wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Simiyu: Mh. Samia Suluhu Hassan kuwa Mgeni Rasmi katika maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Wanawake

    Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani kitafanyika mkoani Simiyu ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan. Akizungumza na waandishi wa habari, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka amesema maadhimisho hayo yatatanguliwa na maonesho ya wajasiriamali...
  2. Siku ya wanawake duniani ina maana gani? Chimbuko, Malengo na Kumbukumbu zisizosahaulika

    #TatuZaJumatatu SIKU YA WANAWAKE DUNIANI INA MAANA GANI | CHIMBUKO LAKE Mwaka 1908 kulitokea mtafaruku na mjadala mkubwa kuhusiana na wanawake ikumbukwe miaka hiyo kulikuwa na unyanyasaji na kutokutambulika kwa haki za wanawake hali iliyopekea wanawake kuanza kupaza sauti na kuendesha kampeni...
  3. Getrude Mongella: Ni heri kumpigia kura mgombea mwanaume kuliko mwanamke anayeona aibu kuzungumzia matatizo na maendeleo ya wanawake

    BALOZI Getruda Mongela, amesema ni heri kumpigia kura mgombea mwanaume katika chaguzi mbalimbali kuliko mwanamke anayeona aibu kuzungumzia matatizo na maendeleo ya wanawake. Akizungumza jana katika mkutano uliowakutanisha viongozi wanawake nchini, Balozi Mongela alisema siku ambayo Bunge...
  4. Wanawake Misungwi Mwanza wawajengea waume zao nyumba bora

    Wanawake Misungwi Mwanza wawajengea waume zao nyumba bora HIKI ni kitu ambacho hakijawahi kutokea hapa nchi baada ya wanawake kujiunga katika vikundi vidogo vya maendeleo na kuanza kuwajengea waume zao nyumba bora, ikilinganishwa na maeneo mengine ya Tanzania tulivyozoea kuona wanaume ndio...
  5. Mauno mkeo watoto: Uswahilini na maadili

    Kwa wale ambao hawajui maisha ya uswahilini, kuna vigoma vingi Sana watu wanapita wakiwa Na Madera (ndani chupi hakuna) wanacheza Na kujifunua uchi uchi. Kuna siku nilipita nikaona uchi Wa Malaya wanacheza aisee walikuwa uchi wa mnyama, zile nuksi nilizozipata mana nilikoswakoswa na magari...
  6. Sifa za wanawake wa kichaga

    SIFA ZA WANAWAKE WA KICHAGA 1. Wakarimu 2. Waaminifu 3 . Wavumilivu 4. Wachapakazi 5. Hawapendi ela wanapenda maendeleo😌 Nani anabisha ? 😁ajifanye kama anajikuna😁😁😁😁😁
  7. Ripoti mpya inasema kuwa zaidi ya nusu (61%) ya wanawake waliuawa na wanaume nchini Uingereza mwaka 2018 ambao walikua ni waume zao

    Ripoti mpya inasema kuwa zaidi ya nusu (61%) ya wanawake waliuawa na wanaume nchini Uingereza mwaka 2018 ambao walikua ni waume zao au waliokua waume zao. Matokeo ya uchunguzi huo yametokana visa ambavyo vimeshtakiwa au wahusika wamepatikana na hatia. Sensa ya mauaji ya wanawake, ilifanywa na...
  8. Wanawake tajeni top 10 ya I'd za kiume zenye majina mazuri...

    Huu ni uzi wenu mtiririke na kuserereka. Mtaje top ten zenu kama sio five ya I'd za wanaume zenye majina matamu kwenu na yanayowavutia... For sure.. Nb nna imani ntakuwa wa kwanza.. 😎😎😎
  9. K

    Wanawake mlio na ndoa someni hapa kuna la kujifunza

    *MWANAMKE ALIYEACHIKA ANAANDIKA* Ninaandika haya ili uelewe kwamba ni vizuri kuwatambua wenza wetu na mchango wao licha ya mapungufu yao. Nina umri wa miaka 32. Mimi na mume wangu tulikaa kwenye uchumba kwa miaka 6. Tulikuwa marafiki sana. Nilimsubiri mpaka alipomaliza masomo yake ya chuo na...
  10. Je, ni kweli wanawake mna tabia hii?

