Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,890
Nauliza kwanini wanaume wafupi wanaringa wanajionesha, wanajisikia na kupenda kuonekana, ila wanaume warefu ni baadhi.
Habari..Kwanza kabisa tunapoongelea ufupi tujuwe kila mtu ni mrefu na mfupi kwa mwingene..Kimo cha mtu kuitwa mfupi ni tafsiri ya jamii inayo wazunguka...Anaweza kuwa mrefu Njombe but akawa mfupi Uchugani hivyo basiNauliza kwanini wanaume wafupi wanaringa wanajionesha, wanajisikia na kupenda kuonekana, ila wanaume warefu ni baadhi.
Njoo hapa nikupe katoto kengine kwa comment hii.Ajabu sana na huenda niko tofauti na wengi huwa napenda wanaume wafupi kiasi. Yaani asiitwe mrefu. Ukute anajua kupangilia nguo zake na akupende. Mi nawapenda.
Watu wengi wafupi wanachangamoto ya akili.Nauliza kwanini wanaume wafupi wanaringa wanajionesha, wanajisikia na kupenda kuonekana, ila wanaume warefu ni baadhi.
Labda mguu wangu wa 3 😃🤣🤣Intelligent businessman nasikia wewe ni mfupi miguu haifiki chini😂🤣🤣🤣
Kwa hiyo nyie warefu mnaakiliWatu wengi wafupi wanachangamoto ya akili.
HapanaLabda mguu wangu wa 3 😃🤣🤣
Nadhani ni ukoo wenuWewe mmoja na expirience ya wanaume wengi unatolea wapi? Je, Wewe ni prostitute?