Serikali inamipango mibovu sana juu ya wakulima wa nchi hii
Ni uonevu juu ya uonevu!! Haya mambo ifike mahali tuone aibu kwa kuwanyonya kiasi hiki wakulima
Wakulima wa nchi hii, ni wao tu ndio wanaojua mateso wanayoyapitia, kwenye jua Kali na mvua za radi na Mawe, wao na shamba,
Kwenye mvua...