wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Baba Levo : Niko tayari kumtambulisha Mondi nyumbani kwetu, wanaume wote Kigoma tuko hivi

    Katika hali ya kushangaza baba Levo ameulizwa yapi maoni yake kwa wanaomuita chawa?. Jamaa kasema hana muda na watu hao na muda wowote ule atampeleka Diamond nyumbani kwao Kigoma kwenda kumtambulisha. Pia amesema mambo anayoyafanya ni sample tu ya vijana wa Kigoma kwa hiyo watu wasishangae sana...
  2. Tathimini ya maoni toka kwa wanaume (vichwa vya familia)

    Salaam kwenu wanaume/vichwa vya familia. Baada ya kukusanya maoni yenu nini hampendi toka wa wenza wenu (wake, girlfriends, michepuko etc.), nimecompile points za mheshimiwa Emiir kama zinavyoonekana hapo chini, nitaongezxa chache tu ambazo yeye hakuzianisha ila zimezungumziwa tena kwa hisia...
  3. Kwanini wanaume tunabinya binya nyanya lakini tuna nunua bilinganya

    Mambo vipi wadau. Nimeulizwa hili swali DM na pisi zaidi ya 4 wiki hii. Ngoja nilijibu kwa kwa ujumla. Wanaume ambao tunaruka ruka pasi na kutulia na pisi mmoja huwa tuna lengo la kuhakikisha tunapitia kila aina ya muonekano, ikiwemo wanene, wembamba, warefu, wafupi, weusi na weupe. Lengo ni...
  4. Iwafikie wanaume wote wenye tabia ya kuomba kununuliwa BIA au POMBE bar

    SIKU HIZI KUNA KATABIA NAKAONA BAR Umeenda zako mahali unapiga gambe na meza imependeza anatokea jamaa kapendeza na kaweka ufungua wa gari kiunoni anajisogeza na bia yake moja story nyingiiiii badae unasikia nipe moja brother atakupa au utasikia brother napiga moja Umenunua zako K Vant unapiga...
  5. Kwanini wanaume hawapendi kuoa experienced woman?

    Wanaume hawapendi wanawake wenye sifa ya kubadilisha mabwana. Kheri asikie alikua kwenye ndoa miaka 10 au zaidi lakini mume wake alifariki. Lakini akisikia John, Rashid, Humphrey wote walikua mabwana zake mmh. Katika ajira ukisikia mtu yule alishafanya kazi Konyagi, Pepsi na Saruji. Hii ni...
  6. Wanaume kadhaa wanaishi kwenye ndoa kama wako gerezani kwa hofu ya kagawana Mali

    Itakuaje sasa tukiachana ama mama watoto akitaka tuachane?? Mwendo wa pasu kwa pasu
  7. Wanaume tuwe makini Sana tunapo oa wanawake masikini

    .
  8. Wanaume andikeni majina ya mama zenu kwenye hati ya viwanja na nyumba

    Hili nalisemea ili liwe fundisho kwa wanawake ambao wanaingia kwenye ndoa kwa tamaa ya mafanikio ya mwanaume ili wakinukishe wagawane Mali. Hili limemtokea mwamba Fulani jirani yetu hapa. Mwanamke kachukua mkopo akagushi nyaraka kuonyesha kuwa huo mkopo wamekubaliana na mmewe, baada ya kuchukua...
  9. K

    Barua kutoka chama cha wanaume wabahili

    Chama chetu cha wanaume wabahili Tanzania ( chawawa) Kinapenda kuwatangazia wanachama wake kuwa Kesho kwetu sisi hakuna kitu kinachoitwa Valentine day . Bali tutashinda tukiabudu kanisani na kusifu Muumba aliye juu. Hii ikimaanisha mengi ikiwemo swala mtambuka la gharama na kufidia pesa za...
  10. Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

    Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation. Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi. Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda...
  11. Kwa wanaume tu (vichwa vya familia)

