wakenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Wananchi wa Tarime wamchukua Makamu Mwenyekiti John Heche kwa usalama zaidi

    Wananchi wa Tarime wamemchukua Makamu Mwenyekiti CHADEMA John Heche na sasa wanaondoka naye baada ya kuwepo watu ambao walitaka kumkamata baada ya kuzuiwa kusafiri kwenda Kenya kwenye Msiba wa Raila Odinga (BABA) akiwa Sirari One-Stop Border Post (OSBP). Hii sasa ndiyo nguvu ya umma watu wa...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Mamia ya wakenya wajitokeza barabarani kumuomboleza Raila Odinga

  3. Madwari Madwari

    JamiiForums Tanzania Sisi watanzania kuwafikia wakenya kwenye kujitafuta bado sana

    Hii video ikionyesha wakenya wakiwa katika vita vya Ukraine na Urusi
  4. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Barua kwa Kwanza Kwa Mr. Ebbo: Labda leo Wamasai wangepata mtetezi, shida wanazopitia sio, waliitwa mpaka "waKenya", Huu ndiyo UTU???!!!

    Kwa kinachotokea kwa Wamasai sasa sio UTU kabisa na nakumbuka mara kadhaa tulipokutana uliniambia kuhusu ndugu zako Wamasia unavyotaka kuona wakiheshimiwa kama watu wengine. Leo hamna thamani yoyote, waandishi wa habari hawawataki kuwasikia na kureport taarifa zenu, wanasiasa wanafurahi...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya Milioni 1.8 wakabiliwa na balaa la njaa, ukame

    Ripoti mpya ya usalama wa chakula nchini Kenya, inaonyesha kuwa karibu watu milioni mbili katika Kaunti kame nne za Kaskazini Mashariki mwa Kenya, wanakabiliwa na Uhaba mkubwa wa chakula. Serikali ya Kenya imetoa wito kwa wahisani kusaidia katika kukabili hali hiyo ya dharura ili kuepusha maafa.
  6. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Wakenya mmelogwa na nani CHAN?

    dah jana sikuamini mlivyoamua kushangiliq wamoroco hivi mmelogwa mmnwezqje kuandaa mashindano na mwishoo mnaishia kushangilia timu za wageni.........Wageningen.......... Nawaza.mmelogwa ama
  7. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Halafu tukisema Wakenya akina Tresor Mandala hamna Akili mnatuona Watanzania kama vile tuna Chuki nanyi

    liyekuwa gavana wa kaunti ya Nairobi, Mike Mbuvi Sonko, anataka mechi ya robo fainali ya CHAN kati ya timu ya taifa ya Kenya na Madagascar irudiwe. Katika ombi aliloliwasilisha mbele ya bodi ya nidhamu ya shirikisho la soka barani Afrika CAF, Sonko anadai kuwa waamuzi wa mechi walichezesha...
  8. MkuuXyz

    JamiiForums Tanzania Jamani kuna Wakenya hapa tujadili football kidogo

    Sijukama niandike kwa English au Kiswahili anyways, nadhani niende Kikongoman , Hivi Majirani wa Kenya Mpo hapa nataka tuzungumze masuala na Mupira kidogo, Maana sisi wa Tanzania Hatujuagi Mpira tunataka nyie wataalam wa Mupira mtufunze kidogo, ili tukikutana kwenye fainali Tuweze Kukudinyeni...
  9. Atlast nimempata

    JamiiForums Tanzania Hivi Watanzania na Wakenya ni ndugu? Mbona ugomvi na mambo zao ni kama wakaka au wadada wanagomabana

    Hawa jamaa siwaelewagi? Wakenya na watanzania ugonvi wao usijaribu kuuingilia. Wanapakana mipaka na kugawana makabila wajaruo na wamasai na mlima kilimanjaro. Wanautani usio kwisha. Huyu akifanya hiki mwingine anaiga ili aonekane kamzidi. Hatari sana!
  10. The Burning Spear

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Huduma za Afya kutolewa bure kwa watu wote

