kutolewa kwa ela za field (HELSB) baadhi ya vyuo vikuu Tanzania inaumiza wanafunzi wa hali ya chini (watoto wa wakulima)

Mar 15, 2018
26
36
Bodi ya mkopo ya elimu ya juu hutoa mikopo kwa wanafunzi wenye vigezo na sifa zinazo stahili kupokea ambapo fedha hizo hujumuisha Ada , field, book and stationary na research ambapo kama mwanafunzi akibahatika kupata vyote huwa ni nafuu kwa mzazi.

Lakini mwaka huu 2022 kwa wanafunzi wengi wa mwaka wa pili ambapo kwa mwaka jana hawakuwa na field kutokana na kozi mbalimbali wanazo somea kutokuwa na field mwaka wa kwanza ikumbukwe mwanzoni kabla ya kuanza chuo katika majibu ya wanafunzi waliopokea mkopo bodi ilionesha mwaka wa pili watapokea mkopo lakini kuingia mwaka wa pili zile elazote za field zimetolewa bila kutoa taarifa au kutangaza kutolewa kwa ela izo na sababu za kutolewa mfano wa vyuo ni UDSM ,TUDARCO ,ARDHI.

Fikiria mwanafunzi anayesomea elimu ya miamba yani Geology anapangiwa field akafanye Geita harafu anakaa Mtwara ambapo alitegemea izo ela za field imuwezeshe kujikimu kipindi chote cha wiki nane za field ilihali familia anayotoka ni ya kipato cha chini.

Jee kuna hatua zozote zinaweza kuchukulia ili kusuluisha suala ilo maana unaweza ukajikuta umemaliza chuo unakuta deni kubwa kutoka bodi ya mkopo ikionesha ela ya field nayo imo kwenye deni ilo japo hukusaini na bodi waliondoa kimyakimya.

suala la bodi ya mkopo ni bado changamoto kubwa na gharama ya maisha imezidi kuongezeka.
 
Jee kuna hatua zozote zinaweza kuchukulia ili kusuluisha suala ilo maana unaweza ukajikuta umemaliza chuo unakuta deni kubwa kutoka bodi ya mkopo ikionesha ela ya field nayo imo kwenye deni ilo japo hukusaini na bodi waliondoa kimyakimya
nakushauri uende HESLB MAKAO MAKUU ili kutatua huo mtanzuko
 
Bodi ya mkopo ya elimu ya juu hutoa mikopo kwa wanafunzi wenye vigezo na sifa zinazo stahili kupokea ambapo fedha hizo hujumuisha Ada , field, book and stationary na research ambapo kama mwanafunzi akibahatika kupata vyote huwa ni nafuu kwa mzazi.

Lakini mwaka huu 2022 kwa wanafunzi wengi wa mwaka wa pili ambapo kwa mwaka jana hawakuwa na field kutokana na kozi mbalimbali wanazo somea kutokuwa na field mwaka wa kwanza ikumbukwe mwanzoni kabla ya kuanza chuo katika majibu ya wanafunzi waliopokea mkopo bodi ilionesha mwaka wa pili watapokea mkopo lakini kuingia mwaka wa pili zile elazote za field zimetolewa bila kutoa taarifa au kutangaza kutolewa kwa ela izo na sababu za kutolewa mfano wa vyuo ni UDSM ,TUDARCO ,ARDHI.

Fikiria mwanafunzi anayesomea elimu ya miamba yani Geology anapangiwa field akafanye Geita harafu anakaa Mtwara ambapo alitegemea izo ela za field imuwezeshe kujikimu kipindi chote cha wiki nane za field ilihali familia anayotoka ni ya kipato cha chini.

Jee kuna hatua zozote zinaweza kuchukulia ili kusuluisha suala ilo maana unaweza ukajikuta umemaliza chuo unakuta deni kubwa kutoka bodi ya mkopo ikionesha ela ya field nayo imo kwenye deni ilo japo hukusaini na bodi waliondoa kimyakimya.

suala la bodi ya mkopo ni bado changamoto kubwa na gharama ya maisha imezidi kuongezeka.
Mzumbe pesa za field zpo Kama kawaida.....tatizo nyie mnafanya field kipnd mpo likizo
 
Back
Top Bottom