    Mtihani wenu mkubwa katika maisha ya mahusiano ni pale mpenzi mpya anapoomba game... Huwa mnawaza sana size ya maumbile ya mwanaume na huwa inawapa "homa" pale unapoona dole gumba na sign zote mnazptumia kujua maumbile ya kiume zikiashiria ukubwa au urefu. Je ni kweli mna tabia hizi
  11. Wanaume wanaoshadadia masuala ya bikra ni waoga wa wanawake

    Leo nimejiskia kufanya fujo humu. I predict mnaoandika mada zisizoisha za bikira, mko inexperienced ikija kwenye mapenzi, yaani ni watu reserved mnaogopa ku-explore. Some of this group mumelelewa kwenye strict rules. Upringing yenu inafuata rules A, B, C; hakuna kuchanganya rules na lazima...
  12. Y

    Kwanini wanawake hamridhiki?

    yaani unahudumiwa vizuri, unagegedwa vizuri... hadi unatoa milio yote ya simu mpaka unaikimbia dushe bt bado unataftwa na x aliekuacha kwa kukudhalilisha vibaya unarahisika na kumcheat mwenza wako??? tatizo ni nini?? naombeni mnijibu yenu, pia wahanga wenzangu tufarijiane
  13. Je, inawezekana wanaume kujiuza kwa wanawake?

    Jamani wanajamvi hebu tukusanyike leo tiudiscuss hii mada kwa pamoja, ni kwa muda mrefu sana tumekua na mazoea kwamba ni wanawake tu ndo wanajiuza, mi huwa nashindwa kuelewa kitu kimoja, kwani hii inakuaje na wakati wote tuna pata raha, yani iweje wote tupate raha alafu mwisho wa siku mm ndo...
  14. Je, Tanzania kuna wanawake wanaolenga wanaume kwa ajili ya kuzaa nao watoto?

    Nilipata simuliwa kuwa wanawake wa kizungu wana tabia ya kwenda sehemu za mbali na kum target mtu kwa ajli ya kuzaa nae kisha kupotea/kupoteza mawasiliano nae... Je Tanzania kuna wanawake wa namna hiyo?
  15. Ukitaka kujua wewe ni wanaume type gani, Tazama wanawake uliyotembea nao na jinsi unavyowazungumzia mbele ya watu

    Ni muda mrefu sanaaa zaidi ya mwaka na sijapata nafasi ya kupitia jukwaa la Mapenzi labda kutokana na ubize au jukwaa la mapenzi kukosa mada za kushawishi na kujifunza kitu Kipya. Mara nyingi sanaaa mimi ni mpenzi wa jukwaa la Habari, siasa, Biashara na uchumi, pamoja na Jukwaa la Afya. Usiku...
  16. N

    Wanawake ambao hatujajaliwa kuzaa licha ya kuwa na wanaume tukutane tufarijiane

    Naomba tukutane tushauriane kuhusu changamoto zetu na namna tunavyokabiliana nazo. Mimi changamoto kubwa ninayoipata ni ubaguzi kutoka kwa wanawake wenzangu. Ubaguzi huu unajitokeza zaidi kupitia mazungumzo ya kebehi na urafiki. Hili ninakabiliana nalo kwa kushiriki katika shughuli mbalimbali...
  17. C

    Baba kuingiza wanawake ndani kipindi mama amesafiri

    Wakuu hii imekaaje, nipo nyumbani kwa muda na mama mzazi amesafiri kwenda Dar kuwaona ndugu zangu wengine. Mzee naona ana tabia ya kuleta wanawake ndani na naona inakuwa too much. Naona kama hamheshimu bi mkubwa.
  18. Uingereza: Wanawake waislamu wawafaidisha madaktari kwenye kutengeneza bikra

    Wanawake wa kiislamu wengi wanakuwa katika hatari ya kuuwawa inapotokea wakathibitika kuwa wameolewa bila kuwa na bikra. Baadhi yao wamejiwekea utaratibu wa kuwafuata madaktari ili kuwarudishia bikra zao, tabaka la ngozi kwenye uke. Kuna hatari ya kuwa kama utengenezaji wa bikra utazuiwa basi...
  19. W

    wanawake wanasumbua

    Message…nilkuwa na mchumba wangu toka mwaka 2014 tukawekeana ahad ya kuoana ntakapomalza chuo 2018 na shatuma wazaz kuongea mahar cha ajab 2017 kapewa mimba yaan ctosahau ndugu zangu wanawake c watu
  20. Kwanini wanawake wanalia?

    Hivi kwanini wanalia sana ikitokea habari mbaya?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…