Kwa kipindi kirefu nimekua msomaji wa mada mbalimbali zinazohusu mahusiano na ndoa mala kadha wa kadha
Nmkua nkifatilia kwa kina juu ya wale wanaokataa ndoa, kuzielewa sababu zao zinazowapelekea kuzikataa!
Lakini pia nkasogea hadi kwa wale wanaojiita ma super woman mitandaoni, nkasoma sababu zao...