Amani Tanzania!
Sina mengi ya kuwachosha wana janvi!
Muda wa kubinafisisha Bunge letu umewadia rasimi!
Ninazo sababu kuu mbili tu, mengine mtaongezea
# Ni kwa sababu bunge letu, halina uwezo kabisa wa kushauri serikali na pia halina uchungu na watanzania kwa ujumla, lipo tayari kupitisha...