Watu wengi wanapenda kusikia habari za:
Uchawi,
Uzinzi,
Uzushi,
Migogoro ya ndoa,
Vita na mapigano,
Watu maarufu wakikosea,
na za walokole "wakiteleza."
Lakini ukiwapa habari njema za Yesu na uzima wa milele,
wanakasirika,
wanatukana,
au wanaziba masikio kabisa!
KWANINI?