Wakristo kote nchini wametakiwa kuwa mfano bora wa kuigwa kwa kuendele a kuyaishi matendo mema kama walivyofanya wakati wa kipindi cha mfungo wa Kwaresma kwa kudumiasha upendo na kujaliana na kuombea amani ya nchi katika kipindi hiki ambapo taifa linaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Urais Ubunge...
Asubuhi hii ya Pasaka, tunapoamka tukisikia mlio wa mataifa ukisherehekea ushindi dhidi ya kifo, tunakumbushwa kuwa Pasaka haimaanishi tu ufufuo wa Yesu, bali pia ni mwaliko wa kufufuka kwetu—kiroho, kiakili, na hata kijamii. Katika mwangaza huu wa asubuhi takatifu, tunapaswa kutafakari: Je...
feki
gen z
jitafakari
kizazi cha miaka ya 90
kukua
kukwama
mtume petro
nafsi
pasaka
pasaka 2025
tafakari ya pasaka
ufufuo na maisha
umri
utu
utu uzima
waislamu
wakristo
yesu kristo
Jana ilikuwa Ijumaa kuu maelfu ya Wakristo tuliandamana kupitia Dolorosa mjini Jerusalem kukumbuka mateso ya Bwana wetu Yesu kristo. Tulipita njia ile aliyoipitia wakati ananda kusulubiwa
Jana tuliadhimisha siku ambayo Yesu alisulubishwa—matembezi yake ya mwisho kupitia Yerusalemu, akiwa...
Siku ya Pasaka ni moja ya siku za kuheshimika kwa wakristo kote duniani.Lakini kwa watu wa Gaza wa madhehebu ya kikristo na waislamu imekuwa ni moja ya siku chungu kwao baada ya watu zaidi ya 70 kuuliwa kwa siku moja maeneo mbali mbali ya ukanda huo wa Palestina.
Katika siku hiyo ya Pasaka...
Wakristo wenzangu, haswa wa kanisa mama kanisa Katoliki. Hii imekaaje?
Tunajua, tunaamini na tunaiishii imani hii kwamba kula nyama ijumaa kuu siku ambayo Bwana wetu Yesu Kristo Aliteswa na kusulubishwa inachukuliwa kama Kufurahia au kusherekea mateso yake.
Vipi kuhusu wale ng'ombe na mbuzi...
Kuna majimbo ya huko Nigeria ya Kaskazini na Plateau kusikia watu wamechinjwa au wametekwa kwa sababu za kidini na magaidi ni jambo la kawaida tu ila sijawahi kusikia serikali yao ikifanya operations kubwa za kijeshi kuyadhibiti magaidi wauaji au hata UN, jumuiya za kimataifa na mataifa yenye...
Ninavyofahamu, Dubai ni jiji la "Kimataifa" lililopo katika nchi ya Kiislamu!
Wakristo wanaoishi huko wanapataje huduma za kiroho?
Kuna Makanisa? Kama yapo, ni ya madhehebu gani?
Hivi unajua kwamba Yesu hakuwahi kusema maneno haya hadharani alipokuwa hai?
Haya maneno yanapatikana kwenye kitabu cha Ufunuo maono aliyodai kuyaona mtu mmoja aitwaye Yohana, miaka kama 60 baada ya Yesu kuondoka duniani.
Na huyu Yohana? Hakujitambulisha wazi.
Wasomi wa Biblia wamekuwa...
Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka nimegungua hilo.
Mchele au wali na ngano huwa vinatumika sana maeneo yenye Waislam wengi. Kwa Afrika, Kaskazini mwa Afrika mchele na Ngano huwa vinaliwa sana eneo hilo. Eneo la Kaskazini lina Waislam wengi. Ukija kusini mwa Equator kuna Wakristo wengi, Eneo...
Ukristo ni dini ambayo imeshazoeleka kutaniwa na kufanyiwa mizaha ila ni ngumu kusikia kelele wakilalamika, nashangaa wakristo wa hapa bongo wakilalamika utani wa Mwijaku
Imeshazoeleka kushoot video za bongo flava makanisani, watu kucheza amapiano na bolingo kwenye gospel, mabinti kuingia...
Ukiacha kuwa Biblia haikuwahi kumzunguzia utasema ok. Ni sababu yeye alikuja miaka 600 plus baadaye. Lakini pia hakuwa na umuhimu katika Uyahudi na Ukristo. Yaani Biblia imemzungumzia hata mtu mpumbavu ikamwacha Mohamed.
Nyie Wakristo kwa nini hata heshima hamumpi? Mnakaa kumtuhumu tu shutma...
Waafrika hao ndivyo walivyoelewa na siyo kwamba wao ndiyo wako sahihi kwa walivyoelewa hakuna Mwafrika mwenye akili aliye muislam au mkristo wote wanaoishi humo ni MATAHIRA kwani wanaishi kwa hofu ya moto kwa mambo ya kuhadithiwa na watu waliowatawala na wasiyokuwa na utu
Wadau hamjamboni nyote?
Tafadhali toa ushahidi kwa kile unachochangia vinginevyo ukae kimya
Dini halisi zinakataa katukatu kuwa Kristo aliteswa na kufufuka, nyie mmetoa wapi habari hizo?
Tafakuri ya Kimaandiko
Jioni njema
Kila mwaka huwa tunashudia mamia ya watoto wanaoshindana kwa kuhifadhi kitabu kitakatifu cha Quran.Hufanyika ngazi ya misikiti mpaka kimataifa kwenye viwanja vikubwa vya kitaifa,
Wako kama mimi wanaoweza kukariri juzuu moja yenye sura 36 fupi fupi.Wako juzuu 2,,3..4 mpaka 30.Tena ukariri huo...
Katika historia yote ya falsafa, dini, na tafakari za kiroho, dhana ya uhusiano kati ya mwanadamu na Mungu imekuwa ikiibua maswali magumu. Mwanadamu anahisi hitaji la maana, mwelekeo, na mwongozo wa kimungu katika maisha yake.
Hili ndilo linalomfanya atafute dini, mifumo ya kiimani, na hata...
Habarini wakuu, mimi uhuru one nataka kujua muda sahihi wa wakristo kupata kifungua kinywa baada ya fungwa ya kutwa nzima.
Tukumbuke Ramadhani hii imeambatana na ndugu zetu nao wanatimiza funga ya kwa RESMA ila nataka kufahamu namna ya kufuturu, kwanini nimeuliza hivi???
Nipo kariakooo pale...
The lord be with you
Hii thread special kwa wakristo tu kama muislamu sapoti lengo la mada makasiriko peleka jukwaa la siasa
Kuna maandiko ya bible ukisimamia wakati umekata tamaa mambo yana jibu sana na kukupa faraja
Zaburi 20 yotee
Zaburi 51 nasomaga yote kuna mda mpaka masisimuka kwa...
Wakristo kufuturisha waislamu badala ya wakristo wenzao mwezi huu wa kwaresma inafikirisha sana.
Mfano mama Janeth Magufuli aliandaa futari maalum kwa waislamu wanaoishi chato hali ya kuwa yeye ni mkristo na wakristo wenzake nao wapo kwenye mfungo kama waislamu.
Sasa je hii ni ishara tosha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.