Ukienda saloon foleni ya wanaume wanaosuka corn row, extension, na weaving ni kubwa kuliko wanawake. Wengine hushinda hapo wakifanyiwa manicure na pedicure.
Wanaume hawa wamekua washauri wetu wazuri wa nywele za kutumia kwa style mbali mbali.
Tunashukuru mchango wa makaka hawa katika mzunguko...
Baadhi ya wanaume mkoani Shinyanga wamelalamika kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwamo kupigwa na kupigwa na wake zao.
Hayo wameyasema Jumanne Desemba 7, 2021 wakati wakipewa elimu ya ukatili wa kijinsia na dawati la jinsia la polisi katika stendi ya mabasi wilayani Shinyanga...
Katika mahusiano kumekuwa na tabia ya wanaume kukimbia ujauzito na kutelekeza watoto pasipo sababu za msingi. Ukizingatia kuwa mwanaume ndiye aliyemshawishi mwanamke kwa kinywa chake mwenyewe kwamba washiriki tendo la ndoa.
Wanawake wamekuwa mstari wa mbele kuhimiza matumizi ya kinga huku...
Habari wana jamii,
Nimekuwa nikiona humu ama katika maisha halisi wanaume tumekuwa tukilalamika zaidi kuhusu wanawake katika mapenzi. Iwe kwenye ndoa ama mapenzi tu yakawaida, wengi utakuta wanaume ndio walalamikaji juu yavitendo vya wanawake.
Nimeshakaa na watu wenye ndoa zao na wamenionya...
Habari Wana jamvi,
Kwa wanaume mliooa naomba kuuliza ni kwanini haumshilikishi mkeo vyanzo vyako vya mapato?? Au ulikua unamshilikisha afu ukaacha why?
Ladies take note
Ukizungumza unyanyasaji wa kijinsia wengi huwaza wa upande mmoja, kwamba ni dhidi ya mwanamke lakini uhalisia ni tofauti kwani hata wanaume hunyanyaswa isipokuwa si wepesi kuzungumza.
Hayo yalielezwa mapema wiki hii wakati wa kongamano la kupinga ukatili wa kijinsia lilioandaliwa na Norwegian...
Miaka ya 2000 kwenda mbele wimbi la wanaume wamepunguza kuwatongoza na tena kipindi hiki cha mama ndio kabisa.
Tunafahamu wanawake wana mambo mengi wanayo hitaji ila kwa sasa ni too much kwa miaka hii.
Zamani mwanaume aliweza kumudu wanawake hata watano na wote kuwa mudu kiuchumu.
Ila sasa...
Wanawake wengi wanatumia hili neno kama kinga ili kuwatisha wanaume kuwa hawana uwezo kurishisha mwanamke ili hali sio kweli.
Utakuta mwanamke akigombana na mpenzi wake anamtukana kwanza una kibamia
Unakuta wanawake wanajadili juu ya wanaume na kudai hawapendi vibamia lakini hata wakipata...
Hamisa Mobetto hana furaha hii baada ya kupitia kwenye mtandao wake wa kijamii kuwakashifu watu wanaomhusisha na hadithi ambazo hajui chochote kuzihusu.
Anasema kwamba wale wanaomhusisha na wanaume ambao hawachumbii wakome.
Kwa maana hafurahishwi na watu hao wanaounganisha picha yake na...
Nyakati ngumu hutengeneza wanaume imara, wanaume imara hutengeneza nyakati zenye wepesi, nyakati zenye wepesi hutengeneza wanaume legevu, wanaume legevu hutengeneza nyakati ngumu.
Kukosa mazoezi - wengi wapo kwenye viti makazini au darasani muda mwingi, kutembea ni kidogo sana usafiri umekuwa...
Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Amos Makalla amesema kwenye dawati la jinsia kuna wanaume aliowaita marioo wanakuja kulalamika kunyanyaswa na wanawake wenye fedha kwani huwapatia vitu alafu wakiachana wanawanyang'anya kila kitu hivyo hurudi nyuma kimaisha kwa kuwa mwanaume suruali.
========
Mkuu...
Wakuu kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu hawa dada zetu mbona hawaeleweki?
Kuna mwanangu mmoja hana muonekano hana hela ila ni muhuni anavuta sigara lakini wanawake wanampenda mno awala sana yaani ghetto kwake mezani amepanga sigara.
Halafu kuna siku alimleta demu akampiga baadae aakaanza...
Ni Jumatatu tulivu tenaaa
Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia...
Wakuu habari.
Nawaza nilivyo spend kwa huyu msichana lkn at the end I got nothing. Msichana nimemrushia nauli, kaja kwangu kakaa siku 2 tumefanya mapenzi katumia hela, kaondoka nimempa nauli.
Almost nimetumia zaidi ya 80000 kwa siku mbili..nawaza nachoka[emoji3061][emoji3061] Hii pesa...
Sifa ya mwanaume ni kulipa gharama na si kulipiwa.
Kukubali kulipiwa ni kuuvua uanaume wako na kuamia upande wa jinsia ya pili.
Hata kama umetolewa 'out' na rafiki yako, jitahidi angalau uchangie hata 500 ya kachumbari; hiyo itakupa heshima kubwa sana ya kuwa mwanaume halisi.
Wanaume...
Wanawake wengi wanasumbuliwa sana na matatizo sehemu za siri, kuwashwa harufu mbaya, kutopata hedhi, etc
Chanzo kikuu tumenotice ni wanaume
How?
1. Wanaume wengi wana matatizo ya kinywa. Asilimia kubwa ya wanaume wana matatizo ya kinywa.either hawafanyi usafi vizuri au ni wagonjwa hatujui...
Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye mada. Kuna binti mmoja nilitokea kukutana nae kwenye bus ambapo nilikaa nae siti moja kama unavyojua sisi wanaume ni katokea kumtamani ila sikuonesha hisia zozote vijana tunasema nikamlia ngumu bila salam wala tabasam tumefika katika ya safari
Akaanza...
Oya, hivi kwa week inatakiwa kugegedana mara ngapi coz naona wife anataka kunifanya kuwa sex machine yake? Yaani kila akigeuka tu anataka mpini hajui kuwa me nakuwa nimechoka sometimes.
Nifanyaje ili kumpunguza speed?
Wanawake / Wanaume ambao ukishiriki nao tendo la ndoa ‘mambo yako yanaenda vizuri zaidi’
------------------
Habari wana JF?
Najuwa kuna uzi unaofana na huu, lakini kwa heshima na taadhima nawaomba MODs wasiunganishe uzi huu huko.
Kizazi hiki kipya cha JF tungependa kupata uzoefu wao kwa mada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.