wakristo

  1. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Shida kuu ya wakristo hawana Umoja Tofauti na Dini Nyingine, dhehebu moja likiyumba wengine wanajifanya hawaoni kisa kila Dhehebu linajipambania

    Hivi karibuni kumekuwa na matukio yanayolenga kusababisha kufungiwa makanisa na viongozi wa Kikristo kupigwa kama yule Askofu aliyepigwa na wasiojulikana (Kwa sababu hawakutambulika), vile kina Askofu Gwajima na wenzake ambao watajaribu kuongea chochote kuhusu siasa wamekuwa wakivamiwa Moja kwa...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!

    Wakristo tunashambuliwa, tujitetee! Gwajima Kitima
  3. R

    JamiiForums Tanzania Ninyi wahubiri wakristo hebu sasa acheni kutuaibisha. Yesu alikuwa anakemea mapepo masaa na na masaa au ilikuwa ni AMRI MOJA, ONDOKA?

    Mnafanya mambo ya upumbavu. Kwa damu ya Yesu × 500, kwa jina la Yesu x 400, toka toka toka x600. Kwa damu ya mwana kondoo x500 ....n.k. Huo ni upumbavu na hao wanaojazana humu nao ....... Yesu wala mitume hawakufanya ujuha huo. Ninyi ni wanamazingaombwe tu. BIBLIA ILISHAWEKA WAZI NINYI...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Gwajimanization: Ni muda sasa wa viongozi wote wa Dini, Wakristo na Waislam kuwa wajasiri bila kutetereka kusema ukweli kwa waumini wao kuhusu dhuluma

    Ndugu zangu Ni muda mzuri wa viongozi wa dini zote kuwa Magwajima, wasambaze kirusi kwa waumini wote kwa kuwaambia ukweli kuhusu Dhuluma za CCM Tukifanya hivi kwa mwezi mmoja tu, tunaindoa CCM katika uso wa Tanzania Jumapili njema
  5. H

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini wakristo hawakuitwa "simba" kuwakilisha ushujaa wao wakaitwa "kondo" kuwakilisha ujinga wao?

    Jitu zima linaitwa kondo na linachungwa bado halistuki kuwa ni tusi kwake!! Kwanini usiitwe simba kuonesha ushujaa uitwe kondoo mtoka makamasi??
  6. Uponyaji na uzima

    JamiiForums Tanzania Wakristo wanamiliki asilimia 55 ya utajiri wa dunia huku waislamu wakiwa na 5.8, wahindu 3.3, wayahudi 1.1 na wengineo 34.8

  7. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Nasikia wakristo wakishika miti ya minazi mnazi unakufa na mkristo akipanda mnazi unakufa

    Wakuu nasikia hivyo wakuu leo nimekaa kijiweni na wazee wa pwani hapa pwani ya pangani wanasema kwasababu mti wa minazi ni twahara kwa maana hiyo ili upande unatakiwa uwe twahara ukiushika huo mti wa mnazi wakuu je ni kweli wakuu?
  8. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini kila wakati ni mpaka Wakristo wafanye jambo ndio Waislamu wanakumbuka dini yao?

    Nimeona thread nyingi za wanazuoni wa Ki-Islamu wiki hii kuliko wakati mwingine mwezi uliopita. Hii inafuatia kupigwa na kujeruhiwa kwa Pd. Kitima ambaye ni Katibu wa TEC. Nimewahi kuona pia siku zilizopita Wakristo wakifanya jambo mathalani TEC kutoa waraka kwa waumini wake ndio rejea za dini...
  9. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Waislam wenye asili ya Zanzibar huwaona wakristo makafiri na maadui tofauti na waislam wabara ambao huwaona wakristo ni wenzao

    Niliwahi kuishi upareni nikakuta ndani ya familia kuna wakristo na waislam wanaishi vizuri tu. Nikaenda Zanzibar nikajiita Karim, nikapata wanawake wazuri sana, ila Walipogundua nina jina la kigalatiana walianza kunibagua japo kiuhalisia siendi msikitini wala kanisani Jijini Dar es salaam...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Niliwahi kuandika wakristo wakitawala kuna kuwa na uvunjifu wa haki. Naomba nifute kauli Ile.

    Hamjambo wote! Bado ninaendelea kujiuguza lakini naendelea vizuri. Miaka kadhaa iliyopita wakati wa JPM niliwahi kuandika kuwa anapotawala Kiongozi Mkristo nchi inakuwa kwenye Hali ngumu huku nikiwasifia na kuwapa nafasi waislam kama watu wanaojali na kupenda Haki. Nakiri Leo kuwa niliandika...
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Wajua Wakristo na Waislamu Watoto wa Baba Mmoja Ibarahim?Mungu Wao ni Mmoja?na Sheria yao n Moja ya Mussa?Amri Kuu ni Upendo!Uchaguzi Huu Tupendane!

