Hawa ndio wa Kenya ambao chadema wanawasifia kucha kutwa kwa kujitambua. Hapo wanaonekana wakiharibu barabara. Hata kama vya kujifunza vimeisha, kwa hili hapana.
Mhimili muhimu kwa maisha ya watanzania kwa ajili ya kutunga na kuisimamia serikali imekuwa kama kihoja.
Kwamba watu wa hovyohovyo wanaonyesha nia kwenda bungeni kana kwamba ni chooni.
Wakenya wapo sahihi.
KQ to support Tanzania aviation industry
National carrier Kenya Airways (KQ) is in talks with Tanzania to support its aviation industry after it was banned by the European Union (EU).
The European Union (EU) banned Tanzanian airlines from operating in its airspace in early June over safety...
Katika mitandao mingine, ukabila hujitokeza mara chache, ni mambo ya mpito, lakini Tiktok imegeuka jukwaa kuu la majivuno na mashindano ya makabila, Tiktok imekuwa kama kiwanda cha kuchochea ukabila wa kisasa kwa kivuli cha burudani, Tiktok inachochea sana vijana kuona thamani katika makabila...
GT
Katika ulimwengu wa harakati za mapinduzi ya kisiasa na kusukuma nchi iende mbele kile kinachotokea Kenya ni sahihi kabisa maana wanaijenga nchi yao.
Ndugu zangu hakuna taifa lolote tajiri ambalo halijapitia madhira kama ya Kenya. Wanachofanya wakenya ni kutafuta kuheshimiana ili serikali...
Hatimaye imewadia Jumatano iliyosubiriwa kwa hamu tarehe 25 Juni 2025, ambapo Gen Z wa Kenya wanatarajiwa kufanya maandamano, Swali niJe, waandamanaji watakuwa salama dhidi ya polisi?
HALI ILIVYO KABLA YA MAANDAMANO KUANZA
Polisi wametumia waya wenye miba kuzuia lango la kuingia Bungeni kabla...
Nikiwa napata lunch mahali, kwenye tv wanaonesha maandamano yanayoendelea huko Kenya, ila kilichonivutia sio hayo maandamano Bali wadada warembo wasioogopa hata risasi...nikajawa na hisia za mapenzi kwa wadada hawa
Kenyans have more bigger b*lls than us tanzanians..sisi ni wachumba tu ...
Yan...
Kwa kinachoendelea hivi sasa na vijana kwa ubishi mkashindwa kumsikiliza Gachagua akiwaonya juu ya mauji kutokea katika hizi vurugu
Wakina Martha Karua mpo kimya, waokoeni Hawa vijana dhidi ya kadhia hii inayoendelea.
Vurugu sio suluhu ya mnachokitafuta, bado mna nafasi ya kutatua matatizo...
Kenya mwanablog mmoja KAULIWA nchi haikaliki ni maandamano kila kukicha, mkuu wa kituo yupo mahabusu, mkuu wa polisi langat kajiuzulu bado leo ni maandamano Makubwa nairobi haikaliki! Sisi kwetu mudude kapotea na watu wengine hawaonekani lakini hakuna kiongozi aliyewajibika hata mmoja na maisha...
Kwanza inatakiwa utoe oda zaidi ya siku14 ndo upate vifaranga.
Vifaranga vyenyewe wamechakachua ubora hafifu!
Ona bei zao wanajipangia wanavyopenda wao.
Ukikoswa mzigo Hadi uanze kuwa bembeleza na kuwauliza kwahiyo lini nitapata mzigo !?
Company nyingi zipo kitapeli na uhuni mwingi wanajari...
Sisi tunalima mazao ya urith wetu, Mazao ya kuanza kuapangiwa mara usiuze mara uza, mara usiuze yote, mara Mkuu wa wilaya apiga marfuku kuuza Mahindi nje, mara Mkuu wa mkoa apiga marfuku kuuza mahindi mabichi.
Wakenya huwa si kwamba hawana aridhi ya kulima mahindi ya kula wanayo sana ila tu...
Hata mimi napata wasiwasi pengine kweli, so wasijekuwa wanatwanga maji kwenye kinu
Manake wenzetu jirani kwa kutumia mitandao wapo vizuriiii,
Unajua kwanini? Threads yenye comments zaidi ya 100 lakini wachangiaji ni 16 tu, hapa lazima tupate mashaka kidogo
Heading hapo juu inajipambanua vizuri.
Kila mtu amejionea na kukusifu kwa namna ulivyoonesha uvumilivu, utulivu, ukomavu na busara dhidi ya matusi, udharirishaji na mashambulizi yanayoendelea toka baadhi ya majirani zetu kama nchi.
Hata sisi unaotuongoza tumeyasikia na tumeyaona.
Nikiri wazi...
Utafiti mpya wa TIFA umeonesha hali halisi ya maisha magumu ambayo Wakenya wengi wanapitia tangu Rais Ruto aingie madarakani miaka miwili na nusu iliyopita.
Asilimia 75% ya waliohojiwa wamesema hali yao ya kiuchumi ni mbaya zaidi sasa kuliko ilivyokuwa miaka mitatu iliyopita – kabla ya uchaguzi...
WanTam ni One term President. Atatoboa kweli 2027 uchaguzi mkuu? au ni ushabiki /slogan za upinzani . Lakini ukiendwa Tweeter, WanTam inatawala kuliko political slogan zinazompa nguvu/uwezo wa kushinda Ruto!
Ni ujuha na mihemko tu kusema Watanzania tumewazidi Wakenya kila kitu au kusema Wakenya wametuzidi kila kitu. Uhalisia kuna mambo tunazidiana, haya ni baadhi.
Watanzania tunayowazidi wakenya
1. Muziki
2. Mpira
3. Kiswahili
4. Bidhaa za kilimo
5. Madini
Wakenya wanayotuzidi Watanzania
1. Ukubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.