wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. F

    Wanawake watapigana sana kugombea wanaume watoaji , sababu Tanzania kuna upungufu mkubwa wa wanaume wenye uwezo wa kuhudumia wanawake mahitaji yao

    habari wadau. nina imani wengi tumeona seke seke la mabinti wa chuo kupigana kwa sababu ya kugombania penzi la mwijaku ambaye ni mume wa mtu. kwa hali ilivyo mitaani hayo matukio ya wanawake kugombania wanaume yataendelea kuwa mengi sana. hapa Tanzania kuna wanaume wengi sana ila ni...
  2. mdukuzi

    Jux anafanya wanaume wote wa Tanzania tuonekane wastaarabu kwenye mapenzi

    Mimi sio hansome,sina hela,sina six pax,sina umaarufu wowote ila tangu january mpaka sasa nimeshatindua mabinti zaidi ya 19,na mwaka bada mbichi kabisa Siku ya msiba wangu nitatia aibu sana kwa rundo la watoto msibani kwangu. Minajijua siendi mbinguni kwadhambi moja tu ya uzinzi Sasa mdogo...
  3. 05CUBA

    Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

    Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen) Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile. Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu...
  4. P

    Mwanaume, Unakuta mwanamke hata kujihudumia tu mwenyewe ata kusafisha kucha hawezi, wewe na vihela vyako unambeba

    Habari waheshmiwa. Straight ti the point. Kuna kinyago wanaume wengi wamekichonga wenyewe na kina watesa pasipo kuelewa. Hiki kinyago kinaitwa " PESA YA MATUNZO" au HUDUMA. Unakuta mwanamke ata kujihudumia tu mwenyewe ata kusafisha kucha hawezi na we na vihela vyako unambeba. Atafurahi ukiwa...
  5. Nusratt

    Nimegundua Wanaume wengi huku JF ni Wapweke Mno na Wamekosa Utulivu

    Kwa muda wangu mfupi niliojiunga humu Jf nimegundua wanaume wengi mno humu ni wapweke. Upweke ninaomaanisha hapa sio ule wa kukosa mpenzi/mchumba/mke bali upweke ninaouzungumzia hapa ni ule wa kung'ang'ania kuchati na Id ya kike ili aweze kumtawala kila jukwaa. Kwa ambao hamjanielewa ni kwamba...
  6. Mr Why

    Huyu kijana Juma Lokole anapokuwa kwenye matukio ya kijamii hakai na Wanaume badala yake anaakaa na Wanawake

    Huyu kijana Juma Lokole anapokuwa kwenye matukio ya kijamii anakaa upande wa Wanawake badala ya kukaa na Wanaume Hii ni tabia mbaya sana hasa katika utamaduni wetu sisi Watanzania na kwa baadhi ya Mikoa mingine mfano Arusha, Kagera, Mwanza, Kilimanjaro, Mara inaweza kupelekea kupewa adhabu na...
  7. Faana

    Picha: Wanawake hawajaumbwa kutawaliwa na wanaume

    Je hii ni kwa wote au ni mtazamo wake? Anamaanisha kutawaliwa au kuongozwa Karibuni tujadili
  8. GENTAMYCINE

    Ujue Mkoa ambao Wanaume wake wanaongozwa kutuma Nauli kwa Wanawake na hawaendi na Mkoa unaongoza kwa Wanawake kula Nauli walizotumiwa na Wanaume

    Wanaume wa Mkoa wa Mwanza wanaongoza kwa kuliwa Pesa za Nauli wanazowatumia Wanawake pale wanapowatongoza au kuwahitaji Kimapenzi na Wanawake wa Mkoa wa Kilimanjaro ndoyo Wanaongoza kwa kula Nauli wanazotumiwa na Wanaume ambao Wamewatongoza au wanawahiotajio Kimapenzi. Hii ni kwa mujibu wa...
  9. Yoda

    Kwa nini wanaume wa bongo bado wanapenda sana kuabudiwa na wanawake?

  10. Bueno

    Wanawake Mjitafakari na Wanaume Usimpende Mwanamke kwa Kumuonea Huruma Utajiponza

    Km kichwa cha mada kinavyojieleza ningependa nieleze kwa ufupi sana sababu mimi sio mwandishi mzuri. Lakini ningeanza na wanawake mjitafakari sana mnapoingia kwenye mahusiano. Ipo hivi unakuta mwanamke ana umri 28+ jioni ile pale jua lishazama kashatembea kilometres nyingi kashaishi sana...
  11. haszu

    Nilifuta account ya Facebook kutokana na kutongozwa na wanaume wenzangu.

