wakenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    JamiiForums Tanzania Hawa Wakenya wabunge wetu waliosema hawana akili kama sisi Watanzania ndio sasa wanatusaidia ndege za ujasiri wa Tanzania kwenda Ulaya!

    KQ to support Tanzania aviation industry National carrier Kenya Airways (KQ) is in talks with Tanzania to support its aviation industry after it was banned by the European Union (EU). The European Union (EU) banned Tanzanian airlines from operating in its airspace in early June over safety...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Tiktok umekuwa mtandao wa majivuno ya kikabila kwa kizazi cha watoto wa 2000, Tukipuuza tunaandaa taifa litaloshamiri ukabila

    Katika mitandao mingine, ukabila hujitokeza mara chache, ni mambo ya mpito, lakini Tiktok imegeuka jukwaa kuu la majivuno na mashindano ya makabila, Tiktok imekuwa kama kiwanda cha kuchochea ukabila wa kisasa kwa kivuli cha burudani, Tiktok inachochea sana vijana kuona thamani katika makabila...
  3. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Mtu Mwenye fikra finyu pekee ndo anaweza kusema wakenya wanaharibu nchi yao

    GT Katika ulimwengu wa harakati za mapinduzi ya kisiasa na kusukuma nchi iende mbele kile kinachotokea Kenya ni sahihi kabisa maana wanaijenga nchi yao. Ndugu zangu hakuna taifa lolote tajiri ambalo halijapitia madhira kama ya Kenya. Wanachofanya wakenya ni kutafuta kuheshimiana ili serikali...
  4. Just Pray

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maandamano ya Gen Z: Jaji Mkuu Mstaafu David Maranga na waandamanaji watawanywa kwa mabomu, raia wasiopungua 16 wauawa

    Hatimaye imewadia Jumatano iliyosubiriwa kwa hamu tarehe 25 Juni 2025, ambapo Gen Z wa Kenya wanatarajiwa kufanya maandamano, Swali niJe, waandamanaji watakuwa salama dhidi ya polisi? HALI ILIVYO KABLA YA MAANDAMANO KUANZA Polisi wametumia waya wenye miba kuzuia lango la kuingia Bungeni kabla...
  5. Chibike

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetamani kupata dada mmoja mrembo wa kikenya wamenikosha sana

    Nikiwa napata lunch mahali, kwenye tv wanaonesha maandamano yanayoendelea huko Kenya, ila kilichonivutia sio hayo maandamano Bali wadada warembo wasioogopa hata risasi...nikajawa na hisia za mapenzi kwa wadada hawa Kenyans have more bigger b*lls than us tanzanians..sisi ni wachumba tu ... Yan...
  6. 2070

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya 🇰🇪 Mna Haribu Nchi yenu kwa mikono yenu wenyewe, Vurugu na Mauaji ya Wenyewe kwa Wenyewe sio Suluhu ya Matatizo yenu

    Kwa kinachoendelea hivi sasa na vijana kwa ubishi mkashindwa kumsikiliza Gachagua akiwaonya juu ya mauji kutokea katika hizi vurugu Wakina Martha Karua mpo kimya, waokoeni Hawa vijana dhidi ya kadhia hii inayoendelea. Vurugu sio suluhu ya mnachokitafuta, bado mna nafasi ya kutatua matatizo...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kuwafikia Wakenya itachukua Miaka mingi sana

    Kenya mwanablog mmoja KAULIWA nchi haikaliki ni maandamano kila kukicha, mkuu wa kituo yupo mahabusu, mkuu wa polisi langat kajiuzulu bado leo ni maandamano Makubwa nairobi haikaliki! Sisi kwetu mudude kapotea na watu wengine hawaonekani lakini hakuna kiongozi aliyewajibika hata mmoja na maisha...
  8. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Ni muda Sasa serikali iachie mipaka Wakenya waendelee kutuletea vifaranga. Wazalishaji wa Tanzania wamelala mno

    Kwanza inatakiwa utoe oda zaidi ya siku14 ndo upate vifaranga. Vifaranga vyenyewe wamechakachua ubora hafifu! Ona bei zao wanajipangia wanavyopenda wao. Ukikoswa mzigo Hadi uanze kuwa bembeleza na kuwauliza kwahiyo lini nitapata mzigo !? Company nyingi zipo kitapeli na uhuni mwingi wanajari...
  9. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Si kwamba Wakenya hawana aridhi ya kulima mahindi ya kula, hapana ni kwa sababu wana akili sana kwenye kilimo Biashara.

    Sisi tunalima mazao ya urith wetu, Mazao ya kuanza kuapangiwa mara usiuze mara uza, mara usiuze yote, mara Mkuu wa wilaya apiga marfuku kuuza Mahindi nje, mara Mkuu wa mkoa apiga marfuku kuuza mahindi mabichi. Wakenya huwa si kwamba hawana aridhi ya kulima mahindi ya kula wanayo sana ila tu...
  10. mahindi hayaoti mjini

    JamiiForums Tanzania Kila Mnoreform aweke ushahidi wake hapa kwamba ni mtanzania kweli, kuna tetesi eti wengi wenu ni wakenya?

