wako

Wakō (和光市, Wakō-shi) is a city located in Saitama Prefecture, Japan. As of 1 January 2021, the city had an estimated population of 84,161 in 42,434 households and a population density of 7600 persons per km². The total area of the city is 11.04 square kilometres (4.26 sq mi).

View More On Wikipedia.org
  1. ryan riz

    Mbunge wako anawasilisha matatizo ya jimbo lenu Bungeni? Wa Dodoma ni bubu, miradi ya kuboresha jiji inamsitiri

    Mbunge wa Dodoma jiji Mheshimiwa Anthony Peter Mavunde ni garasa hata sijui bungeni huwa anaenda kufanya nini,bubu si bubu,sijui mkimya sijui ni mpole yaani haeleweki. Bila hii miradi ya kuboresha Makao Makuu sijui hata ingekuwaje? Barababa nyingi bado hazipitiki, sehemu inayohitiji hata...
  2. Soma Vitabu Tanzania

    Hii ndiyo njia ya uhakika ya kuongeza mshahara wako

    Je wewe ni mwajiriwa lakini mshahara unaoupata hautoshelezi kuyaendesha maisha yako? Je umekuwa kwenye ajira kwa miaka mingi, lakini kikubwa ulicho nacho ni madeni na mishahara haikutani? Je mwajiri wako amekuwa hakuongezi mshahara licha ya gharama za maisha kupanda? Na je ungependa kuwa na...
  3. O

    PADI WUBONN mkenya huyu akiigiliziia wimbo wako anakupotezaaa kabisaaa

    Huyu mkenya comedian akiigilizia wimbo wako utanuna anakupoteza.drake Mwenyewe alinuna ule wimbo wake wa gods plan mpaka akamnunia huyu mkenya.ila kiukweli Jamaa in balaa
  4. mama D

    Furahia kila pumzi ya uhai wako na mshukuru Mungu kwa mambo yote yanayokufurahisha na yale yasiyokufurahisha yapishe kuepuka magonjwa yasiyoambukiza

    Nilikua napitia report ya afya nimesikitika kuona 34% ya vifo nchini hutokana magonjwa yasiyoambukiza na ugonjwa wa moyo ukiongoza. Magonjwa mengine sukari na cancer ambayo tunayaona yanavyozidi kutuvamia kwa kasi. Kwa tafakari ndogo maisha tunayoishi yamechangia hili kwa kiasi kikubwa...
  5. mediaman

    Huyo mke sio wako...

    Ulifunga ndoa Kanisani, mkasherehekea sana harusi. Baada ya siku chache ukaachana na mke wako, kisha ukaoa mke mwingine. Haukupita muda mrefu ukampa talaka. Kwakuwa hukuweza kuishi peke yako ukaoa tena kwa mara ya tatu mke mwingine. Utafanyaje ukisikia sauti ya Yesu inakuambia "huyo mke uliye...
  6. robinson crusoe

    Vyeti feki: Baada ya form 4 sasa angalieni na digrii feki maofisini. Wako wengi wanatuumiza kwa huduma mbovu

    Nasikia kuna wabunge wanawatetea wenye vyeti feki, binafsi naomba serikali iongeze ukaguzi wa vyeti feki vya digrii serikalini. Utendaji mbovu unaojadiliwa baada ya Assad kuzungumzia uzoefu wake akiwa CAG, yawezekana ni matokeo ya watu hawa. Tunao watu wengi na hasa wale waliijaribu elimu ya...
  7. Samia atosha tukutane2030

    Mke au mume wako anapojenga kwa siri bila wewe kujua tafsiri yake ni kwamba anajiandaa kuishi bila wewe

    Habari wanandoa na wanauchumba. Hivi unajua kuwa mwenzi wako anapoamua kujenga nyumba au kufanya jambo la kimaendeleo bila wewe kujua hapo anajiandaa kuishi bila wewe? Hii dunia ina mambo sana. Unaweza kuona watu wakiishi pamoja wakicheka pamoja na kula pamoja ila mmoja au wote wakaingiwa na...
  8. Forest Hill

    Wako wapi mabinti waliotajwa na FA kwenye wimbo wa “Mabinti”?

