Magdalene_joseph
JF-Expert Member
- Jun 26, 2023
- 230
- 614
Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.