    Hata mimi napata wasiwasi pengine kweli, so wasijekuwa wanatwanga maji kwenye kinu Manake wenzetu jirani kwa kutumia mitandao wapo vizuriiii, Unajua kwanini? Threads yenye comments zaidi ya 100 lakini wachangiaji ni 16 tu, hapa lazima tupate mashaka kidogo
  11. A

    JamiiForums Tanzania Rais kama busara imekuelekeza kupuuza matusi na udhalilishaji wa wakenya imeshindikanaje kuonesha ukomavu kwa Gwajima

    Heading hapo juu inajipambanua vizuri. Kila mtu amejionea na kukusifu kwa namna ulivyoonesha uvumilivu, utulivu, ukomavu na busara dhidi ya matusi, udharirishaji na mashambulizi yanayoendelea toka baadhi ya majirani zetu kama nchi. Hata sisi unaotuongoza tumeyasikia na tumeyaona. Nikiri wazi...
  12. Fbn

    JamiiForums Tanzania Tovuti ya bunge kuna CV za ajabu alafu baada ya wakenya kuhoji CV sasa kuna taarifa za tovuti ndani ya bunge

    Cv za bunge kusikia mtu kasoma shirika la NASA USA elimu ya ngoma na sanaa ni kawaida. Tupate vichekesho hivi kwenye tovuti za bunge.
  13. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha Yamekuwa Magumu” – Asilimia 75% ya Wakenya Wanasema Hali Imezorota

    Utafiti mpya wa TIFA umeonesha hali halisi ya maisha magumu ambayo Wakenya wengi wanapitia tangu Rais Ruto aingie madarakani miaka miwili na nusu iliyopita. Asilimia 75% ya waliohojiwa wamesema hali yao ya kiuchumi ni mbaya zaidi sasa kuliko ilivyokuwa miaka mitatu iliyopita – kabla ya uchaguzi...
  14. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya wamemkomalia Ruto na WanTam, sijui kama atatoboa 2027 uchaguzi wa Rais?

    WanTam ni One term President. Atatoboa kweli 2027 uchaguzi mkuu? au ni ushabiki /slogan za upinzani . Lakini ukiendwa Tweeter, WanTam inatawala kuliko political slogan zinazompa nguvu/uwezo wa kushinda Ruto!
  15. Yoda

    JamiiForums Tanzania Nini tumezidiana Wakenya na Watanzania?

    Ni ujuha na mihemko tu kusema Watanzania tumewazidi Wakenya kila kitu au kusema Wakenya wametuzidi kila kitu. Uhalisia kuna mambo tunazidiana, haya ni baadhi. Watanzania tunayowazidi wakenya 1. Muziki 2. Mpira 3. Kiswahili 4. Bidhaa za kilimo 5. Madini Wakenya wanayotuzidi Watanzania 1. Ukubwa...
  16. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Salamu kwa Wakenya wote waliomo humu na nje.

    https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/fyatu-mfyatuzi-waki-nyaa-mkome-kutaka-kutovuka-na-kutuvurugia--5059584
  17. Y

    JamiiForums Tanzania Nani anaehusika kuharibu uzi wangu nikiwananga waKenya ?

    Leo jioni niliandika mada kuhusu walimu wa kikenya walivyokuwa wanakunywa nyuka mabel mstarini, lakini cha ajabu naona sijui ni wakenya wameingilia kati ? uzi ume editiwa yaani ili uonekane laini kama uji wa maziwa. Nilichokiandika hapa ni kweli na ni kweli tupu, hakuna haja ya kupepesa...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Wabunge waelewe Wakenya ndiyo wawekezaji wakubwa Tanzania

    Wakati Watanzania sio wawekezaji wakubwa Kenya . Wakenya ndiyo wawekezaji wakubwa Tanzania na wanunuzi wakubwa na nafaka zetu za kilimo. Cha ajabu wabunge badala ya kuweka nchi mbele wanajiingiza kwenye kiki na uchawa ambao hauna msingi. Wamesahau kabisa ni sawa na kuanza kumtukana mteja wako...
  19. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kichambo cha Wakenya chasaidia: Kiingereza kuanza kufundishwa kama lugha ya Mawasiliano elimu ya msingi Tanzania

    Tatizo la Watanzania kutoajirika kwenye maeneo mbalimbali duniani limechangiwa sana na mfumo wa Elimu yetu kukitupa Kiingereza kama lugha ya mawasiliano. Kwa waliotembea duniani, lazima tutakubaliana kuwa Nchi ya Kenya imekuwa na Diaspora wengi sana duniani tofauti na sisi kutokana na kukipa...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kama wabunge wangekuwa Elite wasingejibishana na Gen Z wa Kenya. Lakini wameonyesha ni daraja Moja. Mtu timamu hawezi kuwajibu na Gen Z wakenya

    Mpo salama! Mbunge mzima, yupo bungeni, anatumia muda wa bunge na watanzania kujibishana na Gen Z ya Kenya. Kweli! Ni ukosefu wa mambo ya kujadili au ni nini? Ni kuongozwa na mihemko au ni kitu gani? Yaani mtu mzima na akili zake asumbuliwe na Gen Z wa Kenya kweli? Nimesikitika Sana...
Back
Top Bottom