    GT Eti ooh wale wanaharibu nchi yao wanabomoa lami na majengo upuuzi mtu wa maCCM. Hizi habari zimfikie kizimkazi manara na RC Chalamila Sisi waona tuliwaambia wale wanajenga nchi yao.
  11. bro alex

    JamiiForums Tanzania Mshikamano wa Wakenya kwenye mechi ya Morocco umenishitua sana. Nimeogopa

    Nilikuwa najiuliza swali hivi hao gen z huwa wanapanga wapi mambo yao? Je ni kikundi kinacho fadhiliwa na kigogo fulani? Nani Yuko nyuma yao. Je chai zinazo gawiwa kwa gen z ni kigogo ndo hufadhili? Anapo pigwa mmoja wao na askari na wao kuwavamia askari nakutembeza kichapo je ni bangi zile...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kenya vs Morocco, angalieni wakenya wanavyoshangilia nchi yao mwanzo mwisho, watanzania tujitathmini

    Kenya hawana timu nzuri lkn naangalia hapa washabiki wao mwanzo mwisho wanashangilia, watanzania tusipochukua tahadhari afcon tunaweza kupoteza. Tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi yetu
  13. Crocodiletooth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya wanafahamu kweli ku brand history ya kenya!

    🗿 Lost Cities of Kenya – Echoes of a Forgotten Past 🇰🇪 Kenya hides in its soil and forests the stories of thriving cities that once buzzed with trade, culture, and power — now silent, but not forgotten. Here are some of our most fascinating ancient sites: 🏛 Gedi Ruins – Kilifi County: 🌊 A...
  14. The only

    JamiiForums Tanzania Sababu kuu ya watanzania kuwa MAMBUMBUMBU sio werevu kama wakenya ,na nini cha kufanya

    Nawasalimu salaam ! Leo niwasanue sababu kubwa ya mnashangaa kwa nini wakenbya wako walivo halafu sisi tumezubaa . utajiuliza inakuwaje watekaji wawili wanaenda stendi kisa wamekuja na gari la STJ wanamchukua baba eneo la wazi kama stendi katikati ya wanaume si chini ya 100 na wanaondoka...
  15. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara ndogondogo wa Kenya wacharuka baada ya Tanzania kuzuia wageni kufanya biashara ndogondogo

    Binafsi nashindwa kuelewa huu mcharuko wa wakenya baada ya tamko la serikali ya Tanzania. Kwa maneno haya ya wakenya naona kama waliokuwa na jambo lao moyoni kabla ya tamko la serikali yetu juu ya wageni kufanya biashara ndogo ndogo.
  16. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu wakenya mmetisha sana, Nganya imekaa poa

    https://www.tiktok.com/@ma3nisisi/video/7526154389866745144
  17. Anti-tozo

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya wakenya na Watanzania

    Ni kiasi cha uelewa wa jambo, umuhimu wake,sikio la kusikiliza na mwisho kabisa kuchakata jambo lenyewe.
  18. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Sauti ya wakenya ipo juu sana, ni mwendo ule ule OKTOBA KUTIKI TU

    Wakenya wanasema 20 tena https://www.tiktok.com/@ma3nisisi/video/7526154389866745144
  19. chiembe

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio wakenya ambao chadema wanawasifia kwa kujitambua,

    Hawa ndio wa Kenya ambao chadema wanawasifia kucha kutwa kwa kujitambua. Hapo wanaonekana wakiharibu barabara. Hata kama vya kujifunza vimeisha, kwa hili hapana.
  20. M

    JamiiForums Tanzania Hizi kejeli za Wakenya dhidi yetu zina ukweli ndani yake? Kwamba bunge linaenda kuwa la Wachekeahaji na mambumbu!

    Mhimili muhimu kwa maisha ya watanzania kwa ajili ya kutunga na kuisimamia serikali imekuwa kama kihoja. Kwamba watu wa hovyohovyo wanaonyesha nia kwenda bungeni kana kwamba ni chooni. Wakenya wapo sahihi.
Back
Top Bottom