Kumfungulia biashara mwanamke ni kosa kubwa la kiufundi linalofanywa na wanaume wa kizazi hiki

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,406
Nani kawaroga enyi wanaume wa ki,zazi hiki? Unaanzaje kufanya ujinga huu wa kumuandaa mwanamke ili akuache baadaye?

Ndiyo! Kumfungulia mwanamke biashara YAKE ni maandalizi muhimu ya kutaka akuache siku za usoni. Kwasabb unampa uwezo wa kiuchumi ili asimame peke yake.

Mwanamke ili atulie kwenye ndoa anapaswa awe INSECURE ama kiuchumi au kijamii.

Mbaya zaidi wanaume wengi kwa upofu wa mapenzi tu huwaambia kabisa "hii biashara ni yako mke wangu" (kwa sauti ya kubana pua). Yaani biashara ni ya mke siyo ya familia.

USHAURI: Mwanaume fungua biashara ya familia halafu muweke mkeo aisimamie kama wewe uko bize, lkn uifuatilie kana kwamba umeajili mwizi kwenye biashara yako. Vinginevyo ataiba na biashara itakufa ama utadhulumiwa asubuhi na mapema na kisha utaachwa.

Mm Sexless nimefanya Sana kazi za ukungwi nimeyaona matatizo mengi yanayosabanisha migogoro ya ndoa. Hivi sasa migogoro ambayo chanzo chake ni wanaume kuwafungulia biashara wake zao imeshika kasi sana.
 
tupe_na_muongozo_ukioa_mwanamke_mwenye_kazi_yake_tayari_na_alikuwa_anajitegemea_kiuchumi,vipi_nijiandae_kuachwa..
Wanawake wanaojitegemea kiuchumi wachache wanaoweza kuwa wake (wife material). Ni misukumo ya kimwili tu ya muda mfupi ndiyo huwasukuma lkn muda mfupi baada ya kuingia kwenye ndoa hugeuka Nungunungu.

Kwahiyo jiandaye kujuta muda siyo mrefu Labda kama uchumi wake ulikuwa kuuza maandazi na visheti.
 
Wanawake wanaojitegemea kiuchumi wachache wanaoweza kuwa wake (wife material). Ni misukumo ya kimwili tu ya muda mfupi ndiyo huwasukuma lkn muda mfupi baada ya kuingia kwenye ndoa hugeuka Nungunungu.

Kwahiyo jiandaye kujuta muda siyo mrefu Labda kama uchumi wake ulikuwa kuuza maandazi na visheti.
kumbe true love unaipata kwa mama wa nyumbani tu sikulijua hlo mkuu
 
Back
Top Bottom