    Wanabodi Leo tena naendelea na zile mada zangu za holistic approach kumtumia Mungu kwenye kufundisha mambo ya uchaguzi wetu wa mwaka huu ili twende kwenye uchaguzi mkuu ambao sio tuu ni uchaguzi huru na wa haki,bali pia uchaguzi wenye upendo,utulivu na amani!。 Mada ya leo ni kufundisha kuhusu...
  12. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania 1Timotheo 5:23 Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo.Ni wakati sasa Wakristo tukubaliane kuwa pombe ni halali.

    Iwapo wewe hutumii kitu basi usipande mibarini na kuanza kuhubiri watu kuwa pombe ni dhambi. Kila mtu kashajiwekea mipaka yake wapo wapagani kabisa hawajawahi kuambiwa na kiongozi yeyote wa dini kuwa pombe ni dhambi lakin automatic tu hawanywi hiyo ni mipaka yao wamesha jiwekea wenyewe mfano...
  13. sanalii

    JamiiForums Tanzania Miongoni mwa mambo wakristo wamefanikiwa, ni kuvumiliana na kuficha siri

    Ukiangalia ukristo kwa nje, unaona ni lidude likubwa kabisa ililoshikamana kweli kweli, ila ndani yake ni vipande vingi ambavyo havina mfanano jambo hli waislam limewashinda, Sunni na shia wanazichapa kweli kweli, bakora zinaweza kutembea msikitini watu wakachapana kama hawajuani. wakristo...
  14. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wakristo wenzangu naomba leo tulijadili hili kwani Mimi kama Mkristo siliafiki na sitoliafiki milele japo naona halijadiliwi na wala hatuelimishwi pia

    Nijuavyo GENTAMYCINE ni kwamba Mwanamke yoyote akiwa Hedhini pale huwa anatoa Uchafu na anakuwa Mchafu vile vile (hili wala halina Ubishi labda tu uwe Mpumbavu wa kutolielewa) sasa ni kwanini au inakuwaje Wanawake wote wa Kikristo wakiwa Hedhini huenda Ibadani Makanisani tofauti na Wenzetu...
  15. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Je, tofauti na kuishi milele ni kitu gani kingine sisi wakristo tutapewa?

    Waislamu wao wakifika peponi Allah amewaofa mabikira 72 kwa kila mwanaume halafu wakaongezewa na pombe. Upande wetu wakristo kwa madhehebu yetu yote tunaamini huko mbinguni hakuna koa wala kuolewa. Sisi Yehova ametueahidi uzima wa milele (nijuavyo mimi). Biblia inatoa sifa za ile mbingu mpya...
  16. S

    JamiiForums Tanzania wakristo kupigania haki wameanza tangu enzi ya mkoloni mjerumani

    Historia ya taifa letu inatufundisha kuwa mapambano ya kudai haki yamekuwepo tangu enzi za ukoloni. Hasa kipindi cha utawala wa Wajerumani, jamii za Wakristo walionekana kuwa mstari wa mbele katika kupinga dhuluma na ukandamizaji. Wakiwa na misingi ya imani yao, waliamka na kusimama kidete...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wakristo kote nchini wametakiwa kutojihusisha na upokeaji wa rushwa kuelekea uchaguzi mkuu 2025

    Wakristo kote nchini wametakiwa kuwa mfano bora wa kuigwa kwa kuendele a kuyaishi matendo mema kama walivyofanya wakati wa kipindi cha mfungo wa Kwaresma kwa kudumiasha upendo na kujaliana na kuombea amani ya nchi katika kipindi hiki ambapo taifa linaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Urais Ubunge...
  18. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Utu Uzima Feki: Kukua kwa Umri Lakini Kukwama kwa Nafsi

    Asubuhi hii ya Pasaka, tunapoamka tukisikia mlio wa mataifa ukisherehekea ushindi dhidi ya kifo, tunakumbushwa kuwa Pasaka haimaanishi tu ufufuo wa Yesu, bali pia ni mwaliko wa kufufuka kwetu—kiroho, kiakili, na hata kijamii. Katika mwangaza huu wa asubuhi takatifu, tunapaswa kutafakari: Je...
  19. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Ijumaa kuu kwa wakristo!! Wahouth nao wameshirikishwa ijumaa kuu na wamarekani

    Jana ilikuwa Ijumaa kuu maelfu ya Wakristo tuliandamana kupitia Dolorosa mjini Jerusalem kukumbuka mateso ya Bwana wetu Yesu kristo. Tulipita njia ile aliyoipitia wakati ananda kusulubiwa Jana tuliadhimisha siku ambayo Yesu alisulubishwa—matembezi yake ya mwisho kupitia Yerusalemu, akiwa...
  20. Webabu

    JamiiForums Tanzania Wakristo washerehekea Pasaka chini ya kipigo kikali cha mayahudi huko Gaza.70 wafa kote.

    Siku ya Pasaka ni moja ya siku za kuheshimika kwa wakristo kote duniani.Lakini kwa watu wa Gaza wa madhehebu ya kikristo na waislamu imekuwa ni moja ya siku chungu kwao baada ya watu zaidi ya 70 kuuliwa kwa siku moja maeneo mbali mbali ya ukanda huo wa Palestina. Katika siku hiyo ya Pasaka...
Back
Top Bottom