    Nilikua natuma picha zangu kawaida tu, na zinaonesha kabisa mimi ni mwanaume ila kilichonitokea ikabidi nifute account, pia nikajifunza Kenya kuna watu mafilauni wa waziwazi. Yani mtu anakutumia meseji, “Et we ni mzuri, uko wapi?” Yani anakutongoza kama vile mtoto wa kike. Miongoni mwa watu...
  12. Augustine Aloyce

    Hii ni kwaajili ya Wanaume tu

    WANAUME AMBAO HUFANIKIWA KATIKA BIASHARA, KAZI NA MAISHA... Ni wale tu ambao hukubali kuishi tabia hizi 7 1. WANACHUKUA HATUA. Wasiofanikiwa Wengi wana ndoto, hupanga malengo na kuyaongelea lakini hawafanyi chochote. Wanaume Wanaofanikiwa Hawasubiri wakati sahihi, Wanachukua hatua...
  13. Sheffer95

    WANAUME WOTE TULIOOA TUSAMEHEWE

    Habari ndugu wanajukwaa Kwanza nianze kwa kusema hamna watu wanapitia changamoto nyingi za kimahusiano kama wanaume waliooa. Kwasababu wanawake wengi wanaamini mwanaume alieoa ni mtu ambaye ana uwezo wa kubeba majukumu yake na mtu wake ipasavyo hivyo anaweza kumhudumia na yeye kama akiwa nae na...
  14. R

    Hookup culture na wanawake kuwa rahisi kutoa sex ndio sababu kubwa ya ongezeko la wanaume wengi kuchelewa kuoa

    Hookup culture ni utamaduni uliokuwa kwa kasi kwenye jamii zetu ambapo watu wanajihusisha na mahusiano ya kimapenzi kwa lengo la ngono bila kuwa na nia wala commitment ya uhusiano wa kudumu au ndoa Sex imekuwa ni rahisi sana kuipata, Utandawazi umewatega wanawake kugawa sex hovyo wao wakidhani...
  15. GENTAMYCINE

    Wanaume JamiiForums nadhani tumeshapata Somo Kubwa na la kutosha kupitia yaliyokuwa Mahusiono ya 'Ki - Ndumilakuwili' ya Haji Manara na Zaylisa

    Ni kwamba...... 1. Hata siku moja usije Kumuamini 100% kiumbe kiitwacho Mwanamke 2. Hata siku moja usipende Kujimaliza 100% kwa Mwanamke / Mkeo . Hata siku moja ukiwa katika Public usipende sana kumtambia Mkeo wa Watu kwani hawa Hawatabiriki 4. Hata siku moja usiyaamini maneno matamu matamu...
  16. Faana

    Picha: Wanaume na vijana wa kiume tukumbushane

    Wanaume, ni kumbusho tu—baadhi ya shule zimefungwa, na zingine zinafungwa kesho, na miongoni mwa wasichana hawa wanaweza kuonekana wakubwa, walioiva, wenye kuvutia na kutetema, lakini msiwachanganye. Wanakua haraka na wanajua mengi, lakini kwa sheria, bado ni wanafunzi na watoto. Jiepusheni...
  17. Stability

    Kuwa muwazi, ulishawahi kupewa zawadi yoyote iliogharimu hata zaidi ya Tsh 10,000 na demu wako?

    Wanaume tukutane hapa tujadiliane. Mara nyingi wanaume ndio wamekuwa mstari wa mbele kutoa zawadi kwa wanawake. Lakini ukweli ni kwamb hata wewe unaesoma uzi huu wala haujawahi pewa yamkini hapo ndio umetoka kutuma nauli na hela kula njiani na unawaza kama hata ila tena bila kuja
  18. BOB LUSE

    WANAUME WAKO VITANI LISSU NA HECHE, G55 Wanawaza kugawana Nyara!

    Ukipenda kula vitu mlivyoteka Nyara vitani,Nenda vitani,sio ukae nyumbani na familia yako, walioenda kupambana wakirudi nawewe unufaike na mgao! G55 nguvu zao zielekezwe kupinga uchaguzi usio wa haki uliosababisha watu kadhaa kupoteza Maisha na wengine Mali zao na kupata ulemavu. Watu...
  19. kyagata

    Hiii tabia ya kukinai wanawake ni mimi tu au na wanaume wenzangu mnayo?

    Wakuu,naamini mko salama kabisa,wenye kuumwa basi poleni na Mungu awape ahueni ya maradhi yenu. Issue yangu iko hivi,nina tabia ya kukinai wanawake, naweza nikatumia gharama kubwa za muda na fedha kumpata mwanamke, lkn nikiisha mpiga mashine siku mbili tatu namkinai na sitaki tena kumsikia. Hivi...
  20. Satirical Yet Awesome

    Wanawake mkitaka kushindana na wanaume zenu, shindana nae kweny kila sekta

    Eti niki cheat na yeye analipiza ana cheat na mwanaume mwingine. Sasa najiuliza kama yeye ni jemedari wa kulipiza visasi, mbona nikilipa bills za nyumbani halipizi? Na yeye akawa analipa bills. Mbona nikilipa ada za watoto halipizi? Nayeye akalipa ada za watoto. Mbona nikifungua biashara kwa...
Back
Top Bottom