Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
Wanachopitia CHADEMA ndicho walichopitia CUFmiaka ya 2001, hakuna kilicho kipya zaidi naiona nyota njema kwa CHADEMA. Mbeleni kama si kuchukua nchi ni serikali ya Mseto, kama hutaki bakia kua kichwa ngumu muda unaenda kasi sana utajionea.
Imefikia sasa polisi hata kuona mtu aliyevaa T-Shirt ya nembo ya CHADEMA anaonekana mbaya sana. Yalikua hivi hivi kwa CUF ya enzi hizo. Polisi wanawazuia CHADEMA sasa kufanya mikutano ya ndani wakati CCM wanafanya, hawawataki kuona wakifanya Joging wakiwa wamevaa T-shirts zenye nembo za chama wakati CCM wao wanavaa.
Kimsingi iko siku polisi wanayoyafanya watakuja kuyajutia wenyewe, wanaacha PGO wanajitungia sheria zao kwa sababu tu wao ni polisi. Wanaogopa chama chenye wanachama milion 7 kasoro, watawakamata hadi lini?
Kwa haki kabisa Polisi wakae pembeni, wakurugenzi wakae pembeni halafu waache uchaguzi ufanyike ukiwa huru na wa haki tuone CCM itapata viti vingapi.CCM wanawatumia sana polisi lakini wakumbuke kua kuzuia haki hua ni ngumu.
Imefikia sasa polisi hata kuona mtu aliyevaa T-Shirt ya nembo ya CHADEMA anaonekana mbaya sana. Yalikua hivi hivi kwa CUF ya enzi hizo. Polisi wanawazuia CHADEMA sasa kufanya mikutano ya ndani wakati CCM wanafanya, hawawataki kuona wakifanya Joging wakiwa wamevaa T-shirts zenye nembo za chama wakati CCM wao wanavaa.
Kimsingi iko siku polisi wanayoyafanya watakuja kuyajutia wenyewe, wanaacha PGO wanajitungia sheria zao kwa sababu tu wao ni polisi. Wanaogopa chama chenye wanachama milion 7 kasoro, watawakamata hadi lini?
Kwa haki kabisa Polisi wakae pembeni, wakurugenzi wakae pembeni halafu waache uchaguzi ufanyike ukiwa huru na wa haki tuone CCM itapata viti vingapi.CCM wanawatumia sana polisi lakini wakumbuke kua kuzuia haki hua ni ngumu.