    Nakumbuka enzi hizo wanatajwa walikua warembo wanaosumbua mjini,wapo wapi siku hizi??? Tukumbushane na lyrics hapa chini... Yaani shwari hamna shari Mi na mabinti damdam, kweli kweli Thamani zipo wazi mwenye macho aone enhh! Yaani shwari hamna shari Mi na mabinti damdam, kweli kweli Sababu zipo...
  9. J

    Jinsi ya kulinda afya ya moyo wako

    Linda Afya ya Moyo wako kwa kufanya yafuatayo; Dhibiti matumizi pombe na sigara Dhibiti uzito, fanya mazoezi Kula mboga za majani na matunda kwa wingi Dhibiti kiwango cha chumvi kwenye chakula
  10. Infantry Soldier

    Wape Watoto fursa ya kujifunza masuala mengine katika maisha mbali na masomo ya darasani

    Habari za wakati huu jamiiforums Stories nyingi sana za KGB na zile zingine ambazo ninaandikaga kule jukwaa la jamii intelligence ni zile ambazo nilizisoma mwaka 2006 nikiwa kidato cha sita. Kipindi hicho hakuna smartphones lakini nilikuwa ninaiba muda kisha ninakwenda internet cafe moja...
  11. masopakyindi

    Rais Samia, usiwasikilize wanasiasa uchwara wanaoshabikia ukabila, uonezi na upendeleo ulioasisiwa na mtangulizi wako

    Kujenga umoja wa kitaifa ni kazi ngumu kuliko kujenga mabarabara marefu nchini. Umoja huu wa kitaifa umejengwa mwa miaka mingi na kwa gharama kubwa kutoka Awamu ya kwanza na zilizofuatiwa. Kuna ambao shula za kidini zilitaifishwa, hospitali zikafanya za umma, ubaguzi wa kidini, kieneo hata...
  12. Erythrocyte

    Hitimisho: Wale wote waliopotea awamu ya 5 na hawakuonekana hadi sasa, waliuawa ama tuendelee kuamini kwamba wako hai ipo siku watarudi?

    Maana mpaka sasa hatujaambiwa lolote la maana na Jeshi la Polisi wala viongozi wa serikali , kwamba ni nini kimewatokea watanzania wenzetu hawa akina Bernard Saa Nane , Kanguye aliyepotezwa Kigoma , Azory Gwanda wa gazeti la Mwananchi na wengine wengi waliopotea kwenye mazingira ya...
  13. Mlolongo

    Eliza na Ex-Boyfriend wake

    Ex: Eliza mambo Eliza: poa tu nani!! Ex: aah ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa. Eliza: hayo hayakuhusu sema we nani. Ex: mi Fredy Mcharo Eliza: jamn mzima wewe za siku!! Ex: nzur tu nimekumiss. Eliza: we si uliniacha bwana... Ex: hapana hujajua tu ninavyoumia hasa nilivyosikia...
  14. haszu

    Unamkumbuka Crush wako wa utotoni? That was real and only unconditional love you will ever experience

    Asikwambie mtu, yule crush wa utotoni hasa mara nyingi inakua shule ya msingi ni mapenzi ambayo yanavuruga sana hasa ukizingatia mara nyingi mtu mabae unampenda anakua hana ata habari au aanajua unampenda ila hana habari na wewe yuko busy na yeye na crush wake. Nakumbuka nilipokua darasa wa...
  15. Zingzingzing

    Kwa upande wako unaweza toa Tsh milioni 2 upate kazi ?

    Habari yenu wana jf. Ikiwa imetokea nafasi au fursa ya kupata kazi serikalini lakini ukaambiwa utoe pesa huyo na ukahakikishiwa utapata kaz, vipi kwa upande wako ungetoa?
  16. kikoozi

    Je, umewahi kumla rafiki wa EX wako?

    Habari za uzimaAISEE SIO MIMI)
Back
Top Bottom