😃😃wengi wana andamwa na njaa mpaka kwenye ugokoKwa utayari gani wa kulea pekee yao mtoto??
Nilipata simuliwa kuwa wanawake wa kizungu wana tabia ya kwenda sehemu za mbali na kum target mtu kwa ajli ya kuzaa nae kisha kupotea/kupoteza mawasiliano nae...
Je Tanzania kuna wanawake wa namna hiyo?
Na mkishapotezewa mawasiliano mnafanya nini..? Au ndio mnageuka kuwa wale "Hiyo hela tuma kwenye namba hii"Target tunazo za mwanaume tunayetaka kuzaa nae...lakini sio kwa lengo la kupata mimba tu na kupoteza mawasiliano na baba wa mtoto
Ni sisi wanawake wa kiTanzania tunaopotezewa mawasiliano baada ya mzigo kuingia
wewe ni ke au meKuna mmoja kaniingiza kingi majuzi, sasa imeshaanza kuwa kero nadaiwa ndoa japo kweli natamani mtoto... nasubiri mimba tu ikue kiasi cha kushindwa kuinyofoa kisha nibadili makazi.
Tumekuelewa mkuu kwa nini unauliza hivyo. Unaota kugegeda mzungu kimasihara,apate mbegu yakounadhani kila mtu ni dogo kuwa na heshima...ungekaa kimya maana hujajua kwanini nauliza hili jambo
wewe ni ke au me
Hali yenyewe ngumu unadhani kuna boya anayeweza kufanya ivo subutu yakeNilipata simuliwa kuwa wanawake wa kizungu wana tabia ya kwenda sehemu za mbali na kum target mtu kwa ajli ya kuzaa nae kisha kupotea/kupoteza mawasiliano nae...
Je Tanzania kuna wanawake wa namna hiyo?
Nilipata simuliwa kuwa wanawake wa kizungu wana tabia ya kwenda sehemu za mbali na kum target mtu kwa ajli ya kuzaa nae kisha kupotea/kupoteza mawasiliano nae...
Je Tanzania kuna wanawake wa namna hiyo?
Miaka 29 we bado dogo tu!kwa vile nimekuomba mtoto?
Mwambie ila hawawataki masharooo. Mara nyingi unakuta ni mke wa mtu hivyo hataki mumewe ajue au hakuambii ili usimfuatilie mtoto wako. Anaamua kumzalia mume wa mtu kwa siri. Kwetu wanasema, changanya mbegu yako ili kukitokea laana ya kumaliza ukoo ubakie na njiti