    Heshima kwenu wanaume Najaribu kutafuta busara za kiume, ni tabia gani ambayo ni kero na imekuwa sugu kutoka kwa wake zenu/marafiki wa kike, hata michepuko kama ipo? Tukizingatia kwamba, hakuna mwanadamu mkamilifu, ila kuna tabia ambazo ni kero zonazopelekea kuachana. Kama mwanaume, naomba...
  12. F

    Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

    Nisipoteze muda. Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni 1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo akikutana na kuli, walahi hamwachi, andika maumimivu. Makuli ni Wanaume wabeba mizigo. 2. Wanajeshi...
  13. Utafiti: Nusu ya wanaume duniani wangependa kuwa mademu

    Gazeti moja la marekani la mjini San Francisco limeripoti utafiti wake kuwa kuanzia Karne ya 20 nusu ya wanaume wote duniani wangependelea kuwa wanawake wakati chini ya robo ya wanawake duniani wangependelea kuwa wanaume.
  14. Utafiti: Corona imeathiri uwezo wa wanaume kuzalisha

    TAFITI mpya umeonyesha kuwa Covid-19 inaweza kufanya wanaume kukosa uwezo wa kuzalisha.Wanasayansi wanasema kwamba wanaume wanaoambukizwa virusi hivyo wanaweza kukosa kuzalisha kwa muda. Kwenye utafiti wao wanasayansi walilinganisha ubora wa shahawa za wanaume walioambukizwa na wasioambukizwa...
  15. E

    Asilimia kubwa ya wanawake wanapenda kuwa na wanaume wanaojiweza kiuchumi

    Ipo hivi, Asilimia kubwa ya wanawake wanapenda kuwa na wanaume wanaojiweza kiuchumi. Lakini wanapotambua kwamba wameshaoa hushangaa sana na huumia na kusema wanaume wote ni mbwa tu. Lakini ukweli ni kwamba wanaume sio mbwa ni wanawake wenyewe ndio wameshindwa kufanya uchunguzi. Kwenye kila...
  16. Umoja wa wanaume bahili Tanzania (UWABATA)

    Hii nimekutana nayo mahali.... Kumbe hawa jamaa sio wa mchezo mchezo mpaka wametengeneza sarafu yao...
  17. Wanaume tuache kujiendekeza

    Kuna msemo maarufu miongoni mwa wanaume wapumbavu kuwa eti "WANAWAKE HAWAELEWEKI",huku ni kujazana ujinga na kuwajaza ujinga watoto wetu wa kiume kwa maana kabla hata ya kuja kwa maandiko matakatifu, asili pekee ilionyesha na kumfanya mwanaume kuwa kiongozi na msimamizi, ndio maana bila mwanaume...
  18. Natamani wanaume wote tungeweka mgomo kwenye suala la kuhonga. Imefika wakati wadada wa mjini wamegeuza miili kuwa duka

    Siku moja wakati natoka lindo nikafika bar moja asubuhi nikapaki Suzuki yangu ili nipate supu. Mara mdada mmoja akaja kunisalimia na kujichekesha. Akaniuliza unanikumbuka nikasema yes. Nikamkaribisha supu akasema ameshiba. Wakati nainuka nikampa cha ten, akasema sasa tutawasiliana vipi...
  19. Hivi unadhani kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume tofauti na zamani?

    Habari wadau? Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napenda niende moja kwa moja kwenye mada. Hivi unadhani kuwa ni kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiumee tofauti na zamani? Yaani sasa hivi asilimia kubwa ya wanaume hasa vijana hawezi kufanya...
  20. J

    Je, unajua watu wanaokunywa sana pombe wako kwenye hatari ya kupata Nimonia?

    Nini Chanzo Cha Pneumonia Pneumonia husababishwa na bacteria, virusi, fangasi na vyanzo vingine. Hapa chini tutaona baadhi ya vyanzo hivi kwa undani zaidi: Bacterial Pneumonia Wagonjwa wengi wa pneumonia hushambuliwa na bacteria aitwaye Streptococcus pneumoniae. Watu wanaougua kwa muda mrefu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…