapa bado nina mashaka kama hii hadithi yake ni ya kweli au sio kweli.
Je wakuu na nyie wake zenu huwa wanawaijia na style mpya za kuzagamuana?
